babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,112
- 16,020
Ila pia inwshangaza maana kiukweli hawa jamaa ni wengi mno wanazagaazagaa tu kkoo
Sawa, lakini ujuwe kuwa WASOMALI wengi wao hawajaelimika na ni watu wa vurugu. Angalia kule kwao kulivyo na ukisoma historia ya nchi yao ndipo utauona ouzo wao. Serikali kamata mwizi man!
Watu wengi wanasema kariakoo imejaa magorofa ya mafisadi. Inawezekana kabisa ila ukweli ninkuwa kuna wimbi la wasomali wahamiaji kununua nyumba za wazawa na kujenga hoteli na nyumba za kupangisha.
Sijui kama serikali ina mpango gani kuhusu hawa watu ambao sasa wamejaa mjini na kutishia amani.
Mtaa wa Livingstone kuna jengo refu la ghorofa limejaa wasomali na wala hakuna taarifa inayotolewa kuhusu wakaaji haramu. Ukitaka kupanga pale si chini ya dola 800 na wakiona u mswahili unaambiwa ni dola 2000 kwa mwezi.
Tunaomba jamani wakati wa kuandikisha kuhusu vitambulisho serikali iwe macho kwani hiki ndo kipindi cha nida, rita na watendaji wa mitaa kupokea mapesa ya hongo ili hawa watu waandikshwe kama raia na kupewa vitambulisho. Halafu
hawa wasomali ni wakatili na wenye madharau sana :help:
kuelimika si kigezo ch amani pia wasomali usifikirie kamwe hawajasoma ww na kielimu chako cha kuonyeshwa mitihani na madk ma mpro njaa wa vyo vikuu vyetu vya kata usiringe hunallte mm nimeona wasomali wengi mapro wanapiga kazi hapa USA tena katika vyuo vya maana
kamwe usimpime mtu kutokana na shida ya utwala wa nchi yake.idadi ya maprofesa huenda wakatuzidi wapo duniani kila kona :majani7::target:
SS WW MASIKINI N HIYO ELIMU YAKO IMEKUSIDIA NINII WW NA WALIOKUZAA MBONA NI MASKINI WW UNWAZA UFISADI SSwe nae naona akili zako zina matatizo....... unasema kusoma siyo hoja????? Mjinga kweli wewe!!!
Sawa, lakini ujuwe kuwa WASOMALI wengi wao hawajaelimika na ni watu wa vurugu. Angalia kule kwao kulivyo na ukisoma historia ya nchi yao ndipo utauona ouzo wao. Serikali kamata mwizi man!
Dude, bado sijaona point yako hapa....kwahiyo bora wahindi wanaochuma na kuchukua fedha kutoka uchumi wa tz na hawajawekeza wanaexport fedha zote kwenda canada na india? Je kwasababu wao ni weusi au? Ninachofahamu tz inahitaji wawekezaji na hatubagui
Tuache WIVU dhidi ya Maghorofa ya Wasomali kwani sisi wazawa tumenyimwa kujenga/kununua/kupanga maghorofa? Kama wana mtaji wa kutosha mi naunga mkono wao kuwekeza hapa kwetu, kwa taarifa tu hakuna sehemu ya Afrika Mashariki na Kati uende usikute MSOMALI (Anza na Kenya, TZ, Uganda, Rwanda, Burundi, Congo DRC,South Sudan tena wanawekeza kwenye biashara za maana (hotel kubwa, biashara ya kusafirisha na kuuza mafuta) ambapo hata wazawa hawajawekeza kama hawa Wasomali au ulitaka na wao wakaweke hela kwenye za USWIZI kama Viongozi wetu? Bora hawa angalau wanawekeza,kuajiri na kulipa kodi katika nchi hizi za Africa. TUACHE WIVU/MAJUNGU dhidi ya Wageni tufanye kazi kwa bidii zote...maana leo unazungumzia WASOMALI kesho WAHINDI, keshokutwa WACHINA zen WACHAGA mtondo goo WAKINGA,halafu WAJITA,WAKURYA na baiskeli zao za Mayai ukiwamaliaza wote utahamia kwenye ukoo wako...ACHA MAWAZO MGANDO ndugu PIGA KAZI acha DOMO
kuelimika si kigezo ch amani pia wasomali usifikirie kamwe hawajasoma ww na kielimu chako cha kuonyeshwa mitihani na madk ma mpro njaa wa vyo vikuu vyetu vya kata usiringe hunallte mm nimeona wasomali wengi mapro wanapiga kazi hapa USA tena katika vyuo vya maana
kamwe usimpime mtu kutokana na shida ya utwala wa nchi yake.idadi ya maprofesa huenda wakatuzidi wapo duniani kila kona :majani7::target:
WW NA USOMI WAKO HUWA FIKII HAWA JAMAA KWA AKILI NA HATA MAV@@@@@@@@@@@@@@@@@I YA O WW HUFI:target::target::target:KII