neggirl
JF-Expert Member
- Jul 30, 2009
- 4,862
- 2,156
ukiwasiliana na mtu , unatiwa tu?
kwi kwiiiiiiii
nyinyi mmenichekesha sana!
ukiwasiliana na mtu , unatiwa tu?
Ukiona mtu analalamika kupigwa mzinga ujuwe kachacha huyo.
Kumbe wengi Humu Wauza Mwili!!Nilidhani ni MMU?neggirl said:hakuna lunch ya bure .. hakuna papuchi ya bure!
Kadada kamoja ka Ifm kaliniomba eti nikaongezee laki sita kakanunue laptop!!! Nilichoka. Mpaka sasa nimejitoa kinamna namna
..Wadada wanaomba sana siku hizi, hasa hawa wa Facebook! humjui, hakujui, lakini anaomba kama mlijuana mwaka kabla!
Hivi inakuwaje unakutana na demu ambaye sio mtu wako wala hakuwahi kuwa mtu wako ila mnafahamiana fresh tu... Lakini unakuta baada ya muda mrefu wa kutokuwasiliana siku ukijichenga tu ukampigia au ukamtumia sms badala ya jibu unalotarajia utasikia "nikopeshe laki na nusu nina shida nayo ntakurudishia!"... Au siku hiyo unaitwa "dear nina shida na elfu hamsini ya salon"... Sasa unabaki unashangaa mazoea hayo yameanzia wapi!!? Na kwanini mpaka ukimtafuta tu ndio anatangaza shida zake?? Mbona ukiwa kimya hakutafuti?? Girls u need to change... Shida zenu zisiwadhalilishe!! Mdau unasemaje kuhusu hili!!?
Hivi inakuwaje unakutana na demu ambaye sio mtu wako wala hakuwahi kuwa mtu wako ila mnafahamiana fresh tu... Lakini unakuta baada ya muda mrefu wa kutokuwasiliana siku ukijichenga tu ukampigia au ukamtumia sms badala ya jibu unalotarajia utasikia "nikopeshe laki na nusu nina shida nayo ntakurudishia!"... Au siku hiyo unaitwa "dear nina shida na elfu hamsini ya salon"... Sasa unabaki unashangaa mazoea hayo yameanzia wapi!!? Na kwanini mpaka ukimtafuta tu ndio anatangaza shida zake?? Mbona ukiwa kimya hakutafuti?? Girls u need to change... Shida zenu zisiwadhalilishe!! Mdau unasemaje kuhusu hili!!?
Hadi nafikia umri nilio nao cjawahi kumpiga dem mzinga
mwanaume ni kawaida kumtunza mwanamke.ila hii mentality papuchi kuwa direct propotional to hela.ila sio sababu unanipa papuchi ndo nikulipe.
ukiugua niskuuguze
ukipata tatizo nisisolve
mnaharibu dhana ya mapenzi.inakua nikununuana
Stata Mzuka hii ni tabia na imekuwa mazoea... Awe na hela au hana ni walewale tu... Kwa wale wenzangu tunaopata gambe wewe utakuwa shahidi yangu... Siku hizi ukiingia bar unakutana na mijicho ya hurumaaa inakuangalia sasa ikatokea moja ya meza yupo mmoja tu unamfahamu kidizaini tu ukatoa hi!! Ndugu hiyo hi yako utaiuza maana yatakuangalia umekaa wapi!! Then mhudumu anaitwa "mwambie yule kaka tunaomba bia!!!"... Nyambafu kwani mi ndio nimewaleta bar? Au mnajua bajeti yangu mfukoni... Asa wakati mwingine unakuta yanakunywa maji ukimwambia mhudumu waongezee wanavyokunywa... Hahahaha mzee utashangaa wanavyobadilisha huyu utasikia savana bariiidii! Mwingine nipe redbull.. Mwingine utasikia una dompo red hapo!!? Nyambaaaafu kama unakunywa dompo na huna hela unafuata nini bar!!? Kazi kuombaomba tu... Jamani madada zetu acheni hiyo tabia swala la kutombwa bure au na hela lisiwafanye muwe ombaomba!!!
hakuna lunch ya bure .. hakuna papuchi ya bure!
its seem wanawake mnaover demand.muangalie na hali za watu.unadate na muuza vocha anataka ujiachie kama banker.am joking