Hapo ndipo ninapomshangaa huyu jamaa. Ame-side kwa Magufuli hadi anakeraKwa Mujibu wa Polepole, waziri mkuu ndio anatakiwa kubeba Lawama na sio Waziri wa kawaida, kwa maana nyingine ni kwamba hakuna Waziri wa kawaida ambae amewahi kufanya makosa
Hapo ndipo ninapomshangaa huyu jamaa. Ame-side kwa Magufuli hadi anakeraKwa Mujibu wa Polepole, waziri mkuu ndio anatakiwa kubeba Lawama na sio Waziri wa kawaida, kwa maana nyingine ni kwamba hakuna Waziri wa kawaida ambae amewahi kufanya makosa
Mtatizo kaua vibaya kasema kaanzisha tuhuma za magufuli ktk right moment..CCM wanajituma sijui kusign sijui mkataba wa maadili etc ila kampeni zikianza magufuli atalia sana.CCM bora wangeachana na huu upuuzi wa kujifanya ufisadi ndio guzo zao.Hawa akian polepole watakimbizwa mitaani km kuku kwa kwuatia kichefuchefu raia.Wanadhani hii amani ipo kwa sababua wanaongea majungu?ahajona maCCM yakipigana hapo kupotezana fahamnu.Hapo ndipo ninapomshangaa huyu jamaa. Ame-side kwa Magufuli hadi anakera
Kumuokoa Waziri mkuu, na serikali isidondoshwe, na wabunge wakaridhika.
Albert the king kambeba Mtatiro... hilo wengi tumeliona..
Mtatiro hakuongelea kabisa kujiuzulu kwa bosi wake Lipumba..unafiki mtupu..
Kwa hiyo hoja ya Polepole ni invalid maana alimtetea magufuli kwamba kosa la kuuza nyumba au ubadhirifu uliotajwa na CAG alitakiwa awajibike w/mkuu ila tumeona mara kadhaa mawaziri husika wakiwajibika