atouch
JF-Expert Member
- Sep 21, 2015
- 303
- 184
Fahari ya macho ! Aifilisi duka....!! Nayashang'aa macho kupenda visivyo vyake...Nachukiaga hiyo tabia. Ila ndio hivyo huwa sina jinsi saa nyingine zaidi ya mie kugeuza shingo yangu nami nisome tangazo.
Ila wanaume kwa shingo feni mungu anawaona jamani. Khaa.
Sent using Jamii Forums mobile app


