Mada Moto Channel Ten: Julius Mtatiro vs Humphrey Polepole

Mada Moto Channel Ten: Julius Mtatiro vs Humphrey Polepole

Na bado, umaskini wako ni wako mwenyewe na kama ni kosa linaanzia kwenye ukoo wenu ..Ikulu haiuzwi

Nani amekwambia mie masikini this is between me and u unatembelea gari gani kwanza?
 
Jua basi msigwa alimshindwa huyo. Na mtatiro atafeli tu. Hapo labda aje Fundi TUNDU LISU

Lissu si wa kuwa na mdahalo na uyo kibaraka
Lissu ni zaid ya unavyomfikiria,uyo dogo anatafuta ukuu wa wilaya tu
 
Nilikua namheshimu sana bwana polepole lakini dah siku hizi simuelewi kabisa .nahisi wenye CCM wanamtumia si bure .badilika brother.
 
Mzee wa "THE GODS MUST BE CRAZY" aka POLEPOLE....
 
huu sasa mtihani

pale kuna aston villa vs man united na mkeka nimeweka
 
Mnatamani sana kila mtu awe Ukawa lakini ndo hivyo tena hatuko Ukiwa na kazi yetu ni moja tu ..tunailinda Ikulu dhidi ya majangiri

Jaman naomba taarifa leo ijumaa ya tar 14 nan wangap wametoka ccm kwenda vyama vinavyounda ukawa
 
Nilikua namheshimu sana bwana polepole lakini dah siku hizi simuelewi kabisa .nahisi wenye CCM wanamtumia si bure .badilika brother.
 
Poa watanzania tulipofikia no turning back .......jiwe la chumvi....na hatupendi mawe ya chumvi ila samahani hivi kuna mgao wa umeme au.

Hamna Mgao Kuna Marekebisho Yanafanywa Tayar Kwa Ges Kuanza Kutumika Ktk Uzalishaj Umeme
 
Hahaha yaani ninamtetea polepole ila hapa umenivunja mbavu polepole yaani majmaji kweli suburi usiku wa leo

Toka walichezea leo upepo umevuma kwao nyeti za kuku tutaziona leo. Kwa Mtatiro bora Pole pole aikimbie stidio kwani kwa Julius Mtatiro ninae mwelewa mimi ccm hayupo wa kusimama nae. Na bei ya Polepole itafahamika kabla ya uchaguzi. Ukawa wapo majembe ya uhakika.Hata mwendesha kipindi toka kipindi cha kwanza hakumwamini kabisa Polepole kuwa alikuwa anaeleza yale anayoyaamini au anaeleza aliyotumwa.
 
Toka walichezea leo upepo umevuma kwao nyeti za kuku tutaziona leo. Kwa Mtatiro bora Pole pole aikimbie stidio kwani kwa Julius Mtatiro ninae mwelewa mimi ccm hayupo wa kusimama nae. Na bei ya Polepole itafahamika kabla ya uchaguzi. Ukawa wapo majembe ya uhakika.Hata mwendesha kipindi toka kipindi cha kwanza hakumwamini kabisa Polepole kuwa alikuwa anaeleza yale anayoyaamini au anaeleza aliyotumwa.

Usikimbie saa 4 humu polepole c mtu wa kawaida anamchambua lowasa kama mchele. Mtajuta kwann aliwanunua cdm
 
Leo sijui polepole ataongea nini!!! Mafuriko ndio yamesha ingia mtaa kwa mtaa pakutekea hana.
 
Back
Top Bottom