GEITA FARM
JF-Expert Member
- Dec 22, 2015
- 336
- 173
Mkuu Unaongelea Njalu Yupi Wa Bariadi Au ...Njalu vp?
Mkuu Unaongelea Njalu Yupi Wa Bariadi Au ...Njalu vp?
hahaha Mkuu Baraka Wamemzidishia Chumvi Jamaa Anayo Hela Ya Kutosha Ila Siyo Kama Walioitaja Kwanza Migodi Yenyewe Kuna Mikono Ya Vigogo Wa SerikaliWapambe nuksi.
Jina lake kamili ni Kitano Chacha na hamiliki kijimeli ni meli. Ana meli kubwa za nguvu tisa na kuna moja inajengwa kwa ajili ya ziwa Tanganyika ya thamani ya Tsh bilioni 5.78.Unajua saman ya chumba kimoja cha duka ndan ya mwanza hoteli.?
Vya ndan ni m.10 per year na nje ni m.15 bado kumbi za sherehe , casino,migahawa, hotel na ofis mbalmbali .
Em tasmin mwenyewe afu linganisha na hicho kijimeli root moja kinasafir kwa m. 6 ujatoa mafuta,ushuru na posho za wafanyakazi
Afu watoto wake wanasoma shule za kata wote duuhkitana ni balaa, anamiriki meli nyingi kuliko mtanzania yeyote
Na wewe unamiliki ni mkuu? Au Tecno yako tu?Jina lake kamili ni Kitano Chacha na hamiliki kijimeli ni meli. Ana meli kubwa za nguvu tisa na kuna moja inajengwa kwa ajili ya ziwa Tanganyika ya thamani ya Tsh bilioni 5.78.
Meli zinazofanya kazi ni Mv Nyakibalya, Mv Chacha, Mv Munanka, Mv Mugendi, Mv Wankyo, Mv Matara, Mv Nyangi, Mv Kirumba na Mv Arez.
Baadhi ya meli zake zinafanya kazi katika nchi za Uganda na Kenya na si tu kwamba ndiye mwenye meli nyingi katika jiji la Mwanza ila katika Tanzania nzima.
Pia anamiliki kiwanja kikubwa mtaa mzima kati Pamba na Rwegasira ambacho NSSF walikitaka kwa 5b akawatolea nje.
Ni mlipaji mzuri wa kodi zote za serikali, anacho cheti cha mlipa kodi bora wa wamiliki wa vyombo vya majini nchini.
Nancy aliyeolewa mwaka jana?MANENGERO BADO YUPO?
SAMWEL NYALLA
KUNA MMOJA MIE SIMTAJI ILA NI NOMA JAMAA MAFIA SANA KULE ZIWA VICTORIA ANA ENEO LAKE LA UVUVI HAKUNA MTU MWINGINE KUVUA OLE WAKE AKUKUTE SASA HUKO NDIO ILE STORY YA KUKATWA KAOSHI, KAPTURA ILIANZIAA HUKO
LEMA WA CAPRIPOINT JE BADO YUPO? ANA MTOTO WAKE MZURI SANA ANAITWA NANCY
VICKFISH
afadhali umewaambia ukweliMwanza imejengwa na Mabilionea Wa Arusha na Kilimanjaro..