mauro
Senior Member
- Nov 28, 2011
- 108
- 34
Ukiingia kwenye mtandao wa "Badoo" mademu wa kibongo humo ndo wamo wengi sana, wote ni wezi, matapeli na wanaojiuza....
Badoo ni noma wadada wanajiuza hadi laki 2 waziwazi wanakuambia.ukisoma profile yake anataka kudate mwanamme miaka 30-60 yeye mwenyewe ana miaka 22/23 unashangaa.wadada wapo kipesa zaidi mengine baadae.
:A S 39::A S 39::A S 39:
Badoo ni noma wadada wanajiuza hadi laki 2 waziwazi wanakuambia.ukisoma profile yake anataka kudate mwanamme miaka 30-60 yeye mwenyewe ana miaka 22/23 unashangaa.wadada wapo kipesa zaidi mengine baadae.
:A S 39::A S 39::A S 39: