kuntaitunai
Senior Member
- Mar 7, 2019
- 106
- 192
0755117238 jacky, mcheki huyo kama hana, ana connection kibao mjini hapa utapata.Habari, nina shida na Front bumper ya Audi A4 2003-04, muuzaji au yeyote mwenye connection msaada.
0755117238 jacky, mcheki huyo kama hana, ana connection kibao mjini hapa utapata.Habari, nina shida na Front bumper ya Audi A4 2003-04, muuzaji au yeyote mwenye connection msaada.
Asante, ngoja nichek nae0755117238 jacky, mcheki huyo kama hana, ana connection kibao mjini hapa utapata.
Wakuu hivi ni kweli kuna Toyota Carina iliyotengenezwa mwaka 2003?
Umetumia genuine oil? Ulimpa fundi au ulienda kununua mwenyewe?Gari yangu ni aina ya toyota verossa engine vvti 2.0L,nmenunua used ina km 50,300 mpka sasa, shida imetokea juzi hapa nmebadilishi engine oil kwa mara ya kwanza lakn baada ya kuanza kuitembelea naona taa ya chek engine inawaka na hio hutokea napoanza safari itatembea kidgo kwa mda flan ikiwa imezima then baadae ndo inakuwa inawaka,ila kila kitu kiko vzuri hakuna miss wala uzito wa power nilimshirikisha jamaa flan ni fundi yeye akanambia inawezekana oil niliyoweka ni tofaut na iliokuja na gari so mpka izoee ndo hio cheki engine itazima,na oil nilioweka ni ya total, naomba msaada wenu tatzo linaweza kuwa ni nn maana nafkiria kuipeleka kwnye diagnosis
Issue ni Oil hapo.Gari yangu ni aina ya toyota verossa engine vvti 2.0L,nmenunua used ina km 50,300 mpka sasa, shida imetokea juzi hapa nmebadilishi engine oil kwa mara ya kwanza lakn baada ya kuanza kuitembelea naona taa ya chek engine inawaka na hio hutokea napoanza safari itatembea kidgo kwa mda flan ikiwa imezima then baadae ndo inakuwa inawaka,ila kila kitu kiko vzuri hakuna miss wala uzito wa power nilimshirikisha jamaa flan ni fundi yeye akanambia inawezekana oil niliyoweka ni tofaut na iliokuja na gari so mpka izoee ndo hio cheki engine itazima,na oil nilioweka ni ya total, naomba msaada wenu tatzo linaweza kuwa ni nn maana nafkiria kuipeleka kwnye diagnosis
Ndio ni genuine nilimpa fundi ndo alisoma na kuiselect hio oil but ndo oil ya kwnza kubadilishwa tangu gari itue nchini sasa sijajua tatzo ni oil haijamatch na iliokuwa mwanzo ama kuna tatzo jingine maana kuna fundi alinambia kuwa tatzo inaweza kuwa ni oil injini haijaizoea hio iliowekwa so nisije nkaibadilishia ila niendelee nayo hio hio oil ya total na akaniambia kuwa hio taa itazimika tu baadae asa ndo maana nkaamua kuja humu jukwaani kuulizia kama kuna scenario kama hio maana huyo fundi niliomuuliza ni fundi tu wa mtaaniUmetumia genuine oil? Ulimpa fundi au ulienda kununua mwenyewe?
Kwamba inaweza ikawa haijakidhi vigezo mkuu??Issue ni Oil hapo.
CC: LEGENdio ni genuine nilimpa fundi ndo alisoma na kuiselect hio oil but ndo oil ya kwnza kubadilishwa tangu gari itue nchini sasa sijajua tatzo ni oil haijamatch na iliokuwa mwanzo ama kuna tatzo jingine maana kuna fundi alinambia kuwa tatzo inaweza kuwa ni oil injini haijaizoea hio iliowekwa so nisije nkaibadilishia ila niendelee nayo hio hio oil ya total na akaniambia kuwa hio taa itazimika tu baadae asa ndo maana nkaamua kuja humu jukwaani kuulizia kama kuna scenario kama hio maana huyo fundi niliomuuliza ni fundi tu wa mtaani
Sio kweli mkuu hilo nakukatalia kwa aina ya gari uliyoisema haiwezi washa gari kwa ishu ya oil..hapo kuna shida ipo sehem kuna hasa kwenye mfumo wa umeme kutakuwa kuna sensor inazingua..Gari yangu ni aina ya toyota verossa engine vvti 2.0L,nmenunua used ina km 50,300 mpka sasa, shida imetokea juzi hapa nmebadilishi engine oil kwa mara ya kwanza lakn baada ya kuanza kuitembelea naona taa ya chek engine inawaka na hio hutokea napoanza safari itatembea kidgo kwa mda flan ikiwa imezima then baadae ndo inakuwa inawaka,ila kila kitu kiko vzuri hakuna miss wala uzito wa power nilimshirikisha jamaa flan ni fundi yeye akanambia inawezekana oil niliyoweka ni tofaut na iliokuja na gari so mpka izoee ndo hio cheki engine itazima,na oil nilioweka ni ya total, naomba msaada wenu tatzo linaweza kuwa ni nn maana nafkiria kuipeleka kwnye diagnosis
Hembu fafanua oil imefanya nn?? Hembu ongea kitaalam na udadavue vizuri..hembu fanya utushawishiIssue ni Oil hapo.
Nitakutafuta mkuu naomba namba zako PMSio kweli mkuu hilo nakukatalia kwa aina ya gari uliyoisema haiwezi washa gari kwa ishu ya oil..hapo kuna shida ipo sehem kuna hasa kwenye mfumo wa umeme kutakuwa kuna sensor inazingua..
Kama upo dar es salaam tutafutane au waweza fika mwenge .kwaheshima ya jf nitakupimia bure kabisa nanitakwambia shida ni nn au ili ipone ufanye nn hapo ndio mwisho wa msaada wa bure..
Lkn ukitaka kulekebishiwa utatozwa garama za ufundi kidogo tuu kijf jf.. na kama kutakuwa na sensor au spare hilo juu yako..
Kama huwezi fika mwenge ofisini na wahitaji huduma basi garama yako itakuwa ni ya usafiri kwa fundi toka mwenge mpaka ulipo na kumludisha tena mwenge..
Hujanipa mlejesho mkuu kwamba shida imekwisha au bado kizungumkuti??.i hope gari ipo okey coz ingekuwa bado inawasha taa najua ningepata simu yako..kimyaa kinaashilia gari iko okey..karibu tena ukiwa na shida yoyote ya gari hasa auto electrical and electronics..kwetu kutatua tatizo au ndio kitu mhim zaidi..hata kama litakuwa nje ya uwezo wetu tutajitahidi kutafuta solution ili kuongeza utaalam zaidi.kila siku kwetu tunajifunza .Shukrani sana wadau yayari Nshampata na nimefanya mawasiliano naye.