Mafukara milioni 30, Mabilionea 30

Mafukara milioni 30, Mabilionea 30

Nawalaani wote waliohusika kwa namna moja ama nyingine kuharibu huu mjadala, page ya 1,2,3 tulikutana na vichwa halisi vya jf kwenye mambo ya siasa....baadae mijitu inakuja na viroja b
adala ya hoja....Mleta hoja kakiri kwamba pamoja na mapungufu yake lakini bado anamazuri yake pia...hivyo akashauri kama mnania ya kumjadili yeye binafsi anzisheni uzi mwingine mahususi kwa kumjadili yeye hivyo kwa sasa mjadili mstakabali wa taifa kwa leo na vizazi vijavyo....bila kusafisha mchanga huwezi kupata dhahabu,pamoja na madudu ya zzito kama yapo,bado mazuri hayawezi kukosekana. Tuheshim mjadala..
 
Kwanza futa kwamba watu wanakichukia chadema.
Pili tambua watu wanachukia tabia za Dr.slaa na Mbowe
Watu wengi wanachukia uchagga na unafiki wa Dr.slaa,hawakubaliani na namna chama kinavyoendeshwa kikanda.
Kama mnachukia uchagga,then tatizo lenu ukabila,you got to look both ways.

Siwezi kufuta kauli kwamba mnaichukia chadema kwasababu mnachokifanya hakionyeshi mapenzi kwa chama hicho.Huwezi kujijenga ndani ya chama bila kuleta migawanyiko kwa chuki kama hizi?

Kama mnaona kuwa tuhuma zinazoelekezwa kwa Zitto zimetoka kwa viongozi wenzake,kwanini msiwa single out kuliko kutumia udini na ukabila?

Kama ni kweli mnataka mabadiliko ndani ya chadema,then character assasination ndo suluhisho?Maana ni kweli kuwa kwa nmana moja ama nyingine,Slaa na Mbowe wataendelea kuwa viongozi wa chadema,sasa mnataka chuki zenu zifikie pahala ambapo hamtaweza kuongoza kwa pamoja?Is that helpfull for your party?

Ndiyo maana ninahisi kwamba itafika pahala mufanye maamuzi magumu,either kusuka,ama kunyoa.Otherwise mnakuwa kama "crabs in a bucket"
 
Ona unavyokurupuka huku ukitokwa povu,msipotaka na nani?chaggaz au?katiba ya cdm ndio inayotoa rais?pole sana maana utakuja kufa kibudu pindi umuonapo zitto akitokea magogoni.utake usitake zitto mdie rais ajae kama unabisha subiri utaona.
Ok,lets say wewe ni mwanachadema wa ukweli mwenye kuyapenda maendeleo yake.

Unaweza kuniambia uchagga wa chadema utamalizwa kivipi na ndugu Zitto?Unaweza kuniambia yeye mtu mmoja peke yake ndo atasaidia kuondoa dhana ya uchagga kama ipo?If so kivipi?Mnalalamika kuwa viongozi wengi wa chadema ni wachagga ama mnazungumzi wananchi?Kama ni viongozi nipe mfano hai,na kama ni wananchi,then tuwapige marufuku wachagga kuhamia chadema?

Na je munataka kureplace uchagga na kitu gani?
 
Majina yote hayo naona kama ni ya ngara mtoni,huyo munishi sio yule katibu wa bavicha ?ni zuzu fulani hivi anaongea kama mwanamke,kujishebedua kwiiingii kama demu,tena ni ndugu yake mbowe kabisaaa na ndio maana amewekwa nafasi inayolipwa mshahara.kweli cdm ina wenyewe!huyo kilewo nae ndo yule aliyefunga ndoa na mke wa mtu?deo mushi ndo yule anaejitapa kuwa mgombea ubunge kinondoni?mbona heche msukule hajampinga kama alivyofanya kwa shibuda?au kwakuwa na yeye katangaza kugombea tarime?(double standard).kama ndo hao mbona vijana wepesi saana wala sijaona anaeweza kupambana na zitto hapo,njaa zinawasumbua kwani wanaishi kwakupeleka majungu kwa mbowe.maana huyo mrema(molemo)yeye ndo chadema kilimuolea mke.bado sijaona mtu hapo zaidi ya uchagga na ukaskazini hivyo sishangai kumpinga zitto,nasisitiza rais ajae,kipenzi cha vijana walio wengi.
kuweka kumbukumbu sawa.
1. Deo Mushi kwa sasa ni mwenyekiti wa chadema Kinondoni na ametangaza kugombea ubunge moshi vijijini ajitumwa na mbowe akamwondoe komu. Mbowe anasema komu hana hadhi ya kuwa mbunge! ...
2. Henry kulewo ni miongoni mwa vijana wa mjini wanaoishi kwa nguvu zawanawake zao. Inasemekana ameolewa na dada mmoja mtangazaji wa kipindi kimoja maarufu cha tv. Ni mfuasi wa kutupwa wa mbowe ambaye haamini kama slaa anafaa kuwa rais wa nchi. Yeye kwa sasa ni katibu wa chadema mkoa wa Kinondoni na ametangaza kugombea ubunge jimbo la Mwanga huko huko Kilimanjaro ....wenyewe eti wanasema wamekuja dar kutafuta.
 
kuweka kumbukumbu sawa.
1. Deo Mushi kwa sasa ni mwenyekiti wa chadema Kinondoni na ametangaza kugombea ubunge moshi vijijini ajitumwa na mbowe akamwondoe komu. Mbowe anasema komu hana hadhi ya kuwa mbunge! ...
2. Henry kulewo ni miongoni mwa vijana wa mjini wanaoishi kwa nguvu zawanawake zao. Inasemekana ameolewa na dada mmoja mtangazaji wa kipindi kimoja maarufu cha tv. Ni mfuasi wa kutupwa wa mbowe ambaye haamini kama slaa anafaa kuwa rais wa nchi. Yeye kwa sasa ni katibu wa chadema mkoa wa Kinondoni na ametangaza kugombea ubunge jimbo la Mwanga huko huko Kilimanjaro ....wenyewe eti wanasema wamekuja dar kutafuta.
Huyo Henry Kilewo ni mchagga anayeenda kugombea ubunge upareni Mwanga?Si unaona jinsi ulivyo na chuki na ulivyojipanga kusambaza sumu hiyo?Yani hapo mwisho ukasema eti "ameenda kugombea huko Kilimanjaro",si ungesema uchaggani ili uumbuke kabisa?Acheni hizo.
 
Kama mnachukia uchagga,then tatizo lenu ukabila,you got to look both ways.

Siwezi kufuta kauli kwamba mnaichukia chadema kwasababu mnachokifanya hakionyeshi mapenzi kwa chama hicho.Huwezi kujijenga ndani ya chama bila kuleta migawanyiko kwa chuki kama hizi?

Kama mnaona kuwa tuhuma zinazoelekezwa kwa Zitto zimetoka kwa viongozi wenzake,kwanini msiwa single out kuliko kutumia udini na ukabila?

Kama ni kweli mnataka mabadiliko ndani ya chadema,then character assasination ndo suluhisho?Maana ni kweli kuwa kwa nmana moja ama nyingine,Slaa na Mbowe wataendelea kuwa viongozi wa chadema,sasa mnataka chuki zenu zifikie pahala ambapo hamtaweza kuongoza kwa pamoja?Is that helpfull for your party?

Ndiyo maana ninahisi kwamba itafika pahala mufanye maamuzi magumu,either kusuka,ama kunyoa.Otherwise mnakuwa kama "crabs in a bucket"
kawaulize mbowe na slaa, Kwanini watu wanaoeaunga mkono kwenye unafiki wao ni WACHAGGA tu? ...wakikupa jibu ndipo utakapojua kuwa ni chama cha kikabila ama la? ...
 
Hoja yako mheshimiwa Zito ni nzuri, yaani ni good material for discussion. sina maana kuwa haina mapungufu la. na hayo mapungufu hayazuii kuijadili kwa faida ya taifa letu. Swali kuu katika hii hoja ni "Kwa nini kiasi kikubwa cha Watanzani ni hoi bin taaban kiuchumi wakati kiasi kiduchu wana utajiri wa kupindukia?"
Kwa uchambuzi wako umeona kuwa jibu ni mfumo mbaya yaani unaruhusu hali hii iwepo. hii ni kweli na haina ubishi. nashagaa wengine wanaita malalamiko! kisha umesema kuwa suluhisho ni kuukataa mfumo huu. na hii ni kweli abisa.
Mchangiaji mmoja kauliza tuukataeje HII NDIYO HOJA. na hiki ndicho kingekuwa kiini cha mjadala.
Msingi wa hii hoja unajikita kwenye Azimio la Arusha na Mwalimu Nyerere aliwahi sema yeye hakuona tatizo lake na kuwa endapo lingetupwa kwa vyovyote watu hasa vijana wangeigia mabarabarani kuandamana. Dalili zinaonyesha wazi hii hata mchangiaji mmoja kasasimamia hilo.
Watu wamesema mengi sijui kilimo sijui nini. Labda hawajalima wakaona mateso yake. mfumo uliopo haumpi mkulima wa kawaida fursa ya ukweli kweli ya ktajirika. mfano mdogo ni huu; Ndu X alilima machugwa eneo fulani mkoa wa Pwani mwaka huu tu. Naam; machungwa yalitoka vema, bara-bara. wakaja wateja wakataka wanunue chugwa moja shs 15 huku na huku wakakubaliana shs 20/chungwa sababu soko limejaa na usafiri. gari lilijazwa machungwa 6,000 akaambulia shs 120,000/- mkulima akasema sasa hii hela nitalipa bili ya maji, umeme au nini? maana hata ada ya muhula ya mtoto haitoshi. Bado nakubaliana na Kabwe Zito mfumo, mfumo, mfumoooooooo!
 
Huyo Henry Kilewo ni mchagga anayeenda kugombea ubunge upareni Mwanga?Si unaona jinsi ulivyo na chuki na ulivyojipanga kusambaza sumu hiyo?Yani hapo mwisho ukasema eti "ameenda kugombea huko Kilimanjaro",si ungesema uchaggani ili uumbuke kabisa?Acheni hizo.
Unaona sasa unavyopata shida kujitenganisha na uchagga? .....nisaidie kujibu hilo swali hapo, Kwanini watu wote wanaomuunga mkono slaa na mbowe kweenye siasa za chadema na unafiki wao ni WACHAGGA TU? ....samahani kama nimekukwaza lakini! ...
 
well done hon.Zitto,it is such an eye opener article.I came to realise that some people who seem to hate zitto they are actually not hating zitto but in real sense they are mad at themselves.
 
kawaulize mbowe na slaa, Kwanini watu wanaoeaunga mkono kwenye unafiki wao ni WACHAGGA tu? ...wakikupa jibu ndipo utakapojua kuwa ni chama cha kikabila ama la? ...
Umejuwaje kama ni wchagga tu,huko Morogoro na Iringa ambapo hata huyo Zitto wenu hakuwepo na waliokuwepo wakiunga mkono na wengine kupoteza maisha ni wachagga ?Usitumike vibaya.

Kwahiyo Zitto peke yake ndo atafanya chama kuwa cha waha?Tumia akili wewe!
 
Nawalaani wote waliohusika kwa namna moja ama nyingine kuharibu huu mjadala, page ya 1,2,3 tulikutana na vichwa halisi vya jf kwenye mambo ya siasa....baadae mijitu inakuja na viroja bj
adala ya hoja....Mleta hoja kakiri kwamba pamoja na mapungufu yake lakini bado anamazuri yake pia...hivyo akashauri kama mnania ya kumjadili yeye binafsi anzisheni uzi mwingine mahususi kwa kumjadili yeye hivyo kwa sasa mjadili mstakabali wa taifa kwa leo na vizazi vijavyo....bila kusafisha mchanga huwezi kupata dhahabu,pamoja na madudu ya zzito kama yapo,bado mazuri hayawezi kukosekana. Tuheshim mjadala..
tatizo ni baadhi ya vilaza wa chadema ambao hawawezi kuandika hata article ya nusu ukurasa ndio wakakasilika sana kumuona zitto alivyojaaliwa uwezo wa kuandika na kuchambua mambo kwa maslahi ya umma! ...hivi unajua baada ya nyerere ni zitto tu ndiye rais mwenye uwezo w kuandika issues za kitaifa? , kwa sababu hiyo sasa ndio maana hawa ndugu zake wachagga aambao
wanashinda club wakigamasisha vijana eabamb
 
Unaona sasa unavyopata shida kujitenganisha na uchagga? .....nisaidie kujibu hilo swali hapo, Kwanini watu wote wanaomuunga mkono slaa na mbowe kweenye siasa za chadema na unafiki wao ni WACHAGGA TU? ....samahani kama nimekukwaza lakini! ...
Nijitenganishe na uchagga ili iweje?Jibu swali,Mwanga ni uchaggani wewe mkaririshwaji na mwenye chuki mbaya?

Mimi huwa siogopi kui confront hoja hata kama kuna wanoogopa kufanya hivyo,ndani ya tope lenu nitaingia humo na mimi kujaribu kuwaonyesha hapafai.Sitokaa pembeni wakati mnalisha watu chuki ili eti mtu wako awe rais.Acha ujinga.
 
Heshima ni kuoa mke wa mtu na kuendesha chama kwa majungu na fitna.

Sidhani kama ni mke wa mtu.mwenyewe angekuwa na nguvu kisheria.Majungu anayo Zitto na wenzake humu,kwani wao ndio wanamsakama sana Mbowe na Slaa huku wakimpa Zitto sifa za superman.Hii post yenyewe inaonyesha si makini kihivyo.Na cha kushangaza kashindwa isoma tena na tena hii idea yake ambayo pia aliweka ktk gazeti la raiamwema.
 
Pole sana bwana mdogo labda haujui.
slaa hawezi kuukana uchagga, baba yake wa kusingiziwa mzee peter (maana mzee pater sio baba ake mzazi, baba ake mzazi alikuwa ni kasisi wa kanisa) ni muiraq na mama yake mzazi ni mchagga wa machame! ...mwambie aje kubisha kaa tunamsingizia

Nani kakuambia mtoto huchukua kabila a mama.Huku ni kulazimisha kama wale wanaotaka mpa Yesu ukoo kwa mama.
 
Sidhani kama ni mke wa mtu.mwenyewe angekuwa na nguvu kisheria.Majungu anayo Zitto na wenzake humu,kwani wao ndio wanamsakama sana Mbowe na Slaa huku wakimpa Zitto sifa za superman.Hii post yenyewe inaonyesha si makini kihivyo.Na cha kushangaza kashindwai isoma tena na tena hii idea yake ambayo pia aliweka ktk gazeti la raiamwema.
Uzuri wenu nyinyi mkipenda huita kengeza, ina maana ni kweli haujui kama slaa ameiba mke wa mtu na amemzalisha mtoto na sasa anaitwa baba junior? ...
Au wewe unaona ni busara kwa mzee wa miaka zaidi ya 60 kuwa na mtoto sawa na mjukuu wake? ...
Yaani ni kupenda au ni kweli hujui kuwa slaa ametelekeza familia yake kwa kufuata katerero? ...
Unanisikitisha unapojidai haujui kuwa slaa na mbowe wanahidai watetezi wa masikini wakati wenyewe ni matajiri wa kutupwa! ...
Ndio maana sisi masikini tunasema tutatetewa na masikini mwenzetu na sio waigizaji wenu hao wanaosukumwa na ukabila hasa uchagga! ...
samahani kama nimekukwaza!.
 
Ona unavyokurupuka huku ukitokwa povu,msipotaka na nani?chaggaz au?katiba ya cdm ndio inayotoa rais?pole sana maana utakuja kufa kibudu pindi umuonapo zitto akitokea magogoni.utake usitake zitto mdie rais ajae kama unabisha subiri utaona.

We kule mbeya ni chaggaz.Inaelekea unawaogopa sana wachagga,kiasi kwamba mnaamini wao ndio watengeneza pesa,kwa ubongo mdogo mlionao mtatawaliwa sana na wachaga.Kwani mmeanza leo mbwembwe,si kila siku mnawaita washamba huku mkiwauzia kila kitu chenu kwa bei ya ukwaju.Katiba ya CDM ndio inaamua kushiriki kwake kupitia CDM.

Issue ni kwamba mpo too obsessed na wachaga,hata katk CCM yenyewe mnawapiga vita kuonyesha jinsi mlivyo na wakabila na wadini.
 
Uzuri wenu nyinyi mkipenda huita kengeza, ina maana ni kweli haujui kama slaa ameiba mke wa mtu na amemzalisha mtoto na sasa anaitwa baba junior? ...
Au wewe unaona ni busara kwa mzee wa miaka zaidi ya 60 kuwa na mtoto sawa na mjukuu wake? ...
Yaani ni kupenda au ni kweli hujui kuwa slaa ametelekeza familia yake kwa kufuata katerero? ...
Unanisikitisha unapojidai haujui kuwa slaa na mbowe wanahidai watetezi wa masikini wakati wenyewe ni matajiri wa kutupwa! ...
Ndio maana sisi masikini tunasema tutatetewa na masikini mwenzetu na sio waigizaji wenu hao wanaosukumwa na ukabila hasa uchagga! ...
samahani kama nimekukwaza!.
Kama unadhani maneno kama hayo ndiyo yatampatia Zitto urais basi utakuwa hutumii akili hata kidogo.Unavyoongea hapa,unaonekana ni mtu asiyejisumbuwa kufikiri hata kidogo.
 
Nani kakuambia mtoto huchukua kabila a mama.Huku ni kulazimisha kama wale wanaotaka mpa Yesu ukoo kwa mama.
mwambie slaa mwenyewe aje kukataa kama mama yake mzazi siyo mchagga! ...
Na nenda uchaggani kaulize mtoto aleyezaliwa na mwanamke wa kichagga na mwanaumme asiye mchagga hues ni Mali ya nani? ...
Muulize slaa kama anampenda mama yake mzazi au hampendi? ...NA kama anampenda atawezaje kuikana kabila yake? ...
Na kwa taarifa yako mtoto huwa na kabila mbili ya kiumeni na kikeni ....slaa hawezi kuukwepa uchagga labda azaliwe upya! ...
Samahani kama nimekwaza! ...
 
slaa ni msukule wa mbowe mzee hajitambui mbowe amefanikiwa kumzima slaa mdomo kwa kumlipa mshahara wa mil 7 kila mwezi.

oh ulisaida kumfanya msukule?Hizo ni imani za washenzi na wapuuzi.Historia inaonyesha watu wasiopenda wanafiki,wasiopeanda ushirikina, wanaojipa sifa za amani, etc hao ndio watendayo yote kwa sana.

Ulitaka ajilipe laki 1 na per allowances za kuzidi hiyo hela?Mbona Kikwete na ZItto wana hela nyingi kuliko mishahara yao yote+ na hawajwahi jiajiri tangu wamalize soma.
 
Back
Top Bottom