East Wind
JF-Expert Member
- Jun 17, 2020
- 2,783
- 6,067
Alipewa birka feki huyu 😀😀Mpaka umejua uzuri wa bikra tayari wewe mwenyewe sio bikra. Mungu hawezi kumzawadia kicheche kitu chema. Utapewa malaya wenzio tu.....
Alipewa birka feki huyu 😀😀Mpaka umejua uzuri wa bikra tayari wewe mwenyewe sio bikra. Mungu hawezi kumzawadia kicheche kitu chema. Utapewa malaya wenzio tu.....
Wewe si ulikua unaenda makanisani ili umpate! Sasa naona unataka unaitafuta laana ya madhabahu wewe😂😂😂😂Inawezakana , nahisi kama nimekuwa faraja kwake. Ila wakati mwingine ka roho hakajozea kuitwa baby , mala love yaani ..mala ile kufatana . Nilipanga nimpige tukio ila kila nikitamza namna alivyo jitoa nasikia roho yangu inananiambia unajitafutia laana kijana... kwa kuumuza mtu alie kupa moyo wake asilimia zote
Ili uthibitishe kua hii ni sumu au sio sumu lazima ulambe?Ili uzungumzie au kushauri masuala ya ndoa lazima uwe kwenye ndoa..
Bia Yetu!Umeongea vyema sana ndugu Bia Yetu
Na usema kweli mwanamke amenielewa na sio kwamba ametaka kitu kwangu, maana ana kila kitu chake. Angekuwa hana kitu ningehisi kuna kitu anataka kwangu ngoja niendelee kujizoesha mapenzi na kupendwa japo mambo mapya haya kwangu 😃😃Wewe si ulikua unaenda makanisani ili umpate! Sasa naona unataka unaitafuta laana ya madhabahu wewe😂😂😂😂
Nakuombea usiwe kwenye lile kundi ya wanaume wanaokinai wapenzi wao. Ndoa ifungwe💥😍😍Na usema kweli mwanamke amenielewa na sio kwamba ametaka kitu kwangu, maana ana kila kitu chake. Angekuwa hana kitu ningehisi kuna kitu anataka kwangu ngoja niendelee kujizoesha mapenzi na kupendwa japo mambo mapya haya kwangu 😃😃
Siku hizi ili uwe na ndoa yenye furaha itakuhitaji utumie muda na nguvu nyingi kitu ambacho ni ngumu sana ku-maintain kulingana na circumstances ya kiutafutajiTatizo vijana wengi wanadhani kwamba ndoa ni kitu tu kinakuja from no where, lakini hawajui kwamba ni jukumu la kila mmoja kuitengeneza ndoa yake iwe nzuri, yenye furaha na amani tele....
Sometimes tunapaswa kujitoa kwaajili ya wenza wetu ili tuipate amani na kudumisha upendo....
Watu wanaishi kwa ku fake na hata uwe na intelijensia ya mossad ila kwa mwanamke huwezi kupata info zoteSisi huwa tuna waambia vijana ukitaka mke waulize wale wanaume wanao mzunguka huyo mwanamke na kwa mabinti wakitaka waume, basi wawaangalie wanaume wanao mzunguka mtu huyo.Kawaida kila jambo hurudishwa kwa watu wake.
Leo hii shida huanzia katika kutafuta mwenza na vile vipaumbele. Nakomea hapa, bila shaka nimeeleweka.
Huwa unauliza kama ni bikra au una taste🤔🤔🤔🤔
Haya mkuu hongera kwa kuoa birka..
Mpaka umejua uzuri wa bikra tayari wewe mwenyewe sio bikra. Mungu hawezi kumzawadia kicheche kitu chema. Utapewa malaya wenzio tu.....
Mama d kama una binti mwenye miaka 20+ Nije tuongee mara moja maana imeandikwa kama mama alivyo ndivyo alivyo na binti yake.Sasa kama huna pesa endelea kuzitafuta. Mwanaume ndio kichwa kiongozi na mlinzi wa familia yake.
Kuwa mume ni jukumu kubwa sana, muombe pia Mungu akupe mke atayekusaidia kwa maombi na kukusaidia kupata amani ya moyo
Mungu akubariki sana kwa ujumbe huu mzuri na ulio kamilika.Wanawake wanatakiwa kuwatii Wanaume na Wanaume wanatakiwa kuwapenda wake zao
Mwanamke Kumtii mume ni pamoja na kujiheshimu na kumheshimu, kutokufanya chochote hata kiwe chema kiasi gani bila ridhaa yake, kumtunza yeye na mali zake zote ikiwa ni pamoja na mji wenu, watoto wenu na mengine mengi....
Mwanaume Kumpenda mke ni kumchukua kwa wazazi wake, kumhudumia, kumlinda na kumhakikishia usalama wa maisha yake, yako, mali na watoto wenu.....
Huwezi kufanya hivyo ndoa itakua ngumu tuu sana
Sio kweli chief...Siku hizi ili uwe na ndoa yenye furaha itakuhitaji utumie muda na nguvu nyingi kitu ambacho ni ngumu sana ku-maintain kulingana na circumstances ya kiutafutaji