MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 836
JK angeweza kufanya the same thing Mwanawasa did. Kama shida yake ilikua kuingia by any means necessary angeweza kuwa tumia hao mafisadi kisha akawa geuka. Nadhani JK anacho ogopa ni kitamkuta nini baada ya kustaafu kama ata wagusa hawa watu. Maana miaka yake mitano karibia inaisha, akipewa na hiyo mingine nayo itaisha before you know it. I think JK is concerned over his retirement more than anything. Anajua akiwagusa akija kuondoka na akaingia puppet wa hawa majamaa basi shuguli itakua kwake. Sasa this also makes me wonder if JK is as clean as we think. Kama mtu hauja wahi kuiba unaogopa nini hata wakija kuamua kuku shitaki baadae? Otherwise analeta undugu wa kiCCM kuwa hawa wenzangu ni wa chama changu sitaki kuwagusa.
JK is simply are coward. I don't see any excuse for him. Kama wakina Mwanawasa na wa Muthrika wote wameweza kushitaki watu wa chama chao tena watu walio walobby wapate uraisi iweje ashindwe yeye? Bingu wa Mutharika yeye alipoona chama ndiyo tabu aka hama aanzishe cha kwake mwenyewe.
Tatizo hili bango la "Haven of Peace" lina tuumiza sana sisi. Watu hata tufanyiwe ujinga gani ili mradi tuambiwe tuna amani basi oh sisi tuna nafuu ya wengine. Kuna faida gani kama unaepuka gonjwa fulani una kuja kukwa ugonjwa mwingine? Watanzania tuamke. Hii amani tunayo jisifia wenzetu wana zidi kusonga mbele tu.
In conclusion nataka kusema JK & the forth phase gov'ment habe been a big failure & disappointment. We lack courages leaders. Hakuna leader who is ready to challenge the status quo for the better of the people. Ile ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya mwenzetu alikua ana maanisha vingine. I don't see how JK can look back on this term & say he has accomplished anything of significance. na mwakani mta sikia oh kazi tumesha ianza tupeni miaka mitano mingine ili tumalizia, NONSENSE!!! They have been asking for five more years fore the past three elections na hatuoni chochote.
JK YOU ARE SIMPLY A FAILURE & THERE IS NO EXCUSE FOR THE LET DOWN YOU HAVE SHOWN TANZANIANS. IF YOU ARE HALF THE LEADER YOU THINK YOU ARE YOU WILL JUST RETIRE NEXT YEAR(DOUBTFUL).
JK is simply are coward. I don't see any excuse for him. Kama wakina Mwanawasa na wa Muthrika wote wameweza kushitaki watu wa chama chao tena watu walio walobby wapate uraisi iweje ashindwe yeye? Bingu wa Mutharika yeye alipoona chama ndiyo tabu aka hama aanzishe cha kwake mwenyewe.
Tatizo hili bango la "Haven of Peace" lina tuumiza sana sisi. Watu hata tufanyiwe ujinga gani ili mradi tuambiwe tuna amani basi oh sisi tuna nafuu ya wengine. Kuna faida gani kama unaepuka gonjwa fulani una kuja kukwa ugonjwa mwingine? Watanzania tuamke. Hii amani tunayo jisifia wenzetu wana zidi kusonga mbele tu.
In conclusion nataka kusema JK & the forth phase gov'ment habe been a big failure & disappointment. We lack courages leaders. Hakuna leader who is ready to challenge the status quo for the better of the people. Ile ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya mwenzetu alikua ana maanisha vingine. I don't see how JK can look back on this term & say he has accomplished anything of significance. na mwakani mta sikia oh kazi tumesha ianza tupeni miaka mitano mingine ili tumalizia, NONSENSE!!! They have been asking for five more years fore the past three elections na hatuoni chochote.
JK YOU ARE SIMPLY A FAILURE & THERE IS NO EXCUSE FOR THE LET DOWN YOU HAVE SHOWN TANZANIANS. IF YOU ARE HALF THE LEADER YOU THINK YOU ARE YOU WILL JUST RETIRE NEXT YEAR(DOUBTFUL).