Mada Moto Channel Ten: Julius Mtatiro vs Humphrey Polepole

Mada Moto Channel Ten: Julius Mtatiro vs Humphrey Polepole

Polipoli ni kibaraka wa chama twawala kwa hiyo ili tumuue tusiendelee kumjadili.Madam tumeshamjua inatosha kumzungumzia na tuendelee kumzungumzia kamanda Ed Lo...
 
Anataka title kupitia watu nadhani mnaona Nzito alivyopotea baada ya watu kumpotezea...
 
nimeshangazwa na uchambuzi feki wa polepole ulioelemea kwenye mahaba ya ccm yake. anamtetea magufuli kwa kutokataa katiba pendekezwa wakati ni magufuli aliyepiga kura ya ndio kuunga mkono katiba hiyo. pia mgombea mwenza wa magufuli ndo alikuwa makamu mwenyekiti wa bunge maalumu la katiba lililosimamia uchakachuaji wa katiba ya wananchi. pia ni magufuli huyohuyo anayetuhumiwa kujiuzia nyumba za serikali kwa bei za kutupa...
 
Gulf Streamer

Mbona huko TYC hayupo tena ashajiuzulu. Alisema mwenyewe juzi chanel 10 akiwa na Msigwa mchungaji.
 
Last edited by a moderator:
pole pole hajielewi jana mchana kashindwa kujibu maswali ya wanafunzi vyuo kwenye kongamano la elimu ya uraia alipewa maswali 21 Alihangaika swali moja kwa dakika 25 mpaka moderator akamwambia polepole ame prove failure
 
Big up kwa brother Mtatiro. Polepole kinachomsaidia ni sauti tu ya kuongea lakini hana hoja zenye mashiko. Bila shaka polepole umetumwa na unachuki binafsi na Lowasa. Ila kaa ukijua Lowasa ndiye Rais, huyo Magufuli hawezipata Urais,hatuna imani na CCM tena. Tunataka mageuzi kama ulivyosema lakini ccm hana nia ya dhati ya kutupa hayo mageuzi kwa kuvikataa hivyo vitu ulivyoviainisha kwenye katiba ya warioba.

Mbona huwa mnapenda kusema ametumwa? Kumbe mtu ukisema ukweli unaambiwa umetumwa duh tutafika kweli?
 
Mganga njaa mmoja hivi ambaye saizi hana kazi zaidi ya kuzunguka kutukana Ukawa ili aweze kupata mlo wa siku
 
Mbona huwa mnapenda kusema ametumwa? Kumbe mtu ukisema ukweli unaambiwa umetumwa duh tutafika kweli?

Alisema ukweli gani,
Mbona mtatiro alisema Wagombea wote ni watuhumiwa lakn hakuna aliembeza?

Kiufupi Polepole yuko so biased,subjective and so individualised one..tulimpa umaarufu na sasa tutauchukuwa
 
Wasiomjua huyu HP huwa wanafikiri ni mtu genius saaana na muadilifu saaaana lakini wanaomjua wanasema ana makashfa ya kula pesa na infact ashawahi pata hata grant ya kujiongezea elimu na still aliitafuna na shule hakwenda! Halafu form 6 si alipataga 0 huyu!

Tatizo la jamaa ni opportunist sana otherwise angeweza kuwa mweledi sana kwenye mambo ya social development, social change.Huyu ni watu wa calibre ya akina Nape, Makonda yuko tayari kujitoa ufahamu as long as pesa inaingia kwake!
Jadili hoja zake badala ya kwenda personal na kumjadili mtoa hoja kwa lengo la kujaribu kuzishut down hoja zake!
 
Polepole anachanganya sana watu.

Kwanza aelewe ametambulika kuwa ni moja wa maadui.

Pili yeye ni mwanaharakati za kuwandeleza vijana iweje leo awe mchamabuzi wa mambo ya kisiasa?

Channel 10 watafute watu wengine wafanye majadiliano ambayo hayatamshirikisha Polepole kwababu haelewi anachokiongea isipokuwa kuendeleza chuki binafsi.

Kwa mfano kwenye moja ya ingizo zake katika mtandao wa Twitter anasema yeye angeeleza dhana ya mabadiliko na dhana ya mageuzi na kwamba he(Lowasa) can't bring transformation.

Sijawahi kuona mtu anaetumiwa kiasi hiki.

Kwanini unataka hoja zake zisisikike
 
poe pole kaekeza vizuri sana ushabiki na uwezo mdogo wa kufikir unatufanya tushindwe kumuekewa
 
Polepole ameishika pabaya ukawa kutokana na facts anazozitoa,serikali impe ulinzi kama inaompa lowassa au maalim seif,ananikumbusha alivyomuendesha Mzee aitta kuhusu katiba.

Umaarufu Wa pole pole na Wa ukawa vilikuja kutokana na binge LA katiba,ndio maana anaijua ukawa ile original nje ndani
 
Back
Top Bottom