Tuwataje Madereva wa Mabasi wanaobet kwa kuendesha magari ovyo ili wawahi kufika Stendi wapewe 100,000

Kommando muuza madafu

JF-Expert Member
Aug 30, 2022
2,698
5,915
Na declare interest mimi ni mdau wa usafirishaji Tanzania.

Lengo la kuanzisha huu uzi sio kuharibu biashara au maisha/ajira za watu ila ni kuokoa maisha ya watanzania wanaokufa kila siku kama panzi kwa uzembe na ujinga wa hawa madereva.

Mimi ni mkazi wa Mkoa wa Mbeya na huwa nafanya kazi za usafirishaji na mara nyingi huwa nakuwa barabarani na muda mwingine huwa pale Uyole stendi, Nane nane stendi au kule Ipogolo Iringa na Msamvu stendi pale Morogoro.

Kumekuwa na tabia ya ushabiki wa wapiga debe kwenye hizi stendi zetu kuhusu nani anakua wa kwanza kufika akitokea sehemu gani. Mfano kwa mabasi ya Dar-Mbeya pale Uyole kumekuwa na ushabiki huo. Mara nyingi vijana hawa wapiga Debe humu katika hizi stend zetu huwa na "team" na hujichangisha pesa na kufikia kiwango fulani mfano Tsh 200,000/= au 300,000/= hivyo hukubaliana. Gari litakalo wahi kufika dereva atapewa 100,000/= na hiyo nyingine 100,000/= au 200,000/= itapewa timu ya Gari iliyobet kuwa litawahi kufika stendi.

Kitendo hiki kipo kila stendi nchi hii na nimekishuhudia kwa macho yangu katika stendi za Uyole na nanenane Mbeya, Igumbilo Iringa, Msamvu Morogoro naBabati Manyara. Hali hii husababisha madereva kukimbiza na kukimbizana barabarani bila sababu yoyote. Wamekuwa wanafanya overtaking za hovyo bila kujali usalama wao na wa abiria zao.

Kuna siku nilisafiri toka Iringa naenda Mbeya na nilikuwa kwenye gari binafsi, tulipitwa na Newforce na nyuma yake ikaja Sauli. Walikuwa wana kimbizana. Sauli akitaka kumpita Newforce, Newforce hampi nafasi ya kupita na kama kuna gari linakuja mbele itabidi lile gari la mbele likae pembeni ili wao wapite. Hali hii ni mbaya sana na vyombo vya usalama vipo na vinaona.

Leo nimeletewa dokezo hili ili wewe mtanzania mwenye nia njema ukataji madereva wa mabasi wanaofanya huo ujinga kwa kuendesha rough ili kuwahi Beijing za kwenye mastend. Naamini vyombo vya usalama vipo humu na vitasaidia kuchukua hatua na kama hawatachukua hatua, damu za watanzania wenzetu zinazomwagika hukunwao wanafurahia kukusanya elfu 5 ziwe juu yao.

1. Mi naanza kumtaja yule dereva mwarabu mwembamba wa Kapricon Coach toka Mbeya kwenda Arusha.

2. Wengine ni madereva wote wa Sauli na newforce za Dar-Mbeya/Songwe.

20230622_005530.jpg
 
Na declare interest mimi ni mdau wa usafirishaji Tanzania.

Pia naomba Mods mnisaidie kuweka ile "prefix" ya dokezo na sio tetesi.

Lengo la kuanzisha huu uzi sio kuharibu biashara au maisha/ajira za watu ila ni kuokoa maisha ya watanzania wanaokufa kila siku kama panzi kwa uzembe na ujinga wa hawa madereva.

Mimi ni mkazi wa Mkoa wa Mbeya na huwa nafanya kazi za usafirishaji na mara nyingi huwa nakuwa barabarani na muda mwingine huwa pale Uyole stendi, Nane nane stendi au kule Ipogolo Iringa na Msamvu stendi pale Morogoro.

Kumekuwa na tabia ya ushabiki wa wapiga debe kwenye hizi stendi zetu kuhusu nani anakua wa kwanza kufika akitokea sehemu gani. Mfano kwa mabasi ya Dar-Mbeya pale Uyole kumekuwa na ushabiki huo. Mara nyingi vijana hawa wapiga Debe humu katika hizi stend zetu huwa na "team" na hujichangisha pesa na kufikia kiwango fulani mfano Tsh 200,000/= au 300,000/= hivyo hukubaliana. Gari litakalo wahi kufika dereva atapewa 100,000/= na hiyo nyingine 100,000/= au 200,000/= itapewa timu ya Gari iliyobet kuwa litawahi kufika stendi.

Kitendo hiki kipo kila stendi nchi hii na nimekishuhudia kwa macho yangu katika stendi za Uyole na nanenane Mbeya, Igumbilo Iringa, Msamvu Morogoro naBabati Manyara. Hali hii husababisha madereva kukimbiza na kukimbizana barabarani bila sababu yoyote. Wamekuwa wanafanya overtaking za hovyo bila kujali usalama wao na wa abiria zao.

Kuna siku nilisafiri toka Iringa naenda Mbeya na nilikuwa kwenye gari binafsi, tulipitwa na Newforce na nyuma yake ikaja Sauli. Walikuwa wana kimbizana. Sauli akitaka kumpita Newforce, Newforce hampi nafasi ya kupita na kama kuna gari linakuja mbele itabidi lile gari la mbele likae pembeni ili wao wapite. Hali hii ni mbaya sana na vyombo vya usalama vipo na vinaona.

Leo nimeletewa dokezo hili ili wewe mtanzania mwenye nia njema ukataji madereva wa mabasi wanaofanya huo ujinga kwa kuendesha rough ili kuwahi Beijing za kwenye mastend. Naamini vyombo vya usalama vipo humu na vitasaidia kuchukua hatua na kama hawatachukua hatua, damu za watanzania wenzetu zinazomwagika hukunwao wanafurahia kukusanya elfu 5 ziwe juu yao.

1. Mi naanza kumtaja yule dereva mwarabu mwembamba wa Kapricon Coach toka Mbeya kwenda Arusha.
2. Wengine ni madereva wote wa Sauli na newforce za Dar-Mbeya/Songwe.
Bora kuwaweka wazi matajiri wao wafahamu,zinazobebwa ni roho,sio magunia ya viazi
 
Wacha majungu,gari zimetengenezwa zikimbie.Watu wawahi waendako.Mimk sipendi.gari liendalo taratibu nataka linalokimbia hasa
Nakumbuka kuna siku nilitoka tunduma to dar kampuni kapuni yani siitaji kuna jamaa alikuwa anapita kuchangisha mchango wa buku mbili mbili kwaajiri ya faini za toch nazile ela akakabiziwa konda yani tunduma to dar tuliingia saa11 niliflai sana
 
Nyie mnaosema gari zimeundwa zitembee..sio kwa barabara hizi zetu ambazo sio rafiki barabara ambazo mashimo yamejaa..barabara ambazo zinakatisha mifugo..watu n.k..barabara za wenzetu kama ni high way ni high way kweli kweli hapo speed hata km 240/h yani wote wanakimbia hukuti wakatiza miguu au wafanyabiashara pembeni...sasa huku mnataka hizo speed kwa ubora upi? Mtatuua
 
Wewe ndiye sampuli ya watanzania wajinga waliojaa nchini. Hii nchi inapaswa wapewe waarabu. Hatuwezi kufika popote kwa aina hii ya watu.
Basi zinazoenda mbio zinaongeza kasi ya uchumi kukimbia

Ndio maana kuna hadi ndege.ziendazo kasi
Mabasi yanatakiwa kuwa ndege za barabarani kwa kukimbia watu wawahi waendeko.Basi la safari sio gari ya Bwana na bibi Harusi inayoenda taratibu

Binafsi sipendi kupanda basi lisilokimbia sana

Msafara wa Raisi wenyewe hukimbia mwendo wa kufa mtu kwa nini mabasi yakataliwe Basi anzeni kuzuia msafara wa Raisi usitimue mbio za kufa mtu
 
Msisahau hizi coaster za kutoka Mbeya kwenda Tukuyu/Kyela mwendo wao si sawa hta kidogo.
Kwani zinapitiliza spidi zilizoandikwa kwenye gari? Gari ikiwa na spidi 240 maana yake rukusa kuzifikia

Hazikuweka kama mapambo.Ni kuwa ukijisikia zifikie tu Haina shida hasa ukiwa safari ndefu

Hongereni madereva wa Mbeya,Tukuyu ns Kyela

Tatizo wengi wanaopinga mwendo mkali.wanaishi Dar es salaam ambako kutwa gari ukiendesha mwisho spidi 50.sababu ya msongamano wa magari.

Wanaleta woman wao kwenye gari za safari ndefu

Madereva wa Mabasi endesheni mbio.muwezavyo watu wawahi waendako
 
Na declare interest mimi ni mdau wa usafirishaji Tanzania.

Lengo la kuanzisha huu uzi sio kuharibu biashara au maisha/ajira za watu ila ni kuokoa maisha ya watanzania wanaokufa kila siku kama panzi kwa uzembe na ujinga wa hawa madereva.

Mimi ni mkazi wa Mkoa wa Mbeya na huwa nafanya kazi za usafirishaji na mara nyingi huwa nakuwa barabarani na muda mwingine huwa pale Uyole stendi, Nane nane stendi au kule Ipogolo Iringa na Msamvu stendi pale Morogoro.

Kumekuwa na tabia ya ushabiki wa wapiga debe kwenye hizi stendi zetu kuhusu nani anakua wa kwanza kufika akitokea sehemu gani. Mfano kwa mabasi ya Dar-Mbeya pale Uyole kumekuwa na ushabiki huo. Mara nyingi vijana hawa wapiga Debe humu katika hizi stend zetu huwa na "team" na hujichangisha pesa na kufikia kiwango fulani mfano Tsh 200,000/= au 300,000/= hivyo hukubaliana. Gari litakalo wahi kufika dereva atapewa 100,000/= na hiyo nyingine 100,000/= au 200,000/= itapewa timu ya Gari iliyobet kuwa litawahi kufika stendi.

Kitendo hiki kipo kila stendi nchi hii na nimekishuhudia kwa macho yangu katika stendi za Uyole na nanenane Mbeya, Igumbilo Iringa, Msamvu Morogoro naBabati Manyara. Hali hii husababisha madereva kukimbiza na kukimbizana barabarani bila sababu yoyote. Wamekuwa wanafanya overtaking za hovyo bila kujali usalama wao na wa abiria zao.

Kuna siku nilisafiri toka Iringa naenda Mbeya na nilikuwa kwenye gari binafsi, tulipitwa na Newforce na nyuma yake ikaja Sauli. Walikuwa wana kimbizana. Sauli akitaka kumpita Newforce, Newforce hampi nafasi ya kupita na kama kuna gari linakuja mbele itabidi lile gari la mbele likae pembeni ili wao wapite. Hali hii ni mbaya sana na vyombo vya usalama vipo na vinaona.

Leo nimeletewa dokezo hili ili wewe mtanzania mwenye nia njema ukataji madereva wa mabasi wanaofanya huo ujinga kwa kuendesha rough ili kuwahi Beijing za kwenye mastend. Naamini vyombo vya usalama vipo humu na vitasaidia kuchukua hatua na kama hawatachukua hatua, damu za watanzania wenzetu zinazomwagika hukunwao wanafurahia kukusanya elfu 5 ziwe juu yao.

1. Mi naanza kumtaja yule dereva mwarabu mwembamba wa Kapricon Coach toka Mbeya kwenda Arusha.

2. Wengine ni madereva wote wa Sauli na newforce za Dar-Mbeya/Songwe.
Suluhisho ni nini?
 
Back
Top Bottom