Mafisadi kuhamia CHADEMA?

Mafisadi kuhamia CHADEMA?

nauliza kama Nape anaakili mtepeto , Je nani timamu ccm
 
Acha ujinga, kila kitu unakitazama kwa ukabila, udini nk. Kwa hoyo Uhuru ni Gazeti la Magamba au ni la Waislam ama wakristo? Acheni ujinga, huna cha kuchangia potezea.

Crackpot..
 
Chonde chonde Chadema mnaona wenzenu CUF wanavyozimika kama moto wa mshumaa, licha ya hii taarifa ya gazetini tayari kuna taarifa za ndani ya chama kutaka kupewa msaada na mafisadi ili kujiimaarisha tunaonya tena.

TUNAONYA Chadema kutochukua senti moja ya hawa mafisadi maana mtafikiri ni siri lakini itagundulika tu, na hiyo ya mafisadi kutaka kujipendekeza chadema ni baada ya kuona uwezekano mkubwa wa Chadema kuchukua dola kipindi kijacho na wao hawatakuwa na pa kukimbilia maana lazima wajibu tuhuma zote sasa ili kuwa on safe side na tusiweze kuwahoji watakuja na hizo senti zao kutoa support ili chadema ichukue nchi.

Nasema tena narudia Chadema ni mali ya Wanachama wa Chadema tumeifikisha hapo ilipofika kimasikini na hata kama hatutakuwa na senti ni bora twende kigumu hivyo hivyo lakini si kuchukua senti moja ya mafisadi maana hao hao watatoa siri na watakimaliza chama kabisa.
 
Hatutaki mambo ya KUKUTANA BARABARANI HAPA. Hata hivyo hata akihamia CDMbasi awe tayari kusugua benchi maana na ya CHADEMA haipatikani kwa sasa.
 
walisema mbunge wa mbalari kahamia CDM

Mambo ya Godwin mzee wa tetesi haya sijui wanapima akili za watu au upepo
 
chadema 2nataka vichwa vyenye uwezo wa kujenga hoja na kutetea wananch, lowasa hafai cdm abak huko huko kitaeleweka
 
Huyu Dingi asipokelewe CDM. Tutakuwa tumepoteza dira endapo tutafanya hivyo. Maana isije tunakemea ufisadi kwa kuwa wako ccm na wakiwa cdm ni lulu la hasha tusithubutu kutenda kosa hilo la mapokezi ya EL.
 
Huyu Dingi asipokelewe CDM. Tutakuwa tumepoteza dira endapo tutafanya hivyo. Maana isije tunakemea ufisadi kwa kuwa wako ccm na wakiwa cdm ni lulu la hasha tusithubutu kutenda kosa hilo la mapokezi ya EL.

Hakuna wa kumzuia cdm..amewalipia fullsuite
 
Back
Top Bottom