Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,367
- 100,408
Mpwa unajipongeza kidogo baada ya kazi kubwa ya kuwapiga wenzio kwenye mvua
DAr.Zanzibar,Mobasa zitamezwa na maji hivi karbuni!!
ngoja nizisakanye tena umenikumbusha .........................Mpwa unakumbuka mwaka jana kwenye mvua hizi kulikua na Bidada mmoja alibebwa halafu akaangushwa kwenye dimbwi la maji? Hivi zile picha bado unazo? Maana picha zako full utata
Amavubi ... unaposema "lol .. vyote vimeloa hapo" ... unamaanisha vitu gani? "vinini"? ... vyombo vya ndani?!
hahahhahaaaa hapa ni Engeneering UDSM, dah
Naam kwa Hisani yako naomba uni-mention nizionengoja nizisakanye tena umenikumbusha .........................
Amavubi ... unaposema "lol .. vyote vimeloa hapo" ... unamaanisha vitu gani? "vinini"? ... vyombo vya ndani?!
Mpwa nilisoma ila nilifeli maana yule Mwalimu aliekuwa anatufundisha alikua Mrembo kweli halafu shule tulikua boys tu
Mungu atusaidie tu
tatizo hii nchi imelaaniwa siku nyingi! Tangu tumepata uhuru hakuna mipango miji endelevu iliyofanyika! Tuna wizara ya ardhi ila haijui majukumu tangu kuanzishwa kwake! Watu wanapiga deal tu hapo! Alipoingia mama wa escrow nilijua nyumba imepata mpangaji! Kumbe alikuwa anatafuta hela za mboga tu! Poor my country tanzania, hata tunavyoona watu wanajenga hakuna provision ya barabara hii yote ni majukumu ya wizara ya ardhi! But they have no idea! Ndio sasa naona tulidai uhuru kabla ya muda kufikia! Au akili zetu zimedumaa
Mpwa mbona hii kama vile ni Guest House? Usiombe ndio uko na Mchepuko halafu nje kunageuka kuwa hivyo bila taarifa