REMSA
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 2,579
- 956
Tembea uone dunia ilivyo ndugu yangu. Airport zote zina harufu ya kahawa. Obama kila asubuhi lazima apige kikombe cha kahawa, Angela Meckel vilevile. Kahawa ni kinywaji kinachoheshimika sana duniani. Kama kinachokufanya uchukie kariakoo ni kahawa basi hutaweza kuenjoy jiji lolote duniani.
Matajiri duniani hawakai katikati ya miji ila wanamili biashara katikati ya miji. Tajiri anataka kuwa na estate kuuuuuubwa, ataipataje katikati ya jiji?
Kwa sasa mnaweza kujiona wajanja sana kwa kuishi na wasomali Kariakoo,lakini baada ya muda fulani watakaposhika
mpaka udiwani hao wasomali,ndipo mtawajaua watakavyowakimbiza wazaramo kariakoo.