stata mzuka
JF-Expert Member
- Nov 25, 2012
- 4,834
- 1,765
Ni hapo Facebook mkuu sidhani kama wadada wa JF ni ombaomba? Hapa kila mtu anayadrive maisha kivyake na hata ukitaka msaada usisite kumwaomba mdada.
Kuna wengi wana njaa tu humu. Wanaojitegemea wachache sana.