Mabinti ambao hamjaingia kwenye ndoa

Mabinti ambao hamjaingia kwenye ndoa

so hapa mkuu unapingana na kauli yako ya mwanzo kuonesha pesa haina mchango wowote kuifanya ndoa yako iwe nzuri?

ili pesa itumike kimkakati inatakiwa itumikaje?

kiasi gani cha pesa kinacho hitajika ku serve ndoa?

ndoa ambayo inahitaji fungu la pesa ili iendelee ku-survive haina upendo. so vile viapo vya kuishi katika hali zote za shida na raha wakati wa harusi ni uzushi
Nakuonea huruma sana tu kilo elfu. Hivi unajua swali la kwanza unverbalized, unvoiced akilini mwa mwanamke yeyote, whether ni wa dini au wa duni, kabla hajakukubalia kumwoa awe mkeo mazima!???
 
Ninacho kiandika ndiyo naishi nacho, na hakuna jambo rahisi kama kupata ukweli wa mja katika uso wa ardhi hii, hasa mtoto wa kike.

Lakini si lazima upate taarifa zote ili umjue mwanamke, bali kuna mambo ya msingi ambayo hutosheleza mengine.

Ninapo sema au nilipo andika ukitaka mke basi waulize wanaume wanao mjua huyo binti, mjue kabisa walio pewa kazi ya kufanya utafiti si mahiri na hawakujua kipi cha kufanya, sababu kuhusu suala la maradhi watu hupimana siku hizi, tena hili hasa husimamiwa na pande zote mbili.

Nilichokiandika bado ni sahihi, sabababu ndiyo ukweli wenyewe, labda kama huwajui wanaume ninao wakusudia hapa.

Nipo.....
kuishi nacho haimaanishi ni sahihi, nachojaribu kukuambia hapa ni udhaifu kuhusu hiyo mbinu yako ya kuulizia tabia ya mtu kwa watu wanaomjua

kwasababu watu pengine wamemjua binti akiwa katika maisha chini ya wazazi hivyo usitegemee mwanamke huyo ata behave hivyo hivyo akiwa kwako

kuna tabia ambazo ni ngumu kuzijua kwa mwanamke pindi akiwa hajaolewa, kwa mfano. kuna wanawake wanakawaida ya kutopenda ndugu wa mume wake. sasa tabia hii ni ngumu kui spot kwa mazingira ya nyumbani akiwa chini ya wazazi

otherwise iwe case ya mwanamke aliye achika
 
Ninachoamini mimi mwanaume ndio anayechagua wa kumuoa na ndio anayeamua kuoa na akikosea ni yeye mwenyewe amekosea mchakato kwa asilimia 90%
 
So issue siyo umakini ila ni pesa!!??? Nilijua tu utaingia 18. Mwanamke hana anachohitaji kwa mwanaume zaidi ya pesa over.
Mentality ya uongo kabisa hii,tatizo ww umezungukwa na wanawake wanaopenda pesa muda wote unahisi dunia yote ni hivyo,kuna wanawake wanafuata mapenzi ya dhati broo
 
Scars ukiona unafanya wajibu wako na bado unatumia nguvu nyingi kuipata furaha kwenye ndoa huyo sio saizi yako.... kama angekua kiatu tungesema ni either anakupwaya au anakubana hadi huwezi kutembea.
Kama ni girlfriend tafuta mwingine, kama ni mke mwombe Mungu tuu yeye ndio anaweza ifanya nature ichukue mkondo wake
So unanishauri hata cheti cha ndoa niandikie penseli kwa emergency kama hizi?
 
So unanishauri hata cheti cha ndoa niandikie penseli kwa emergency kama hizi?
Ninachoamini mimi mwanaume ndio anayechagua wa kumuoa na ndio anayeamua kuoa na akikosea ni yeye mwenyewe amekosea mchakato kwa asilimia 90%
Usimuoe mtu ambae humfahamu. Ndoa hainaga rehearsal
 
Nakuonea huruma sana tu kilo elfu. Hivi unajua swali la kwanza unverbalized, unvoiced akilini mwa mwanamke yeyote, whether ni wa dini au wa duni, kabla hajakukubalia kumwoa awe mkeo mazima!???
Hapana sio mimi tu hata wewe huwezi ukajua, ukweli anabakia kuujua yeye mwenye lengo japo unaweza uka observe some reactions ukabaini ila akiamua usijue hutajua maana wanawake ni undefined na unpredictable

Mwingine anaweza akakukubalia umuoe kwasababu amekata ringi kachoka kusimangwa na kutupiwa vijembe na wazazi wake kwa kutoolewa.

Ni ngumu kumpata mwanamke ambaye moyoni mwake ana upendo juu yako pekee na sio properties unazo miliki.
 
Ninachoamini mimi mwanaume ndio anayechagua wa kumuoa na ndio anayeamua kuoa na akikosea ni yeye mwenyewe amekosea mchakato kwa asilimia 90%
Usimuoe mtu ambae humfahamu. Ndoa hainaga rehearsal
By the way, huwa hakunaga kukosea kuoa ama kuolewa BAADA YA TUKIO HUSIKA. Palatability ya chakula ambacho mtu ameagiza mwenyewe hutegemea sana mindset yake. You will always get what you put in. Ndoa siyo tunda la kimuujiza la kuangua mtini siku hiyohiyo na kulila, bali ni mbegu ya mche kwa ajili ya kupanda, then kupandikizwa, kupaliliwa, kumwagiliwa maji na dawa, kuachanisha, kupogolea, kutengenezewa kivuli, kuhamia ndege na wanyama waharibifu, kukagua magonjwa na kudhibiti, then kuvuna tayari kwa kuliwa. Wengine wanakimbilia kutafuta tunda la kuvuna wakati ndiyo kwanza stage ni mche. Wakikosa matunda wanalalamika na kukasirika na kutishia kuvunja ndoa. Very disappointing!
 
Ninachoamini mimi mwanaume ndio anayechagua wa kumuoa na ndio anayeamua kuoa na akikosea ni yeye mwenyewe amekosea mchakato kwa asilimia 90%
Usimuoe mtu ambae humfahamu. Ndoa hainaga rehearsal
Hata mwanamke anauhuru wa kuchagua nani wa kuolewa naye na ndio maana hatupo kwenye karne ya wanawake kuchaguliwa wanaume na wazazi wao. Hata wewe hapo ulitongozwa kisha kwasababu zako wewe ulizoziona zinakufaa kuolewa na huyo bwana ukamkubalia, sitaki kuamini kwamba ulipigwa mtama ndoa ikaanzia hapo

hata huku mtaani hilo linaeleweka.

Utakuta binti amefatwa na mtu ambaye binafsi anajua kua huyu ana malengo ya kunioa ila akamtema kwasababu fulani fulani hivi illogical kisha aka date na bishoo ambaye ukweli halisi anaujua kua sio muoaji ila kwakua ni msela anaye pigilia pamba vizuri anaona huyu ndio wakutamba naye kwa mashosti zake
 
Hapana sio mimi tu hata wewe huwezi ukajua, ukweli anabakia kuujua yeye mwenye lengo japo unaweza uka observe some reactions ukabaini ila akiamua usijue hutajua maana wanawake ni undefined na unpredictable

Mwingine anaweza akakukubalia umuoe kwasababu amekata ringi kachoka kusimangwa na kutupiwa vijembe na wazazi wake kwa kutoolewa.

Ni ngumu kumpata mwanamke ambaye moyoni mwake ana upendo juu yako pekee na sio properties unazo miliki.
You are lacking a very crucial point: love is not isolated --- an exclusive item of its own merit. It is rather a package.
 
By the way, huwa hakunaga kukosea kuoa ama kuolewa BAADA YA TUKIO HUSIKA. Palatability ya chakula ambacho mtu ameagiza mwenyewe hutegemea sana mindset yake. You will always get what you put in. Ndoa siyo tunda la kimuujiza la kuangua mtini siku hiyohiyo na kulila, bali ni mbegu ya mche kwa ajili ya kupanda, then kupandikizwa, kupaliliwa, kumwagiliwa maji na dawa, kuachanisha, kupogolea, kutengenezewa kivuli, kuhamia ndege na wanyama waharibifu, kukagua magonjwa na kudhibiti, then kuvuna tayari kwa kuliwa. Wengine wanakimbilia kutafuta tunda la kuvuna wakati ndiyo kwanza stage ni mche. Wakikosa matunda wanalalamika na kukasirika na kutishia kuvunja ndoa. Very disappointing!
Mimi nataka mnipe sababu yenye mashiko kwanini kuoa kuonekane jambo la lazima?
 
Mimi nataka mnipe sababu yenye mashiko kwanini kuoa kuonekane jambo la lazima?
Hakuna anayelazimishwa kuoa
Tunachokiongelea hapa ni Ile watu kusema wanaume au wanawake wote ni wabaya baada ya was wenyewe kuwachagua
 
Mimi nataka mnipe sababu yenye mashiko kwanini kuoa kuonekane jambo la lazima?
If you are talking about a big picture ya real progress & development kwenye taifa lolote lile, FAMILY MUST BE AT THE CENTRE & TOPMOST. This is whether you agree with it or not. Bila meaningful family network, nothing else is actually working.
 
You are lacking a very crucial point: love is not isolated --- an exclusive item of its own merit. It is rather a package.

You are lacking a very crucial point: love is not isolated --- an exclusive item of its own merit. It is rather a package.
Na ndio maana kuna talaka mzee, watu walishajua kua upendo sio kifungo wakaweka backup kwa ishu kama hizi kutokana na watu kupenda kuishi maisha ya kufake kipindi ambacho hawajaoana

Imagine madhaifu na mabaya ya mwenza wako umeyabaini yote kwenye kipindi cha courtship unafikiri ungeweza kufika naye huko stage ya ndoa?

Hapo ndio talaka inachukua nafasi yake kwa emergency kama hizi
 
Hakuna anayelazimishwa kuoa
Tunachokiongelea hapa ni Ile watu kusema wanaume au wanawake wote ni wabaya baada ya was wenyewe kuwachagua
Ushawahi kujiuliza kipindi cha dating kwanini haya hawayasemi?

Fake life...watu ni mabingwa wa kupretend wanaweza kukufanya usiyajue maovu yao katika kipindi hicho, ila ukitaka sasa ujue uko na mke au mume wa namna gani oaneni

Dogo janja na uwoya hivi waliishia vipi?
 
Ushawahi kujiuliza kipindi cha dating kwanini haya hawayasemi?

Fake life...watu ni mabingwa wa kupretend wanaweza kukufanya usiyajue maovu yao katika kipindi hicho, ila ukitaka sasa ujue uko na mke au mume wa namna gani oaneni

Dogo janja na uwoya hivi waliishia vipi?

Wanaume wengi huwa wanashindwa kutofautisha Kati ya kutamani na kupenda halafu wanakua wanaishi hata aje mtume au masiah kuongea nao hawasikii. Yaani unakuta mtu kapenda msambwada kapagawa bila kujua kama kichwani zimo sawa na maadili yapoje..... hivi mnavyoplan kuoa au kutafuta mke huwa hamjui vigezo mnavyovitaka?

Sasa dogo janja mwenyewe alioa kwa siri sababu alijua alichokua anakifanya hakikua sahihi... nafsi inamshuhudia ila moyo unashupaa. Haya mambo buana
 
Na ndio maana kuna talaka mzee, watu walishajua kua upendo sio kifungo wakaweka backup kwa ishu kama hizi kutokana na watu kupenda kuishi maisha ya kufake kipindi ambacho hawajaoana

Imagine madhaifu na mabaya ya mwenza wako umeyabaini yote kwenye kipindi cha courtship unafikiri ungeweza kufika naye huko stage ya ndoa?

Hapo ndio talaka inachukua nafasi yake kwa emergency kama hizi
Kama mwanaume angezingatia factor ya upendo halisi kama alivyokuwa ameahidi na kumwonesha mwenziwe hadi akasema Yes I do, over 90% ya ndoa zinazovunjika zisingevurugika. Did you know that katika 8 out of 10 marriages, mwanaume ndiye wa kwanza kubadili gia za uhusiano ule murua!??? Na almost all problems zinazosababisha ndoa kuvunjika ni preventable kabisa!??? Na wengi sana baada ya talaka na kuachana huwa wanaujutia uamuzi wao, but wakiwa too late??? Did you know even before talaka kutolewa, kuna mmoja mwanandoa anasema BUT WE CAN IMPROVE THIS, mwingine anasema NO WAY!???
 
Wanaume wengi huwa wanashindwa kutofautisha Kati ya kutamani na kupenda halafu wanakua wanaishi hata aje mtume au masiah kuongea nao hawasikii. Yaani unakuta mtu kapenda msambwada kapagawa bila kujua kama kichwani zimo sawa na maadili yapoje..... hivi mnavyoplan kuoa au kutafuta mke huwa hamjui vigezo mnavyovitaka?

Sasa dogo janja mwenyewe alioa kwa siri sababu alijua alichokua anakifanya hakikua sahihi... nafsi inamshuhudia ila moyo unashupaa. Haya mambo buana
Madhara hayo ya kuruhusu mwili uongoze akili
 
kuishi nacho haimaanishi ni sahihi, nachojaribu kukuambia hapa ni udhaifu kuhusu hiyo mbinu yako ya kuulizia tabia ya mtu kwa watu wanaomjua

kwasababu watu pengine wamemjua binti akiwa katika maisha chini ya wazazi hivyo usitegemee mwanamke huyo ata behave hivyo hivyo akiwa kwako

kuna tabia ambazo ni ngumu kuzijua kwa mwanamke pindi akiwa hajaolewa, kwa mfano. kuna wanawake wanakawaida ya kutopenda ndugu wa mume wake. sasa tabia hii ni ngumu kui spot kwa mazingira ya nyumbani akiwa chini ya wazazi

otherwise iwe case ya mwanamke aliye achika

Ndiyo maana nasisitiza ya kuwa njia hii ni bora na itabaki kuwa bora, sababu hujaelewa ninacho kiandika. Suala la mwanamke kuchukia ndugu zako hii si tabia bali nimatokeo ambayo huja baadae na haya matokeo huwa na sababu.

Ndiyo maana nilikwambia hapo awali juu ya mambo ya msingi ya kuzingatia kumpata mke mzuri, lazima uwaulize wanao mjua. Hapa ndipo ilipo salama.

Hii njia huwezi kuitia dosari sababu imekamilika. Lakini katika tabia zipo za kuvumilika na zipo ambazo hazivumilika.
 
If you are talking about a big picture ya real progress & development kwenye taifa lolote lile, FAMILY MUST BE AT THE CENTRE & TOPMOST. This is whether you agree with it or not. Bila meaningful family network, nothing else is actually working.
Mzee hata katika kuporomoka kwa uchumi swala la ndoa linachangia tena kwa asilimia kubwa sana kuliko hata faida yake

Kuna jamaa alikua na biashara yake hakua na nyumba ye alipanga so alikua anamiliki kiwanja na piki piki alizo wapa vijana wawe wanamletea pesa kila siku. Alikua kwenye mchakato wa kuanza kujenga kupitia biashara yake

Baada ya muda akafikia maamuzi ya kuoa, baada ya kuoa muda ukapita jamaa akajenga akawa na kwake na hapo ndipo mke akaanza kumuoneshea tabia yake halisia

Jamaa akamtishia kumpa talaka kua waachane, mwanamke akasema sasa ukitaka ufilisike ebu jaribu huo ujinga.

Jamaa kudai talaka ikawa inamletea ugumu sana kwasababu inatakiwa wagawane mali zote pasu kwa pasu na jamaa hakua tayari kurudi maisha ya kuhaingaika tena

So jamaa akawa anaishi na mke ila hafurahii ndoa yake, na mke akajua udhaifu wa jamaa kua hayuko tayari mali zake zigawike

Lakini jamaa alichukua maamuzi magumu hivyo hivyo wakagawana maliz zingine ziliamriwa na mahakama kua ni miliki ya watoto

Matukio kama haya kwenye jamii ni mengi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom