Mafukara milioni 30, Mabilionea 30

Mafukara milioni 30, Mabilionea 30

Pia ajue baada ya kupata umaarufu ,pia atahitaji kuanza safari mpya ya ktafutwa heshima.Umaarufu si heshima.by the way sasa hivi anacheza kati ya kuwa (famous and infamous).

Heshima ni kuoa mke wa mtu na kuendesha chama kwa majungu na fitna.
 
hii mada inalenga nini hasa? Hivi kweli aliye na shibe umkumbuka mwenye njaa? Sasa hawa/huyu mwa/wanasiasa wanajitokeza hapa jf kujifanya eti wanajua njaa ilihali nafasi wamepewa lakini vitendo hakuna isipokuwa ni kugombea mkate wa wenzao na wakati mwingine hata ule mkate waliopewa wawapelekee wenzao.katika hili naona hapa ni kujiosha tu (kunawa mikono kama pilato alivyofanya) na kupotezea inssues mbalimbali zina/wana zokabiliana nazo juu ya ugumu wa maisha katka jamii zetu.ningefikia labda wa/angekuja na nini kifanyike ili jamii zetu zifanye kazi kwa bidii ili tuondokane na umaskini.
 
hakuna mtu anayemnyima zitto fursa chadema.anajinyima yeye mwenyewe.Yeye ni naibu katibu mkuu,jiulize kwa nini haonekani ofisini?Jiulize ni kwanini hashirikiani na wenzake kwenye M4C? Kazi yake kubwa ni kuhujumu chadema.Hakuna kijana mwenye akili timamau ambaye hakerwi na hali hii.Kazi yake kubwa ni kukichafua chama yeye na kundi lake halafu anategemea kugombea urais kupitia chadema kweli?
Vijana chadema tutamsimama kumzuia kiongozi au mwanachama yeyote atakayefifisha harakati zetu nyuma kwa staili hii anayotumia zitto na wenzake.Kamwe hatuwezi kuwa sehemu ya usaliti huu kwa kumruhusu kutuvuruga.Never !

Kama kweli anahujumu chama mnangoja nini kumnyanganya kadi?mnataka awe anashinda ofisini mnasahau kwamba yeye ni mbunge tena wa kitaifa sio jimbo tu,hata hivyo kale kazee kenu si mnakalipa ml 7 kila mwezi mbali na zile ml 140 kalizozihujumu hali iliyopelekea mwigamba mwenyekiti wa mkoa wa arusha kufukuzwa makao makuu kitengo cha fedha baada ya kukataa kumpa mshumbusi ml 100 eti yakutengeneza program ambayo kikawaida

inagharimu si zaidi ya laki tano.vipi huyu fisadi papa anaeimba wimbo wa malaika huku yeye mwenyewe akicheza ngoma ya kishetani unamzungumziaje?nasikia mbowe nae alimshikia bango alipe ml 140 alizohujumu lakinni sasa hivi ameishiwa nguvu baada ya binamu yake lema nae kukimbia na hela za m4c.
 
slaa ni msukule wa mbowe mzee hajitambui mbowe amefanikiwa kumzima slaa mdomo kwa kumlipa mshahara wa mil 7 kila mwezi.
Halafu eti anajiita mkombozi, shame on him mkombozi huku anadhurumu fedha za watanzania kwa kujilipa mshahara mnono na kujikopesha mamilioni? ....Hana hata haya huyu babu mpenda wake za watu! ...
 
hahahahahahah...."HATA WEWE PIA UMETOROSHA PESA KWENDA USWIS KIASI CHA $3.5mln." Je nikweli(unalizungumziaje)? Je huoni kwamba nawewe "UNAFUKARISHA"
Hili jambo ni zuri sana..sema umekosea mtu wa kumuuliza..Swali linamfaa sana Mbowe na Lema waliolamba hela ya M4C iliyofanyika jijini Dar es Salaam..Kwenye kikao cha kamati kuu walipohojiwa hawana jibu wanamba samahani tu.
Hili swala Linamhusu sana Dr.slaa na Josephine waliokopa pesa za chama,kujengea nyumba Bunju.Ona sasa chama kimefirisika kabisa,Ruzuku nchi nzima imesitishwa kwa muda wa miezi 6.

Wewe nawe umekuwa msemaji mkuu wa Zitto???? Khaaaa...Jadili mada na sio mtu
 
Naipenda sana JF kwa sababu inakupa angaa kidokezo kidogo cha worldview ya Wabongo na wapi taifa hili linaelekea. Katika mjadala huu nimenyofoa mambo mawili makubwa: Mhe Zitto amesisitiza kwa usahihi na ufasaha juu ya 'cancer' kubwa ambayo inalisumbua taifa hili - UFISADI (ukitaka kujua zaidi juu ya mfumo wa kifisadi google KLEPTOCRACY). Ufisadi nchini Bongo sio tatizo la kufikirika - it's real na ndo imekuwa mojawapo ya ajenda kuu za CHADEMA na wanaharakati wengine: kuendesha vita dhidi ya UFISADI. Basi katika hali kama hii ungetarajia wana-JF wajikite katika kujadili jinsi ya kutokomeza UFISADI.
Kwa bahati mbaya, (na hili ndilo la pili nililolinyofoa) kumbe tunayo 'cancer' ya pili - THE CULT OF PERSONALITY POLITICS. Huu ni utamaduni ambao huwa ni mojawapo ya nguzo kuu za mifumo ya chama kimoja. Nilifikiri kizazi kipya ambacho kimekulia katika mfumo wa vyama vingi kingeondokana na utamaduni huu uliokuwa nguzo ya enzi za 'zidumu fikra za mwenyekiti', kumbe wapi, ndio vijana wanaojiita Great Thinkers wamezamia. The cult of personality politics haiwezi kutufikisha mbali na nyie ndio tegemeo la ukombozi wa wanyonge/walalahoi/walazwahoi - It's a shame on you, it's PATHETIC.:redface:
 
hakuna mtu anayemnyima zitto fursa chadema.anajinyima yeye mwenyewe.Yeye ni naibu katibu mkuu,jiulize kwa nini haonekani ofisini?Jiulize ni kwanini hashirikiani na wenzake kwenye M4C? Kazi yake kubwa ni kuhujumu chadema.Hakuna kijana mwenye akili timamau ambaye hakerwi na hali hii.Kazi yake kubwa ni kukichafua chama yeye na kundi lake halafu anategemea kugombea urais kupitia chadema kweli?
Vijana chadema tutamsimama kumzuia kiongozi au mwanachama yeyote atakayefifisha harakati zetu nyuma kwa staili hii anayotumia zitto na wenzake.Kamwe hatuwezi kuwa sehemu ya usaliti huu kwa kumruhusu kutuvuruga.Never !

Mbona 2009 alipotaka kugombea uenyekiti wa chama taifa mzee MTEI mkwe wa mbowe alimzuia na kusema kwamba hawezi mpa mtu chama asiemjua yaani asie mchaga.
maana ya m4c ni movement for chaga ndio maana Lema kaweka m4c kama mradi wake wa kujiendeshea maisha baada ya kutoswa ubunge.
 
Mbona 2009 alipotaka kugombea uenyekiti wa chama taifa mzee MTEI mkwe wa mbowe alimzuia na kusema kwamba hawezi mpa mtu chama asiemjua yaani asie mchaga.
maana ya m4c ni movement for chaga ndio maana Lema kaweka m4c kama mradi wake wa kujiendeshea maisha baada ya kutoswa ubunge.
Zaha unanipa raha
 
Asante kwa kujibu hizi tuhuma.

Tusikubali kuondolewa kwenye mada kuu kwa habri za kufikirika na kutungwa. Siwezi kujibu tuhuma za kufikirika pia mbazo haziwezi kufikia hata thamani ndogo ya kusadikika.

Sio tu huko ughaibuni, hata hapa nchini akiba zangu zipo benkii za makabwela NMB na CRDB. Akiba zangu zipo wazi kwenye fomu za maadili ya umma. Sina biashara yeyote ya kunifanya kuwa na mabilioni au hata mamilioni.

Wala sitegemei kuwa mfanya biashara maana mimi naamini kabisa kwenye utumishi wa umma na kwamba ukishakuwa mtumishi wa umma na ukafanya biashara lazima kutakuwa na mgongano wa maslahi.

Nadhani tujadili mada iliyopo na tusihame mada kwa kuingiza masuala ambayo hayapo tena ya kutungwa tu. Najua wengi humu hamumjui Zitto. Mnaye Zitto wenu kichwani ambaye mnadhani ndio Zitto halisi. Iko siku mtamjua Zitto halisi ambaye hatokani na propaganda za kizushi na zenye mikakati maalumu.

Turudi kwenye mada. Tujadiliane namna ya kupambana na ufisadi ili kukuza maendeleo ya vijijini na hatimaye maendeleo ya nchi. Tofauti ya kipato kati ya wenye nacho na wasionacho inazidi kutanuka kutokana na mfumo wa uchumi unaozalisha 'rent seekers' badala ya wazalishaji. Tunatokaje huko? Way forward ni ipi? Mjadala uendelee
.
 
Mbowe nae anakundi lake la akina Lema,Kilewo,Deo mushi,deo munishi,Gidion,john mrema na wachaga wengine kazi yao ni kumchafua zitto.

Majina yote hayo naona kama ni ya ngara mtoni,huyo munishi sio yule katibu wa bavicha ?ni zuzu fulani hivi anaongea kama mwanamke,kujishebedua kwiiingii kama demu,tena ni ndugu yake mbowe kabisaaa na ndio maana amewekwa nafasi inayolipwa mshahara.kweli cdm ina wenyewe!huyo kilewo nae ndo yule aliyefunga ndoa na mke wa mtu?deo mushi ndo yule anaejitapa kuwa mgombea ubunge kinondoni?mbona heche msukule hajampinga kama alivyofanya kwa shibuda?au kwakuwa na yeye katangaza kugombea tarime?(double standard).kama ndo hao mbona vijana wepesi saana wala sijaona anaeweza kupambana na zitto hapo,njaa zinawasumbua kwani wanaishi kwakupeleka majungu kwa mbowe.maana huyo mrema(molemo)yeye ndo chadema kilimuolea mke.bado sijaona mtu hapo zaidi ya uchagga na ukaskazini hivyo sishangai kumpinga zitto,nasisitiza rais ajae,kipenzi cha vijana walio wengi.
 
Mbona 2009 alipotaka kugombea uenyekiti wa chama taifa mzee MTEI mkwe wa mbowe alimzuia na kusema kwamba hawezi mpa mtu chama asiemjua yaani asie mchaga.
maana ya m4c ni movement for chaga ndio maana Lema kaweka m4c kama mradi wake wa kujiendeshea maisha baada ya kutoswa ubunge.

Umenikumbusha mbali kweli,inaonyesha una kumbukumbu sana wewe
 
Wapi molemo(ant zitto)sijamuona kabisa leo kutoka povu kama kawaida yake.zitto for presidential position 2015.hatufanyi makosa kama yale tuliyofanya 2010 kwa kumchagua babuuuuu silaaaaaaaaliiii
 
Ushauri wangu kwa chadema:Ni bora muchaguwe kusuka ama kunyoa.

Kusuka:Mwachieni Zitto agombee urais na mumsapoti.

Kunyoa:Kama ni kweli anatumika kuididimiza chadema na kuleta makundi,na kama mnaamini kwamba ni kweli ana hizo kashfa za kuchukuwa rushwa na kushirikiana na maadui wa chadema(kuna hata shutma kuhusu ushirikiano wake na Zoka),chukueni hatua stahiki,otherwise mnajimaliza wenyewe na tunapoteza muda na mambo kama haya badala ya kustick kwenye issue za kulikomboa taifa.

Kwa style hii chadema mna shoot your own feets bila kujitambuwa,unafiki siyo kitu kizuri hata kidogo.Mnapoyaachia haya mambo,mnaepelekea wengi wetu tuamini yanayosemwa humu na members wanaoikosoa chadema.Ni ushauri ti.
 
Mh. Zitto, kwanza pole sana na majukumu. Pia asante sana kwa kutukumbuka wana jukwaa (nilidhani umekimbia missile)!!

Mh. Zitto, ninayo mengi ningehitaji kuyafahamu kutoka kwako maadamu umekuja lakini naomba nianze na hili ili twende sawa:-

Mh, umezungumza vizuri sana na kwa uyakinifu, ila naomba kabla hujaendelea utufafanulie juu ya tuhuma zinazo kukabili kuhusu "HATA WEWE PIA UMETOROSHA PESA KWENDA USWIS KIASI CHA $3.5mln." Je nikweli(unalizungumziaje)? Je huoni kwamba nawewe "UNAFUKARISHA" watz(kama ni kweli)!?
vilaza Job
 
Last edited by a moderator:
Wapi molemo(ant zitto)sijamuona kabisa leo kutoka povu kama kawaida yake.zitto for presidential position 2015.hatufanyi makosa kama yale tuliyofanya 2010 kwa kumchagua babuuuuu silaaaaaaaaliiii
Molemo ndio Jack zomba
 
kipanya_25_-_05_-_2012_20120531_1559455491.jpg

Wadanganyika!
 
hivi Mbona Zitto yupo kimya hakemia hawa watu wanaotukana na kudhalilisha chama na viongozi wake wa juu hapa? Nilitegemea Yy kama Katibu msaidizi atoe kauli hapa. Ama anataka tuamini na yy anahusika kwa haya matusi na kejeli kwa viongozi wa chama chake? Zitto upo kweli? ua letting me down Brother. Pls Say something on that.
Za mbayuwayu changanya na zako....kama ujui kusoma hata picha uoni?
 
Kupitia CCM?Tusipotaka si awi?Mmejuaje katiba itapunguza miaka?Au ndivyo CCM walivyowadanganya?Kwani katiba ya CDM nayo itabadilika?

Ona unavyokurupuka huku ukitokwa povu,msipotaka na nani?chaggaz au?katiba ya cdm ndio inayotoa rais?pole sana maana utakuja kufa kibudu pindi umuonapo zitto akitokea magogoni.utake usitake zitto mdie rais ajae kama unabisha subiri utaona.
 
Back
Top Bottom