Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,085
- 122,430
Hatuvunji shingo bibie, hapo tunamshukuru Mungu kwa kila jambo, muda mwingine feni ikirudi normal unajikuta hadi mada mliyokua mnajadili ushaisahauunaishia kushukuru kwa kupata suuzo la macho.
Hahaaa. Mpaka mnasahau mlichokuwa mnajadili ila bado tu mnaita suuzo la macho. Mmh.
Haya bana.
unaishia kushukuru kwa kupata suuzo la macho.
kuna watu Allah kawajalia bhana.
refer unapokua excited kwenye ile shughuli yenu ya 6*6 hivi kichwa cha juu kinakuaga na kumbukumbu yeyote kweli
