Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Habari wadau naitaji kufunga car sound stym gari yangu ni mazda rx8 bajet yangu ya music ni 1m.View attachment 1007706
IMG_20180904_100318.jpeg
View attachment 1007707

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ok engine yake poweful in its original condition
Fuel consumption kwa Rav 4 kidogo iko juu tofauti na gari nyingine lakini haitishi
Ishu ya tege sina hakika sana japo huwa nadhani ni shock up spring na rubber

Jr
 
Aman iwe kwenu wadau wote humu.......... Mimi sijui chochote juu ya magari lakin nategemea kumiliki gari siku za usoni..........


Naomba kuelimishwa yafuatayo :

1) mpangilio wa plate number ya gari Tanzania {kuniwezesha kuitambua gari na mengineyo}

2)Nikitaka kununu gari iwe kwa mtu au show Room nizingatie nn? {mambo muhimu}

3) Baada ya kuinunua maswala ya kisheria au utaratibu ukoje!?

4)Maintainance ikoje!?

5)kwenye maswala ya injin huwa nasikia tu CC...mara 4/6 cylinder (sielewi) manake nn!?

6)Nikitaka kununua gar imara ya kisasa ni nunue ipi (mfano nahitaji yenye sehem ya mizigo na double cabin, nyingine ya kutembelea tu)

7) kile kifaa cha kufanyia diagnosis kwenye gar kinaitwaje na kinauzwa bei gan!??

ASANTENI SANAA.......


Karibuni pia kujielimisha......
HILI SWALI NASUBIRIA MAJIBU YAKE PIA MIMI
 
Ninaomba kuelewa uimara wa engine za Noah old model 3S, engine ya Noah new model 1AZ FSE na Noah yenye engine code 3ZR Ipi ni imara ambayo haisumbui sana.
Screenshot_2018-12-24-16-24-07.jpeg
Screenshot_2018-12-28-07-34-21.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • IMG-20190131-WA0036.jpeg
    IMG-20190131-WA0036.jpeg
    39.5 KB · Views: 71
wakuu naomba kujua kuhusu ii gari kabla sijanunua honda accord 2000 uk version, upatikanaji wake wa spear , fuel consuption na magonjwa yake unaweza
nisaidia




Sent using Jamii Forums mobile app
Honda type zote ni gari imara sana na vipuri vyake ni origino. Spare zipo kila mahali kwa sasa na zaidi sana online purchasing yaani muda wa wiki 2 spare imekufikia. Vipuri bei ghari kidogo ukizingatia magari Haya ni expensive pia ni aina za magari ambayo ni economy fuel consumption class isipokuwa vimiminika vyake vingi ukiishiwa ni lazima uvipate vilivyo original ili kubadilisha. Spare zake ukizifunga ni mkataba



Sent using Jamii Forums mobile app
 
67 Reactions
Reply
Back
Top Bottom