View attachment 299401
Salute forever.... sisi kama CDM asilia hatutasahau kukutusi wala kukudhihaki kamwe kama wafanyavyo CHD masilahi mbele, tunatambua na tutakuenzi kwa mchango wako juu ya chama chetu na tunakuhueshimu sana Dr. tunajua unajua kuwa sasa chdm imeshakuwa infected na mtandao ambao kiongozi wake sasa amegekuwa kuwa ndo kiongozi wa juu na atakalo ndilo linalofanyika. Ila tungependa ufahamu hili Dr. kuwa tunazoakili timamu kabisa na hatujasombwa na ushabiki na tunajua nini chakufanya tar25. Tunakushukuru sana kwa yote mazuri uliyo tusaidia kichama na kiuzalendo.
--------------------------------
Mungu ibariki Tanzania
Na Mungu akubariki Dr. Slaa