Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,630
- 46,106
Hapo wanaposimama, dereva na konda na wahudumu wote wanakula bure tena mpaka washibeUpo sahihi kabisa mkuu, lakini Madereva wastulazimishe tukale sehemu fulani.. Basi lisimame sehemu ambayo kila mtu awe na uhuru wa huduma.
Ndio mpango mzima wa kusimama wanakojua wao
Ni dili lao