Mabinti ambao hamjaingia kwenye ndoa

Mabinti ambao hamjaingia kwenye ndoa

Ndoa = love = sacrifice = selflessness = commitment

Kama unatafuta perfect partner, ngoja kidogo akizaliwa.

Scars
 
Kama mwanaume angezingatia factor ya upendo halisi kama alivyokuwa ameahidi na kumwonesha mwenziwe hadi akasema Yes I do, over 90% ya ndoa zinazovunjika zisingevurugika. Did you know that katika 8 out of 10 marriages, mwanaume ndiye wa kwanza kubadili gia za uhusiano ule murua!??? Na almost all problems zinazosababisha ndoa kuvunjika ni preventable kabisa!??? Na wengi sana baada ya talaka na kuachana huwa wanaujutia uamuzi wao, but wakiwa too late??? Did you know even before talaka kutolewa, kuna mmoja mwanandoa anasema BUT WE CAN IMPROVE THIS, mwingine anasema NO WAY!???
Factor ya upendo bado ni ngumu kuijua kwasababu hujajua target yake ni nini. Inaweza isiwe ni upendo kukawa na jambo jingine tofauti kabisa ila akakuficha kwa kukuoa tabasamu fake na kicheko fake

Swala la mwanaume kubadisha gia hilo ni lazima, kwasababu mke anatakiwa awe chini yako we ndio um manage.

Kwa mfano mke wako kabla hujamuoa alikua akiishi kwa wazazi wake hivyo alikua anafata maelekezo na kanuni za familia yake, lakini akija kwako lazima afate utaratibu mpya ambao wewe utamuwekea.

Maana kipindi ambapo yuko kwao huna hakika kwamba alikua amepewa limit ya kurudi nyumbani, na namna ambavyo wazazi wake wana behave pindi ambapo mtoto amekosea ikawa pengine ni namna fulani ya kizembe inayofuga ubovu.

Kwa hiyo ukisema usibadili gia umuache aishi kama ambavyo alikua akiishi kwao enzi za uchumba wenu utafeli

Hafu pia asilimia kubwa wanaoumizwa na effect za talaka mostly ni wanawake

Majuto baada ya talaka mara nyingi hayalengi upendo hulenga maslahi pale ambapo alikua amezoea kupata jambo fulani na leo hii inakua vigumu kuwa na access ya kupata hicho kitu

Mfano mwanaume anaweza juta kupoteza mali zake zilizogawanywa kwa mwanamke wakati ni mali ambazo alitafuta yeye kwa jasho lake. Hapo kuna upendo hapo?

Mwanamke naye unakuta walivyotalakiana na mumewe aliondoka na watoto now ubao umempiga huko kwao anakumbuka kua kipindi yuko kwa mumewe alikua ana shine na kula vizuri.
 
Ndoa = love = sacrifice = selflessness = commitment

Kama unatafuta perfect partner, ngoja kidogo akizaliwa.

Scars
Sacrifice yanini initoe makovu mengine?

Yani nitie risk furaha yangu kwenye swala la hiari kama ndoa wakati nje ya hapo napata furaha bila sacrifice?
 
Sacrifice yanini initoe makovu mengine?

Yani nitie risk furaha yangu kwenye swala la hiari kama ndoa wakati nje ya hapo napata furaha bila sacrifice?
Kama hiyo ndiyo mindset huwezi kusavaiv na mtu yeyote (eg. rafiki tu wa kawaida), hata kama si mwenzi wa ndoa
 
Naendelea...

Mwenye tabia njema hujulikana mzee na mwenye tabia mbaya hujulikana kadhalika.

Kwangu mimi mwanamke asiyefanya ibada huyu hafai kuolewa, mwanamke asiyejisitiri huyu hafai kuolewa, mwanamke mshirikina huyu hafai kuolewa, nje ya hapo mwanamke anafaa kuolewa, sababu tabia hizo nyingine ni za kuvumilika na mtu anaweza kujirekebisha sababu hakuna aliye zaliwa na tabia mbaya au nzuri.

Sababu sisi Wanaume ni wasimamizi wa Wanawake basi tabia nyingine kama uchoyo, gubu hivi ukimsimamia mwanamke ana badilika tena kwa urahisi, shida ni kuwa vijana wengi wa kiume hawawezi kuwasimamia wanawake.

Tatu mtu haukumiwi kwa yale yaliyopita katika tabia mbaya, kama alipata kutubu na kurejea huyu huweza kuwa mzuri wa tabia kuliko wengine.
Fakers wote washajua kua njia nyepesi za wao kusanukiwa ni kuvaa mavazi yasiyokubalika na utamaduni wa kistaarabu

Hapo tayari kaisha chukua pointi tatu zako mapema kabisa

Watu tumeona mademu ulokole umewazidi mpaka ile sala ya wa kuombea msosi ananena kwa lugha lakini bado ni masnitch

Watu tumeona wanawake wanaojisitiri wanavaa majuba na kufunika nyuso zao kila time ukipita kibarazani kashikilia msaafu na apapiga swala tano lakini bado ni mafia

Hizi njia zako unazozipendekez wewe, wanawake wajanja walishazistukia mapema sana just stay updated bruh things have been changed now
 
Kama hiyo ndiyo mindset huwezi kusavaiv na mtu yeyote (eg. rafiki tu wa kawaida), hata kama si mwenzi wa ndoa
Nijuavyo mimi watu wanaoa ili kupata utulivu wa nafsi zao kwa kuinjoy maisha ya ndoa. ulichokiandika pale n kama betting kwamba liwalo na liwe so what you need to do is to sacrifice yourself
 
Nahitaji hoja defensively kwanini ndoa iwe muhimu?
 
Ni kweli tabia njema ndio sifa bora ya mwanamke ambayo wengi hupenda wakutane nayo kwa wenza wao

Lakini hiyo tabia haijioneshi tu kama rangi yake ya ngozi inavyoonekana na watu wote wenye uwezo wa kuona

Hiyo tabia njema huwezi kuijua kwa dakika tano kama ambavyo wewe unatudanganya hapa. Kadhalika ukiona umeona tabia njema kwa muda mfupi huo inabidi ustuke mapema tena usifurahie hiyo hali ikiwezekana usijisumbue tena kumdadisi kiundani na hiyo ndio iwe sababu ya kumuacha mazima
Kijana huelewi wapi ? Tabia njema inaonekana ndiyo maana tukaambiwa tukitaka kuoa tuangalie mwanamke mwenye tabia njema.
 
Fakers wote washajua kua njia nyepesi za wao kusanukiwa ni kuvaa mavazi yasiyokubalika na utamaduni wa kistaarabu

Hapo tayari kaisha chukua pointi tatu zako mapema kabisa

Watu tumeona mademu ulokole umewazidi mpaka ile sala ya wa kuombea msosi ananena kwa lugha lakini bado ni masnitch

Watu tumeona wanawake wanaojisitiri wanavaa majuba na kufunika nyuso zao kila time ukipita kibarazani kashikilia msaafu na apapiga swala tano lakini bado ni mafia

Hizi njia zako unazozipendekez wewe, wanawake wajanja walishazistukia mapema sana just stay updated bruh things have been changed now
Nimecheka sana. Sisi huwa tunasema hivi "Ndege hufananao huruka pamoja". Mwenye kuiga tabia njema hufahamika kupitia kwa walw wanao mjua ndiyo maana kanuni niliyo iweka hapo juu haina dosari. Akiigiza hayo maigizo tunayapata kupitia wale wanao mjua.
 
Kwa sisi watu wa facts na empirical evidence tutakuambia tu tupe average number ya wasichana wanaoolewa kila miezi mitatu hapo ulipo compared to miezi mitatu ya miaka mitano iliyopita! Hapo utajua kama idadi ya wanaume waoaji wanaoleweka ipo au imepungua!

BTW hao mabinti wanao lilia kupata waume bora wao wanazo sifa stahili au ni baada ya kupigwa na maisha ndio wamekua na adabu? Wakiwa vyuoni wanakua na tabia sio kabisa (wengi wao)!

Na kwa sisi watu weusi tukiona jambo linatushinda hua tunakimbilia kuli attach na imani ie Mungu!

Kila la heri mabinti mkisubiri muujiza!
 
Takwimu zinaonesha wazi kati ya mambo 8 makuu yanayosababisha kukosa furaha ndoani, michepuko, mahusiano hafifu, ugomvi & talaka --- namba moja ni uchumi duni wa wanandoa. Likelihood ya ndoa kudumu penye pesa ni kubwa sana. Yaani, kwa mfano halisi, hakuna mtu mwenye anaamini Zari & Diamond wameachana. It is as though yuko anafanya business tu huko ila wangali mtu na mzazi mwenzie.

Nimependa ulivyojenga hoja mkuu..correlation ya uwepo wa pesa na kudumu kwa ndoa..kudos! [emoji4][emoji4][emoji4]
 
Kijana huelewi wapi ? Tabia njema inaonekana ndiyo maana tukaambiwa tukitaka kuoa tuangalie mwanamke mwenye tabia njema.
Utaijuaje kua hii unayoiona ndio tabia njema ya huyo mtu na sio kwamba ni scripts inachezwa ili ayafikie malengo yake?

Hivi nani mwenye akili timamu anayeweza kuoa mwanamke ambaye hana tabia nzuri kwa kutegemea kuwa na ndoa yenye upendo na furaha?


Tabia njema katika kipindi cha uchumba mara nyingi inakua ni mask tu kuficha uhalisia wa mtu.

Nadhani hata wanawake wa humu wakisoma maoni yako watakua wanashangaa kuona bado zama hizi kuna wanaume wanaoamini tabia njema ya mwanamke ni yule anaye jistiri, kuswali nk.
 
Nimecheka sana. Sisi huwa tunasema hivi "Ndege hufananao huruka pamoja". Mwenye kuiga tabia njema hufahamika kupitia kwa walw wanao mjua ndiyo maana kanuni niliyo iweka hapo juu haina dosari. Akiigiza hayo maigizo tunayapata kupitia wale wanao mjua.
Habari kutoka kwa wanaomjua nimekuambia sio za kuaminika. Lets say kwamba ana marafiki wa tangu utotoni walio shibana, hivi unafikiri ukiwafata hawa watakua tayari kumsaliti rafiki yao kwa kuanika maovu yake? Hapana lazima watakupa habari ambazo wewe unazitaka zitakazo kufurahisha ili umuone mwema
 
Takwimu zinaonesha wazi kati ya mambo 8 makuu yanayosababisha kukosa furaha ndoani, michepuko, mahusiano hafifu, ugomvi & talaka --- namba moja ni uchumi duni wa wanandoa. Likelihood ya ndoa kudumu penye pesa ni kubwa sana. Yaani, kwa mfano halisi, hakuna mtu mwenye anaamini Zari & Diamond wameachana. It is as though yuko anafanya business tu huko ila wangali mtu na mzazi mwenzie.
Hivi diamond na zari wana ndoa hawa au wana date?

Mzee ile sio ndoa ile ni dating walau ungesema huyu opponent wake alikiba kidogo ningekuelewa

Halafu huyo zari si alikua na mume wake wa mwanzo aliyefunga naye ndoa na alikua na pesa nyingi? lakini wakaachana mpaka jamaa kafariki they were still separated

Vipi kuhusu bilionea msuya? He was shot by who?
 
Nimependa ulivyojenga hoja mkuu..correlation ya uwepo wa pesa na kudumu kwa ndoa..kudos! [emoji4][emoji4][emoji4]
Kwamba jeff bozzes hakua nazo za kutosha ambazo zingeweza kufanya ndoa yake ikadumu?

Mnataka kuniambia diamond anamkwanja mrefu zaidi na ndio maana ndoa yake ime survive kuliko mmiliki wa amazon?
 
Utaijuaje kua hii unayoiona ndio tabia njema ya huyo mtu na sio kwamba ni scripts inachezwa ili ayafikie malengo yake?

Hivi nani mwenye akili timamu anayeweza kuoa mwanamke ambaye hana tabia nzuri kwa kutegemea kuwa na ndoa yenye upendo na furaha?


Tabia njema katika kipindi cha uchumba mara nyingi inakua ni mask tu kuficha uhalisia wa mtu.

Nadhani hata wanawake wa humu wakisoma maoni yako watakua wanashangaa kuona bado zama hizi kuna wanaume wanaoamini tabia njema ya mwanamke ni yule anaye jistiri, kuswali nk.
Ukiijua tabia njema utamjua nani mwenye tabia. Kwanza rejea kanuni niliyo kupa kisha mengine huendelea, kumjua mwanamke wa kuoa hakuhitaji peni na makaratasi ya kuandika report.

Bado najiuliza kwanini huelewi ninachokiandika lakini napata majibu ya kuwa hukitafakari hiki ninacho kiandika. Huko juu nilikwambia ya kuwa kwa kawaida mwanamke huolewa kwa moja ya sifa nne ila tabia njema ndiyo msingi mama.

Nipokwambia ya kuwa mwanamke asiyefanya ibada hafai kuolewa, asiye vaa vizuri hafai kuolewa,ambaye ni mshirikina kadhalika. Hivi ni vigezo vya awali ambavyo huonekana tu kwa urahisi, kisha mwenye vigezo hivi hivi huwekwa katika mzani ule ule wa kuuliza tabia zake kwa wale wanao mjua. Ile kanuni haikwepeki.
 
Back
Top Bottom