nyilaegenge
Senior Member
- Apr 13, 2014
- 198
- 105
Mbona weng si wachaga na wasukuma_, naona wakurya tu nyankundo
Siye wengine sijui hata tunakosea wapi mpaka haupo kwenye hizi orodha ilihali wote tulizaliwa uchi!
Acheni utotoLakini mbona nilimuona mama yako mzazi akitiwa ndani ya teksi na kukimbizwa Bugando,kwahiyo unataka kusema kuwa hakuumia hata kidogo.
kitana ni balaa, anamiriki meli nyingi kuliko mtanzania yeyote
Songoro Marines
MOIL
Euric Air
Ryans Bay Hotel/Fortes Garage & Tours.
Vic Fish
Nyanza Road
alikusudia kusema "meli za uvuvi" typing error mkuu. Jiongeze.meli za uvivu ndo nn?!
yule jamaa anahela tofauti na umri wake, Mwanza anamiliki mtaa
Baraka Ni tajiri sana tena sana, anamiliki gorofa nying tu mjin Mwanza, pia ana nyumba nying sana zaid ya 30 gorofa moja moja zaid ya 50 bwiru, pia ndo mmliki wa plant nying za migod Tanzania ndo mwanzilishi wa system ya marudio Mwanza, pia ndo mmliki wa busolwa gold mine, anachimba kama GGM kwa sasa amenunua mtambo wa kusaga mawe ya dhahabu wenye thamani ya zaid ya 35bil, hana mkopo bank, anamagari ya kutembelea ya gharama kubwa, ipo hammer, BMW x6 &5, infinite, v8 zaid ya Tatu, kluger new model, jeep, volkswagen, Nissan fuga, Markx, pia alinunua fortuner 10 kwa ajiri ya wafanyakazi wake wa mgodin, anakadiliwa Kuwa na utajir wa 700bill, ila hana mbwembwe kama matajir wa arusha, mkitaka evidence ya vitu nilivyotaja semen nitawarushia
Jana nikawa naongea na ndugu yangu akaniambia huyo jamaa hana investment inayoeleweka, kama angalau ghorofa za kueleweka...tunaomba ushahidi wa investment zake...b700 anaweza kuwa anamkaribia bakhresa mkuuHahaha daah Mkuu mark x, Nissan fuga, kluger new model, sijui x5 nazo unahesabu ni utajiri, safari ya kwenda mbele bado tunayo ndefu Sana aisee
Nipo Mkuu
Kuna zile story kua zakaria wa tarime nae ana trillion mbili
Source > > Buzuruga Bus Stand.
hahaha Mkuu We lianzishe Tu Halafu Mbona Hukuleta Huo Ukweli Kuhusu NGO'LO SAFARIS
Mkuu Zakaria Mnamchukulia Poa Achana Na Huyo Kiumbe Yuko VizuriMkuu hi source imenifanya nimecheka kwa sauti had nimepaliwa killi yangu!!!!!!