CDM wasijaribu kuruhusu hii kitu.
Ila taarifa nilizo nazo za kiintelijensia zinasema hivo.
Hebu subiri kwanza, your SOURCE please?
Mbona alishakwenda huko siku nyingi?
Mbona alishakwenda huko siku nyingi?
hapo atakua kahamia nyumba ya ndugukwa nini asiende cuf?
..............isije ikawa kama zile za IGP za kuzuia maandamano ya Arusha bro, hizi taarifa za intelijensia zinatumika sana hasa Arusha...ona mtoto wa kigogo na simu ya kuzuia kuzinduliwa matawi ya UVCCCCM nazo zilikuwa za kiintelijensia!!!! Hizi intelijensia zisizo intelijensia zitatupa shida tuCDM wasijaribu kuruhusu hii kitu.
Ila taarifa nilizo nazo za kiintelijensia zinasema hivo.
Ulijuaje alishakwenda huko?Mbona alishakwenda huko siku nyingi?
Huwa tunapuuza sana tunapoambiwa tusiyotaka kusikia .....
mkuu kama uliona vileeHuyu Dingi asipokelewe CDM. Tutakuwa tumepoteza dira endapo tutafanya hivyo. Maana isije tunakemea ufisadi kwa kuwa wako ccm na wakiwa cdm ni lulu la hasha tusithubutu kutenda kosa hilo la mapokezi ya EL.