Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,095
- 122,455
Eti eee. Haya bana.
Eti eee. Haya bana.
Shekhe kipoozeo anasemaga hzo ni neema za allahAiseee. Hatari sana hii.
Hahaha afande hana kazi.furaha ya macho.![]()
Hongereni kwa kuvunja shingo zenu. Ila punguzeni aisee.Hongera kwenu mliojaliwa, mkipita lazima tuvunje shingo.
Hongereni kwa kuvunja shingo zenu. Ila punguzeni aisee.
Hahaha hizo kumbukumbu huwaga zinapoteaga muda huo huo tunaendelea na yetu.Halafuuu?

Kumbe hata wenyewe mnajistukia. Kama huna ridhika na hali. Usijenunua kama wema sepetuHongereni kwa kuvunja shingo zenu. Ila punguzeni aisee.
Hivyo uko radhi shingo ivunjike mkuu.Ni ngumu sana kupunguza.
Kama hivyo hapo sawa mkuu.Hahaha hizo kumbukumbu huwaga zinapoteaga muda huo huo tunaendelea na yetu.![]()
Sina jinsi nitafanyaje sasa mkuu.Kumbe hata wenyewe mnajistukia. Kama huna ridhika na hali. Usijenunua kama wema sepetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona unasisitiza sana kuwa huna mzigo?Sina jinsi nitafanyaje sasa mkuu.
Ila nachukia tu pale nipo na mtu halafu anageuza shingo wakati keshanichagua mie nisiye na mzigo.
Nikubaliane na wewe kuwa wanaume tunatamaa sana. Mtuvumilie na kutuonya.Sina jinsi nitafanyaje sasa mkuu.
Ila nachukia tu pale nipo na mtu halafu anageuza shingo wakati keshanichagua mie nisiye na mzigo.
Ila kuna mizigo mingine unajikuta tu automatically ushajisevu kwenye long term memory sema ndo ivyo huwezi kuupataKama hivyo hapo sawa mkuu.
