Jack chapombe ndio kawaida yenu ninyi mkishikwa mnaanza kumtuhumu zitto,kama zitto ana kundi lake na ninyi member wa ngaramtoni,sanya juu,kibororoni,same ni kundi la nani mbona hamjitaji?kizuri chajiuza,mnapozungumzia kumnyima zitto fursa ndani ya cdm msisahau jamani mabadiliko ya katiba mpya,hasa kakipengere la umri na mgombea binafsi.zitto ndie rais ajae mtake msitake.kale kababu kenu kajiandae kukimbiwa na mshumbusi.sasa sijui kataenda wapi maana kamehonga nyumba,tena kasisahau komu(pro mbowe)anakadai ml 140 heka za ruzuku alizochukua chadema saccos kama zake.