Mabilionea 30, na yeye yumo, halafu kwa ulafi wake kapelekea mafukara 30 kwa kutuuzia miti ya iringa na kudai eti imetokea sauth, halafu madai ya kuwepo mgao wa umeme wakati megawati zipo za kutosha. Fisadi wewe
Tuambie, mbona tangu Mhando kupumzishwa hujaja na kauli, Tanzania kuingia gizani? na kumbuka mvua hazinyasha kwa muda sasa lakini megawati zipo za kutosha.
pamoja na kuwa mie sio shabiki wa chama chochote...lakini ili tanzania ipige hatua system nzima inabidi iondoke,
utawala wa ccm na sera zake zilizoshindwa ziende....
Sasa hivi tanzania haina viongozi imejaa watawala... Naam kuna watawala na si viongozi.... Watawala wanaowaza matumbo yao na ya wajukuu wao na si kuwazia watanzania kwa ujumla....
Nchi inayotegemea kodi za beer na mishahara ya wafanyakazi wakati kuna rasilimali za kutosha kuendeleza nchi hii....
Wafanyabiashara wakubwa ndo wakwepaji kodi na loopholes hizo zimefumbiwa macho maana watawala/wanasiasa ndio wafanyabiashara wenyewe......
Dhahabu toka ianze kuchimbwa imemnufaisha nani? Kama sio watawala na 10% zao?
Leo mwananchi anapokonywa ardhi anapewa "mwekezaji" kisha anaambiwa mwekezaji atatengeneza aiira, ajira gani? Kwa nini mwananchi asiwezeshwe? Akajiajiri badala ya kuwa manamba?
Viwanda vyote vimekufa/vimeuzwa kwa wawekezaji je wamewekeza nini? Leo mpaka kitenge kifuatwe china? Eti "chinese wax?" Excuse me please...
Ranchi si wameuziana wenyewe?
Hadi nyumba za serikali, ambazo zipo kwenye maeneo muhimu si wameuziana wenyewe?
Loliondo si iliuzwa kwa mwarabu? Kwa nini pasingeendelezwa wamasai wale wakapata ajira na nchi ikapata pato kutokana na utalii na uwindaji
bado zengwe la mafuta na gesi.......
Watawala wa tanzania ndo tatizo wanaona mwisho a pua zao, wanaona mwisho wa familia zao, hawa watawala ndio wa kuondoka...
Tanzania inahitaji viongozi si watawala.........
Viongozi wenye maono na wanaofanyia kazi vision zao, sio vision za kwenye makaratasi ambazo hazitekelezwi either kwa makusudi au kwa udhaifu....... Kuna watu huko vijijini anakosa shilingi mia ya kununua chumvi......miaka 50 sasa ya uhuru.......
Watawala must go..... Tunahitaji tanzania mpya yenye uwajibikaji na si tanzania ya walaji.....
Sioni tatizo la Utajiri, umaskini na ufukara kuwa ni la kuumiza kichwa, ni vitu tu vilivyojengwa na mifumo ya kidunia ili kuwatia watu hofu na chuki.
Tusikubali kuondolewa kwenye mada kuu kwa habri za kufikirika na kutungwa. Siwezi kujibu tuhuma za kufikirika pia mbazo haziwezi kufikia hata thamani ndogo ya kusadikika.
Sio tu huko ughaibuni, hata hapa nchini akiba zangu zipo benkii za makabwela NMB na CRDB. Akiba zangu zipo wazi kwenye fomu za maadili ya umma. Sina biashara yeyote ya kunifanya kuwa na mabilioni au hata mamilioni. Wala sitegemei kuwa mfanya biashara maana mimi naamini kabisa kwenye utumishi wa umma na kwamba ukishakuwa mtumishi wa umma na ukafanya biashara lazima kutakuwa na mgongano wa maslahi.
Nadhani tujadili mada iliyopo na tusihame mada kwa kuingiza masuala ambayo hayapo tena ya kutungwa tu. Najua wengi humu hamumjui Zitto. Mnaye Zitto wenu kichwani ambaye mnadhani ndio Zitto halisi. Iko siku mtamjua Zitto halisi ambaye hatokani na propaganda za kizushi na zenye mikakati maalumu.
Turudi kwenye mada. Tujadiliane namna ya kupambana na ufisadi ili kukuza maendeleo ya vijijini na hatimaye maendeleo ya nchi. Tofauti ya kipato kati ya wenye nacho na wasionacho inazidi kutanuka kutokana na mfumo wa uchumi unaozalisha 'rent seekers' badala ya wazalishaji. Tunatokaje huko? Way forward ni ipi? Mjadala uendelee
watendaji wa serikali,wanasiasa ndo hao wafanyabiashara wa nchi hii,kiasi kikubwa imechangiwa na chama tawala kuwafata wafanyabiashara na kuwaomba kugombea nafasi za uongozi kama vile udiwani,ubunge nk.
Tenganisha siasa na biashara kwanza....alafu tuanzie hapo kuangalia other factors
Tusikubali kuondolewa kwenye mada kuu kwa habri za kufikirika na kutungwa. Siwezi kujibu tuhuma za kufikirika pia mbazo haziwezi kufikia hata thamani ndogo ya kusadikika.
Sio tu huko ughaibuni, hata hapa nchini akiba zangu zipo benkii za makabwela NMB na CRDB. Akiba zangu zipo wazi kwenye fomu za maadili ya umma. Sina biashara yeyote ya kunifanya kuwa na mabilioni au hata mamilioni.
Wala sitegemei kuwa mfanya biashara maana mimi naamini kabisa kwenye utumishi wa umma na kwamba ukishakuwa mtumishi wa umma na ukafanya biashara lazima kutakuwa na mgongano wa maslahi.
Nadhani tujadili mada iliyopo na tusihame mada kwa kuingiza masuala ambayo hayapo tena ya kutungwa tu. Najua wengi humu hamumjui Zitto. Mnaye Zitto wenu kichwani ambaye mnadhani ndio Zitto halisi. Iko siku mtamjua Zitto halisi ambaye hatokani na propaganda za kizushi na zenye mikakati maalumu.
Turudi kwenye mada. Tujadiliane namna ya kupambana na ufisadi ili kukuza maendeleo ya vijijini na hatimaye maendeleo ya nchi. Tofauti ya kipato kati ya wenye nacho na wasionacho inazidi kutanuka kutokana na mfumo wa uchumi unaozalisha 'rent seekers' badala ya wazalishaji. Tunatokaje huko? Way forward ni ipi? Mjadala uendelee.
Mkuu Zitto, mimi ni mwanachama wa CDM kwa zaidi ya miaka 10, na miongoni mwa wengi wenye matumaini kuwa mwisho wa utawala wa CCM na sera zake mbovu ni 2015. Hata hivyo, mara mbili nimemskia mwenyekiti Mbowe akitoa kauli tata kuhusu mfumo unaofaa kusimamia uchumi wa nchi hii ili kuwanufaisha wananchi wote. Nasema tata kwa kuwa sijaona tofauti yake na hizi za CCM, na ninahofia tusije kufanya makosa hayahaya ya CCM tukidhani kuwa now it is our turn.Tusikubali kuondolewa kwenye mada kuu kwa habri za kufikirika na kutungwa. Siwezi kujibu tuhuma za kufikirika pia mbazo haziwezi kufikia hata thamani ndogo ya kusadikika.
Sio tu huko ughaibuni, hata hapa nchini akiba zangu zipo benkii za makabwela NMB na CRDB. Akiba zangu zipo wazi kwenye fomu za maadili ya umma. Sina biashara yeyote ya kunifanya kuwa na mabilioni au hata mamilioni.
Wala sitegemei kuwa mfanya biashara maana mimi naamini kabisa kwenye utumishi wa umma na kwamba ukishakuwa mtumishi wa umma na ukafanya biashara lazima kutakuwa na mgongano wa maslahi.
Nadhani tujadili mada iliyopo na tusihame mada kwa kuingiza masuala ambayo hayapo tena ya kutungwa tu. Najua wengi humu hamumjui Zitto. Mnaye Zitto wenu kichwani ambaye mnadhani ndio Zitto halisi. Iko siku mtamjua Zitto halisi ambaye hatokani na propaganda za kizushi na zenye mikakati maalumu.
Turudi kwenye mada. Tujadiliane namna ya kupambana na ufisadi ili kukuza maendeleo ya vijijini na hatimaye maendeleo ya nchi. Tofauti ya kipato kati ya wenye nacho na wasionacho inazidi kutanuka kutokana na mfumo wa uchumi unaozalisha 'rent seekers' badala ya wazalishaji. Tunatokaje huko? Way forward ni ipi? Mjadala uendelee.
Ni kweli. Lazima tuanzie hapa. Kwamba mtu anayetaka kuwa mtumishi wa umma lakini anafanya biashara aache biashara. Aweke kwenye 'blind trust' biashara zake katika kipindi chote cha utumishi wa uuma. Mataifa makubwa tena ya kibepari duniani yanafanya hivi. Sisi Taifa lililotoka kwenye ujamaa tunashindwa kuchukua hatua hii. Mara 3 nimepeleka muswada Bungeni kutaka kutungwa kwa sheria ambayo itadhibiti mgongano wa maslahi kati ya wafanyabiashara ambao ni wanasiasa na mra zote imekataliwa hata kuchapishwa kwenye gazeti la serikali (GN).
Nakubaliana na wewe kabisa kwamba hapa ndio mahala pa kuanzia. Kisha uwazi wa mali za viongozi. Hivi sasa tunatangaza mali lakini wananchi hawana access. Matokeo yake ni wananchi kuwa na mawazo tofauti kuhusu viongozi wao. Daftari la mali na madeni ya viongozi liwe wazi. Mfano kwa wabunge liwekwe pale ofisi za Bunge Dar na Dodoma. Daftari liwe wazi kwenye website ya Bunge. Ili kama kiongozi amedanganya iwe rahisi kwa wananchi kumsema na kuona kuona kama anamiliki mali zaidi ya kipato chake.
Uwazi ni msingi mkubwa sana wa kupambana na ufisadi. Uwazi utaondoa majungu na kuzushiana. Uwazi utawapa nguvu wananchi juu ya viongozi wao.