Mabinti ambao hamjaingia kwenye ndoa

Mabinti ambao hamjaingia kwenye ndoa

Huko kwenye kuliwa mbali, kwanza kabisa sitakubali tutunzwe na binamu yako. Heri mimi na wewe tupambane kufa kupona, tukaishi popote kama watakusaidia msaada wakuite ukachukue sio Mimi na wewe tukalelewe
Hizi ndio akili ambazo wanawake wengi huzikosa. Yani maisha yakiwa magumu tu quick solution ni kuuza nyapu!

Kuna kufunga mkanda katika maisha. Ndio shida na raha zenyewe za ndoa zilipo.
 
Fadhila ni lazima umpe mtu uchi?
Naona kuna tatizo kubwa hapo. Kwani ukimnunulia mtu kiroba cha mchele na unga haitoshi kwa shukurani? Why nyie wanawake mnaonaga K ndio kitu cha maana sana kumpa mtu?
Hukunielewa. Nimemuuliza swali huyo shogaangu.
 
Mi Natafuta Sugar mam!! Tuu!!! Hawa mabinti siwatak!!!!!!!
 
Za kutosha kuhudumia familia hadi uzeeni😂😂😂😂
Unamaanisha niwe na pesa zaidi ya jeff bozzes?

Kwamba scott mke wa bozzes alikua analala njaa?

Maana naye yule kaachwa na mkewe huenda hakua na pesa za kutosha kumfanya mkewe abaki
 
Unamaanisha niwe na pesa zaidi ya jeff bozzes?

Maana naye yule kaachwa na mkewe huenda hakua na pesa za kutosha kumfanya mkewe abaki
Kuna vitu watu tunachanganya.... Wanawake wanataka kupendwa, kufurahishwa, kujaliwa, amani na uhakika wa usalama wao na familia... Hizo pesa za jeff bozzer kama hakuweza kuzitumia kumpa mkewe upendo na furaha hazina faida kwa huyo mke kabisa
 
Kuna vitu watu tunachanganya.... Wanawake wanataka kupendwa, kufurahishwa, kujaliwa, amani na uhakika wa usalama wao na familia... Hizo pesa za jeff bozzer kama hakuweza kuzitumia kumpa mkewe upendo na furaha hazina faida kwa huyo mke kabisa
so kwa maelezo yako ili mwanaume akamilike kwenye ndoa itamuhitaji kwa mkewe awe entertainer, awe comedian, awe mwenye kujali anytime hata akiji dekesha ambembeleze, awe body builder in case of security ya kifamilia na kubwa kuliko awe na na pesa nyingi ya kuhakikisha mkewe anapata kila kitu anacho hitaji bila longo longo

so mumeo ana vyote hivyo?

hongera
 
so kwa maelezo yako ili mwanaume akamilike kwenye ndoa itamuhitaji kwa mkewe awe entertainer, awe comedian, awe mwenye kujali anytime hata akiji dekesha ambembeleze, awe body builder in case of security ya kifamilia na kubwa kuliko awe na na pesa nyingi ya kuhakikisha mkewe anapata kila kitu anacho hitaji bila longo longo

so mumeo ana vyote hivyo?

hongera
Mkiwa mnapendana, kuthaminiana na kuheshimiana hivyo vyote hutokea automatically bila hata nyie kupanga
Inatokea tuu kila mmoja wenu anatamani na anaenjoy kuwa furaha ya mwenzie
 
Mkiwa mnapendana, kuthaminiao na na kuheshimiana hivyo vyote hutokea automatically bila hata nyie kupanga
Inatokea tuu kila mmoja wenu anatamani na anaenjoy kuwa furaha ya mwenzie
na upendo kiasili haujawahi kua stable, binadamu tuna asili moja ya kukinai

na ndio maana hata ukifanya tafiti fupi utaona ndoa changa huwa na furaha sana kuliko ile ndoa yenye miaka mingi unajua ni kwanini?

hata wewe binafsi ukianza kufanya comparison ya maisha yako na mumewe katika kile kipindi cha dating na hiki chasasa cha ndoa utabaini kwa kiwango fulani kama upendo ume decrease kutokana na kuzoeana ambako kumeleta kinai

saikolojia inasema ukitaka kujenga mazingira ya upendo kwa mtu jiepushe naye kuwa naye karibu au kuonana naye mara kwa mara kwani hiyo itajenga mazingira ya ku-miss-ana hivyo mtu huyo atakua na shauku kubwa ya kukuona

couple ya dating huwa nafuraha sana kutokana na mazingira ya kila mmoja kutokea kwao hivyo ni rahisi sana watu hawa kumisiana, tofauti na maisha ya ndoa ambayo kila siku mko pamoja mnaamka kwenye kitanda kimoja
 
Mkiwa mnapendana, kuthaminiana na kuheshimiana hivyo vyote hutokea automatically bila hata nyie kupanga
Inatokea tuu kila mmoja wenu anatamani na anaenjoy kuwa furaha ya mwenzie
Watu wanapenda sana kuendesha ndoa, hasa men, kuwaendesha wake zao kama wanavyoendesha magari ndiyo maana lazima waumie. Mwanaume kapewa akili lakini anatumia nguvu, tena kwa mwanamke ambaye ukiongea one sentence tu inayompenya kumtima anadandalila!!???
 
na upendo kiasili haujawahi kua stable, binadamu tuna asili moja ya kukinai

na ndio maana hata ukifanya tafiti fupi utaona ndoa changa huwa na furaha sana kuliko ile ndoa yenye miaka mingi unajua ni kwanini?

hata wewe binafsi ukianza kufanya comparison ya maisha yako na mumewe katika kile kipindi cha dating na hiki chasasa cha ndoa utabaini kwa kiwango fulani kama upendo ume decrease kutokana na kuzoeana ambako kumeleta kinai

saikolojia inasema ukitaka kujenga mazingira ya upendo kwa mtu jiepushe naye kuwa naye karibu au kuonana naye mara kwa mara kwani hiyo itajenga mazingira ya ku-miss-ana hivyo mtu huyo atakua na shauku kubwa ya kukuona

couple ya dating huwa nafuraha sana kutokana na mazingira ya kila mmoja kutokea kwao hivyo ni rahisi sana watu hawa kumisiana, tofauti na maisha ya ndoa ambayo kila siku mko pamoja mnaamka kwenye kitanda kimoja
Upendo utakosa stability kama uliingia ndoani mguu ndani, mguu nje. Lakini ukijua na kufuata sayansi ya mahusiano ya ndoa hutakaa uiseme ndoa vibaya. Truth be told, ndoa ikikuvurugikia just know kwamba mambo yako yako mbioni kwenda mrama for good. The opposite is also VERY true.

Ndoa changa zinakuwa na furaha kwa sababu ya commitment na selflessness ya wanandoa. Uhusiano wowote ule, especially ndoa, lazima kuwepo na mambo binafsi ya kukeep aside & kusacrifice ili mmea wenu wa ndoa ustawi unhampered. Watu wanaopendana na kuthaminiana, wakizoeana ndipo na upendo wao unakuwa on fire!!!

So love is everything. Kadiri mnavyokaribiana na kujuana strengths and weaknesses zenu, lazima upendo uongezeke zaidi hasa kwa watu wanaoelewa hulka za mwanadamu na maana ya ndoa.

Lastly, lakini siyo kwa umuhimu, kumpenda mtu kwa kummisss huo ni ubinafsi uliopitiliza, siyo upendo. Kwa hiyo wewe ndugu zako unaospend nao miaka yote home HUWAPENDI, UMEWAKINAI!!???? Wewe tayari naona umegeuza maana ya upendo umechukua ile ya feelings. Angalia tena files zako vizuri, utakuwa umeokota isiyo.
 
Mbona hasemi ukweli kwamba pesa ndio kila kitu kwa wanawake walio wengi? usidanganywe wenzio waambie ukweli, mengine porojo tu.
 
Hao wanaume wanaomjua unahakika gani na taarifa zao watazokupatia kama ni za kweli?
Uhakika sababu wao ni wa kweli. Labda nikuulize swali unakubali ya kuwa kuna watu wakweli na hawana kona kona, jambo kama jeusi wanakwambia hili jeusi na kama ni kinyume chake wanakupa hali halisi, hawa ni wale ambao hawapendi lawama na mimi ni mmoja wapo.
wanaume liwe ndio source ya kupata info za mwanamke huoni kwa point hiyo tu ni ngumu kupata info za kweli?
Rahisi sana kupata habari za kweli, sababu ninao wauliza no wajuzi wa jambo hilo. Ndiyo maana sisi kumjua Mwanamke ni muda mchache sana, sababu tunaangalia mambo ya msingi.
Sasa ukisema tena hawa marafiki zake wakike ambao daily anashinda nao huwaamini ila unawaamini wanaume ambao hawana urafiki wa karibu kiivyo huoni hapo inakua ngumu kupata info za kuaminika?
Landa nikuulize swali maana hili jambo dogo sana. Huwa unaangalia nini kumjua mwanamke anae faa kuolewa, maama isiwe najadiliana na mtu ambaye hajui nini anataka toka kwa Mwanamke, ukawa unanipotezea muda tu.
Kwasababh kama crew ya huyo mwanamke ilikua ni wanawake wenzio hivyo ni wazi kabisa kua marafiki zake hao wanamjua vizuri kuliko hao wengine.
Unajua kama kumjua mwanamke anae faa kuolewa ni somo na ni elimu, siyo kila mtu anajua sifa za mwanamke anae faa kuolewa ndiyo maana hata marafiki zake hatuwajumuishi.
 
Sasa kama huna pesa endelea kuzitafuta. Mwanaume ndio kichwa kiongozi na mlinzi wa familia yake.
Kuwa mume ni jukumu kubwa sana, muombe pia Mungu akupe mke atayekusaidia kwa maombi na kukusaidia kupata amani ya moyo
Umenena
 
kwasababu watu wana fake.
Maana yake tabia njema inajulikana, ndiyo maana anae igiza anajulikana tu kwa kuiigiza kwake na kumjua ni sahali kabisa.
Pointi yangu ilikua ni kama wazazi wameweza kukufichia taarifa nyeti kama ile ambayo inaweza kuku cost uhai wako utakua na hakika gani na hizo info walizokupa zingine kua ni taarifa za kweli?

Kwa hiyo hapa msisitizo wa ule mfano ilikua ni kuonesha udhaifu wa kuwatumia watu wanaomjua mwanamke kuoata taarifa maana wanaweza kukuingiza chaka

Sasa inaku cost vipi wakati jambo halikuwa na lilikuwa kwenye mchakato na suala la kupima ni sharti mzee ? Maana yake ilikuwa ni lazima tu ajue.

Sasa mbona unajijibu mwenyewewe hapo mfumo si udhaifu bali wale walio tumwa ndiyo madhaifu. Lakini kwa udhaifu wao wananyanyuliwa na hiki sharti la kabla hujaoa lazima mpime. Ile kanuni huwezi kuidhoofisha mzee. Sababu ni ya kale na ni timilifu. Ndiyo maana sisi wengine tunaona hakuna jambo rahisi kama kumpata mwanamke wa kuoa sababu tunajua tukitaka kuoa kina nani tuwafate.
 
Mkiwa mnapendana, kuthaminiana na kuheshimiana hivyo vyote hutokea automatically bila hata nyie kupanga
Inatokea tuu kila mmoja wenu anatamani na anaenjoy kuwa furaha ya mwenzie
Hili ndo la muhimu katika comment zote humu. Upendo ndo husawazisha madhaifu yote na kujenga hali ya kuvumiliana na kuthaminiana katika nyakati zote.
 
Upendo utakosa stability kama uliingia ndoani mguu ndani, mguu nje. Lakini ukijua na kufuata sayansi ya mahusiano ya ndoa hutakaa uiseme ndoa vibaya. Truth be told, ndoa ikikuvurugikia just know kwamba mambo yako yako mbioni kwenda mrama for good. The opposite is also VERY true
Ndoa ni baina ya watu wawili ihusishayo mwanaume na mwanamke. Na kila mtu anakua na target zake katika ndoa ambazo hizo ni ngumu kuzijua kipindi ambacho hamjaoana

so point ya kusema ukiwa mguu nje mguu ndani kunaweza pelekea ndoa yako kuvunjika inabidi iwe applied kwa pande zote mbili (mke na mume) sasa hapo swali la kujiuliza ni unahakika gani kua huyu mwanamke naye taka kumuoa hayuko mguu nje mguu ndani?
Ndoa changa zinakuwa na furaha kwa sababu ya commitment na selflessness ya wanandoa. Uhusiano wowote ule, especially ndoa, lazima kuwepo na mambo binafsi ya kukeep aside & kusacrifice ili mmea wenu wa ndoa ustawi unhampered. Watu wanaopendana na kuthaminiana, wakizoeana ndipo na upendo wao unakuwa on fire!!!
Sio kweli Watu wakipendana na kuzoeana hukinaiana na kuonana wakawida so ile stimu na mzuka hupotea.

Na hii ni nature haikwepeki ukitaka kuona hili fanya utafiti kwenye zile couples ambazo mara nyingi huwa pamoja. Mfano mwanaume ambaye shughuli zake za utafutaji zinamlazimu kutoka asubuhi na kurudi usiku nyumbani ni tofauti sana na yule mwanaume ambaye shaghuli zake hufanyia nyumbani kwa kuchagamana na mkewe either duka au kitu kingine.
So love is everything. Kadiri mnavyokaribiana na kujuana strengths and weaknesses zenu, lazima upendo uongezeke zaidi hasa kwa watu wanaoelewa hulka za mwanadamu na maana ya ndoa.
Zipo weakness ambazo ni unbearable na ndio chachu ya ndoa kuvunjika. Kwa karne hii ili mahusiano yako yaweze kua yenye furaha itakuhitaji utumie nguvu na muda mwingi sana. Otherwise mtafungia ndoa kanisani na kuachana mahakanani

Lastly, lakini siyo kwa umuhimu, kumpenda mtu kwa kummisss huo ni ubinafsi uliopitiliza, siyo upendo. Kwa hiyo wewe ndugu zako unaospend nao miaka yote home HUWAPENDI, UMEWAKINAI!!???? Wewe tayari naona umegeuza maana ya upendo umechukua ile ya feelings. Angalia tena files zako vizuri, utakuwa umeokota isiyo.
Hiyo ni nature ya binadamu mzee sio hulka ya mtu na hii ni universal lawa hadi kwenye vitu ina apply. Hata wewe furaha uliyoipata kipindi ambapo unaingia kwenye nyumba yako miaka kumi iliyopita ni tofauti na sasa saizi ushaona ni kitu cha kawaida

Yap ni kweli tunachokana sana na kinachobaki pale ni kuektiana tu lakini ukweli unaonekana. Mfano mimi hapa nina miaka kama 5 sijaenda nyumbani nimewamiss kinoma na siku ambayo nikifika nitaoneshwa upendo ambao kipindi ambacho nilipokua karibu nao hawakuwahi kunionesha. Na ukumbuke kua sio siku zote nitaoneshwa upendo huo huo
 
Uhakika sababu wao ni wa kweli. Labda nikuulize swali unakubali ya kuwa kuna watu wakweli na hawana kona kona, jambo kama jeusi wanakwambia hili jeusi na kama ni kinyume chake wanakupa hali halisi, hawa ni wale ambao hawapendi lawama na mimi ni mmoja wapo.
Kwanza hakuna mtu ambaye unaweza ukampa gurantee kwamba ni mkweli moja kwa moja bila kuweka circustances kua kwenye maswala yapi mtu huyu hua mkweli

Hakuna mtu ambaye ni universal kua vipengele vyote ni mkweli

Mfano ukweli ambao unaweza ukamletea madhara yeye sidhani kama kuna mtu yuko tayari kuongea ukweli huo

Alikadhalika na ukweli ambao unaweza mletea madhara mtu ambaye yeye anampenda.

Rahisi sana kupata habari za kweli, sababu ninao wauliza no wajuzi wa jambo hilo. Ndiyo maana sisi kumjua Mwanamke ni muda mchache sana, sababu tunaangalia mambo ya msingi.
Tatizo ume-invest imani kwa watu ambao huna huna uthibitisho nao kua watakupa taarifa za kweli. Mwanamke huwezi kumjua kwa muda mchache kama ambavyo unataka kutupotosha hapa.

Labda huo muda mchache utaweza kujia aina ya chakula, hobbies na personal interests zake kiujumla tu ila sio tabia
Landa nikuulize swali maana hili jambo dogo sana. Huwa unaangalia nini kumjua mwanamke anae faa kuolewa, maama isiwe najadiliana na mtu ambaye hajui nini anataka toka kwa Mwanamke, ukawa unanipotezea muda tu.
Hilo swali mnatakiwa mtujibu sisi maana nyie tayari mshaoa, hapa tunafanya reasoning kuangalia ni criteria gani ambazo mnaziangalia

Unaweza pia ukanijibu ni sababu gani ambayo unahisi ni ya msingi sana kuliko zote za kuonesha ndoa ni lazima?
Unajua kama kumjua mwanamke anae faa kuolewa ni somo na ni elimu, siyo kila mtu anajua sifa za mwanamke anae faa kuolewa ndiyo maana hata marafiki zake hatuwajumuishi.
Tupe hilo somo hapa tulijadili huenda tukapata elimu ambayo ikatubadilisha mitazamo
 
Uhakika sababu wao ni wa kweli. Labda nikuulize swali unakubali ya kuwa kuna watu wakweli na hawana kona kona, jambo kama jeusi wanakwambia hili jeusi na kama ni kinyume chake wanakupa hali halisi, hawa ni wale ambao hawapendi lawama na mimi ni mmoja wapo.
Kwanza hakuna mtu ambaye unaweza ukampa gurantee kwamba ni mkweli moja kwa moja bila kuweka circustances kua kwenye maswala yapi mtu huyu hua mkweli

Hakuna mtu ambaye ni universal kua vipengele vyote ni mkweli

Mfano ukweli ambao unaweza ukamletea madhara yeye sidhani kama kuna mtu yuko tayari kuongea ukweli huo

Alikadhalika na ukweli ambao unaweza mletea madhara mtu ambaye yeye anampenda.

Rahisi sana kupata habari za kweli, sababu ninao wauliza no wajuzi wa jambo hilo. Ndiyo maana sisi kumjua Mwanamke ni muda mchache sana, sababu tunaangalia mambo ya msingi.
Tatizo ume-invest imani kwa watu ambao huna huna uthibitisho nao kua watakupa taarifa za kweli. Mwanamke huwezi kumjua kwa muda mchache kama ambavyo unataka kutupotosha hapa.

Labda huo muda mchache utaweza kujia aina ya chakula, hobbies na personal interests zake kiujumla tu ila sio tabia
Landa nikuulize swali maana hili jambo dogo sana. Huwa unaangalia nini kumjua mwanamke anae faa kuolewa, maama isiwe najadiliana na mtu ambaye hajui nini anataka toka kwa Mwanamke, ukawa unanipotezea muda tu.
Hilo swali mnatakiwa mtujibu sisi maana nyie tayari mshaoa, hapa tunafanya reasoning kuangalia ni criteria gani ambazo mnaziangalia

Unaweza pia ukanijibu ni sababu gani ambayo unahisi ni ya msingi sana kuliko zote za kuonesha ndoa ni lazima?
Unajua kama kumjua mwanamke anae faa kuolewa ni somo na ni elimu, siyo kila mtu anajua sifa za mwanamke anae faa kuolewa ndiyo maana hata marafiki zake hatuwajumuishi.
Tupe hilo somo hapa tulijadili huenda tukapata elimu ambayo ikatubadilisha mitazamo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom