JT2014
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 1,863
- 1,374
Anajaribu kujiosha ili magamba
yamfutie dhambi ya kuipinga katiba yao.
Amesahau kwamba tumeishagundua kuwa kuwasikiliza hawa
wanaojiita wachambuzi wa mambo ya siasa
kumetufikisha hapa.
Tumeamua kujisikiliza sisi wenyewe
tukikosea tukosee wenyewe,na uamzi wetu
ni huu hapa: UKAWA mbele mengine nyuma,
Hakuna kulala mpaka kieleweke.
yamfutie dhambi ya kuipinga katiba yao.
Amesahau kwamba tumeishagundua kuwa kuwasikiliza hawa
wanaojiita wachambuzi wa mambo ya siasa
kumetufikisha hapa.
Tumeamua kujisikiliza sisi wenyewe
tukikosea tukosee wenyewe,na uamzi wetu
ni huu hapa: UKAWA mbele mengine nyuma,
Hakuna kulala mpaka kieleweke.