Mafisadi kuhamia CHADEMA?

Mafisadi kuhamia CHADEMA?

Jaribu kuongea na Kubenea, akupe ukurasa wa ndani uandike huu upupu wako!
 
tangu lini mwizi akakubali yeye mwizi? atajitetea kwa kila hali
ukweli utabaki kuwa ukweli daima.Magamba yamechoka
lazima tuyachome moto ktk kura 2015
 
Basi kaombe ukurasa kwenye gazeti lenu Wachagga Tanzania Daima
Wewe na Nape chuki yenu kwa Wachaga iko dhahiri kwa nini? Hivi hata wale Wachaga ambao ni wapenzi,wanachama au viongozi wa CCM nao mnawachukia pia?
 
ritz una boa saana,hivi kwanini usikae kimya na kusoma posts za wenzako kuliko kuchangia PUMBA?
 
Kweli kabisa, kimojawapo tumekishuhudia Igunga kwa Chadema kukosa ubunge.
kingine katibu mwenezi wako kaawaambia vijana wa mwanza washike ukuta sijui alitaka kuwafanyia mchezo aliozoea kuwafanyia vijana wa ccm sijui wewe,ritz1,rejao na mzee alishawaharibu sasa anataka wa upinzani?

kweli mna mwenezi.
 
Kati ya watu watakoafaidika na hizi fedha za "kupambana na mafisadi" na kuokoa CCM inayokufa ni waandishi wa habari! Sidhani kama wanatafuta habari au husubiri kuelekezwa mambo ya kuandika toka kwa wanasiasa!
 
Gazeti la kulikoni la tarehe 14/10/2011
Ume Source gazeti, then umeandika gazeti lako huku unalialia kutafuta huruma ya pro CDM JF members, hakuna wa kuwahurumia hapa. Mmeyaanzisha wenyewe na muyamalize wenyewe. Kwa taarifa yako hakuna aliye msafi CCM, jitu kama Nape na matusi na ligha za kihuni lilizo nazo halifai hata kuwa mwenyekiti wa mtaa, nyie mnalipa uenezi ili afiche ulegelege wenu...
 
Kweli kabisa, kimojawapo tumekishuhudia Igunga kwa Chadema kukosa ubunge.
We si unashikishwa ukuta na Nape, Mwigulu na kilaza Lusinde...
Tatizo la kusomea ngumbalu kule pemba, badala ya kusikitikia ndugu zako 4000 waliozama na meli uko busy na issues za Tanganyika, tuanchie nchi yetu wewe mpemba.
 
Huu ni mkakati wa kujaribu kuichafua CDM , yaani mtu akienda kinyume na Nnape basi ameenda CDM? kwani hapa reference imewekwa ya Benno na tamko lake .

CCM watajua wenyewe na chama chao kinachoenda kufa , wasitafute pa kujishikilia .
 
Phyuuu phyuuu [phyuuu phyuuuu......

Msushangae wakuu huu ni mluzi tu na mikono mfukoni nabarizi kwa kutembea tembea........ Magamba hali ngumu!!
 
Jaribu kuongea na Kubenea, akupe ukurasa wa ndani uandike huu upupu wako!

Ebo! Aliyeandika upupu mtoa mada au wewe unayekurupuka utadhani umekatwa kichwa?
Kama unadhani hupendi kilichoandikwa tafuta post unazoona yameandikwa unayoyapenda
uchangie, hujalazimishwa kuchangia post hii...
 
kingine katibu mwenezi wako kaawaambia vijana wa mwanza washike ukuta sijui alitaka kuwafanyia mchezo aliozoea kuwafanyia vijana wa ccm sijui wewe,ritz1,rejao na mzee alishawaharibu sasa anataka wa upinzani?

kweli mna mwenezi.

Mi' nadhani tujaribu kuwa wastaarabu kidogo kwenye mambo ya msingi,
tusijaribu kutoa lugha mbaya kwa wale tunaodhani wana mitazamo hasi
kwetu kwani hatuwasaidii ila tunawapoteza kwa kupandikiza chuki...
 
Malisa alitaka vijana wa CCM kuungana na wa vyama vya upinzani kuwawajibisha waliopinga Dowans kununuliwa.

Hotuba ya Malisa ambaye sasa anaonekana wazi kuwa upande wa mafisadi, ilijaa kejeli na dharau kwa serikali na uongozi wa CCM Taifa, hali iliyotafsiriwa kuwa ni uasi wa waziwazi.

I see,

YAONEKANA HAWA JAMAA WAMEPOTEZA NGUVU KWANZA KITENDO CHA ROSTAM AZIZI KUKUBALI KUFANYA KAMPAGNE WAKATI HUOHUO AKIWA NA CHUKI ZA SIASA UCHWARA SIAMI HIKI KITU PIA.

PIA NADHANI SASA ROWASA ANATAKA APANDE KWENYE MTANDAO WA CHADEMA ARUSHA KUTAKASA TAKA ZAKE MIMI AKIGOMBEA URAISI NAMPA KWANI CHARLS TAYLOR ALIPOUWA WATU ALAFU AKAGOMBEA WALISEMA UMEUWA MAMA YANGU LAKINI URAISI NAKUPA KURA YANGU, NAMPENDA NA MAUJASIRI YAKE YA KIFISADI.
 
Basi kaombe ukurasa kwenye gazeti lenu Wachagga Tanzania Daima

Acha ujinga, kila kitu unakitazama kwa ukabila, udini nk. Kwa hoyo Uhuru ni Gazeti la Magamba au ni la Waislam ama wakristo? Acheni ujinga, huna cha kuchangia potezea.
 
Back
Top Bottom