Tabia ya kila basi kupakia na kushusha abiria sehemu yoyote katika Jiji la Dar es Salam imekuwa kwa kasi ya ajabu. Hivi sasa Mabasi yamezagaa katika kila mtaa yanapakia na kushusha abiria waendao na watokao mikoani.
Hali hii imechochea ongezeko la ajali lakini pia usalama umekuwa mdogo sana.
Swali la kujiuliza ni je? Ni lipi haswa lengo la kujengwa stendi ya mabasi ya Magufuli Mbezi?!!!
Wananchi wengi wameanza kulalamika kuibiwa na kutapeliwa kwa mabasi yanayo Pakia abiria maeneo ya Shekilango, manzese, magomeni n.k.
Hakuna usalama, lkini pia mabasi yenyewe hayakaguliwi na wakaguzi wa mabasi yaani vehicle inspectors.
Kama kuna sheria inaruhusu kila basi kupakia na kushusha popote basi sheria hiyo irekebishwe mara moja na LATRA wanao wajibu wa kusimamia na kuhakikosha mabasi yote yanafuata na kutii sheria ya kupakia na kushusha abiria kwenye stendi maalum.
Nimepita maeneo ya shekilango, manzese n.k ni vurugu tupu, mambo yanaenda ovyoovyo!!! Kila basi linajifanyia mambo yake!!! LATRA mko wapi??!
Kumbe naweza kununua basi la abiria halafu nikawa napakiza na kushusha abiria nyumbani kwangu bila tatizo lolote.
hii vurugu imekuwa ni kichaka cha uhalifu wa kusafirisha bangi na aina nyingine ya madawa ya kulevya ni lazima Mamlaka husika zichukue hatua haraka.
Nawatakia krismas njema.
Yesu Kristu azaliwe kwenye mioyo yetu, tuwe na upendo na huruma kwa binaadamu wenzetu.
Hali hii imechochea ongezeko la ajali lakini pia usalama umekuwa mdogo sana.
Swali la kujiuliza ni je? Ni lipi haswa lengo la kujengwa stendi ya mabasi ya Magufuli Mbezi?!!!
Wananchi wengi wameanza kulalamika kuibiwa na kutapeliwa kwa mabasi yanayo Pakia abiria maeneo ya Shekilango, manzese, magomeni n.k.
Hakuna usalama, lkini pia mabasi yenyewe hayakaguliwi na wakaguzi wa mabasi yaani vehicle inspectors.
Kama kuna sheria inaruhusu kila basi kupakia na kushusha popote basi sheria hiyo irekebishwe mara moja na LATRA wanao wajibu wa kusimamia na kuhakikosha mabasi yote yanafuata na kutii sheria ya kupakia na kushusha abiria kwenye stendi maalum.
Nimepita maeneo ya shekilango, manzese n.k ni vurugu tupu, mambo yanaenda ovyoovyo!!! Kila basi linajifanyia mambo yake!!! LATRA mko wapi??!
Kumbe naweza kununua basi la abiria halafu nikawa napakiza na kushusha abiria nyumbani kwangu bila tatizo lolote.
hii vurugu imekuwa ni kichaka cha uhalifu wa kusafirisha bangi na aina nyingine ya madawa ya kulevya ni lazima Mamlaka husika zichukue hatua haraka.
Nawatakia krismas njema.
Yesu Kristu azaliwe kwenye mioyo yetu, tuwe na upendo na huruma kwa binaadamu wenzetu.