bullar
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 10,399
- 23,571
nme ona nikupishe maana unaleta dharau ila ungejua huo mgodi nnao usema unge kaa kimyaKumilik mgod kwan ni jambo kubwa. Tatizo ujajua mgod gan.
nme ona nikupishe maana unaleta dharau ila ungejua huo mgodi nnao usema unge kaa kimyaKumilik mgod kwan ni jambo kubwa. Tatizo ujajua mgod gan.
Boni gani huyo na anafanya biashara gani?Kuna mzee 1 anaitwa boni Ndio mwenye pesa ndefu kuliko hata huyo gachuma.anagolofa ndefu kuliko yeyote hapa mwanza.na nimtu simple sana.gachuma ameshare sana kama lakairo
700bn ndio mtaji wa bakhresa .....muwe mnaandika mambo ya ukweli sio kusema kitu ambacho hamkijui....hata kwenye top 10 ya matajiri wa tz hayupo sasa hiyo 700bn ni hela ya zimbabwe..mengi na kufanya biashara n kumiliki viwanda zaidi ya miaka 25 ndio kafikisha utajiri wa 500bn.Baraka Ni tajiri sana tena sana, anamiliki gorofa nying tu mjin Mwanza, pia ana nyumba nying sana zaid ya 30 gorofa moja moja zaid ya 50 bwiru, pia ndo mmliki wa plant nying za migod Tanzania ndo mwanzilishi wa system ya marudio Mwanza, pia ndo mmliki wa busolwa gold mine, anachimba kama GGM kwa sasa amenunua mtambo wa kusaga mawe ya dhahabu wenye thamani ya zaid ya 35bil, hana mkopo bank, anamagari ya kutembelea ya gharama kubwa, ipo hammer, BMW x6 &5, infinite, v8 zaid ya Tatu, kluger new model, jeep, volkswagen, Nissan fuga, Markx, pia alinunua fortuner 10 kwa ajiri ya wafanyakazi wake wa mgodin, anakadiliwa Kuwa na utajir wa 700bill, ila hana mbwembwe kama matajir wa arusha, mkitaka evidence ya vitu nilivyotaja semen nitawarushia
Tatizo waliacha kufanya kazi wakaanza kuwa vibaraka wa CCM na wakasahau kuwa wadau wao wengi ni wakina nani!Ni kweli. Binafsi na team yangu tuliwahi kuwaletea strategic proposal nzuri to cater for innovation area wakawa wahuni tu. Nami nakiona kifo chao ki karibu.
We una tatizo, ivi unajua utajir wa mengi, anautajiri wa dollars mill 700, bakresa ana utajir wa 1.6trilion EB fatilia vzr700bn ndio mtaji wa bakhresa .....muwe mnaandika mambo ya ukweli sio kusema kitu ambacho hamkijui....hata kwenye top 10 ya matajiri wa tz hayupo sasa hiyo 700bn ni hela ya zimbabwe..mengi na kufanya biashara n kumiliki viwanda zaidi ya miaka 25 ndio kafikisha utajiri wa 500bn.
Rostam aziz ndio no1....1.2tr,moel anafuatia akiwa na 900bn,bakhresa 800bn,mengi 600bn.....wewe itakua umepata hiyo hesabu kwenye gazeti la msanii africa....hiyo hesabu ni toka gazeti la forbesWe una tatizo, ivi unajua utajir wa mengi, anautajiri wa dollars mill 700, bakresa ana utajir wa 1.6trilion EB fatilia vzr
Tatizo lako unabishi sana, unajua tajiri namba moja Ni nan tz, anaitwa mohamed dweji ana utajir wa 1.1bil dollar zaid ya trillion mbil, acha kukariri aise pia usipanik, wa pili ndo rostamRostam aziz ndio no1....1.2tr,moel anafuatia akiwa na 900bn,bakhresa 800bn,mengi 600bn.....wewe itakua umepata hiyo hesabu kwenye gazeti la msanii africa....hiyo hesabu ni toka gazeti la forbes
Billion 700 unaijua????Baraka Ni tajiri sana tena sana, anamiliki gorofa nying tu mjin Mwanza, pia ana nyumba nying sana zaid ya 30 gorofa moja moja zaid ya 50 bwiru, pia ndo mmliki wa plant nying za migod Tanzania ndo mwanzilishi wa system ya marudio Mwanza, pia ndo mmliki wa busolwa gold mine, anachimba kama GGM kwa sasa amenunua mtambo wa kusaga mawe ya dhahabu wenye thamani ya zaid ya 35bil, hana mkopo bank, anamagari ya kutembelea ya gharama kubwa, ipo hammer, BMW x6 &5, infinite, v8 zaid ya Tatu, kluger new model, jeep, volkswagen, Nissan fuga, Markx, pia alinunua fortuner 10 kwa ajiri ya wafanyakazi wake wa mgodin, anakadiliwa Kuwa na utajir wa 700bill, ila hana mbwembwe kama matajir wa arusha, mkitaka evidence ya vitu nilivyotaja semen nitawarushia
Uyo jamaaa ni muhongooooo hata kasuku awez kukop maneno yake.700bn ndio mtaji wa bakhresa .....muwe mnaandika mambo ya ukweli sio kusema kitu ambacho hamkijui....hata kwenye top 10 ya matajiri wa tz hayupo sasa hiyo 700bn ni hela ya zimbabwe..mengi na kufanya biashara n kumiliki viwanda zaidi ya miaka 25 ndio kafikisha utajiri wa 500bn.
Kwanza tuwaulize swali mnaopiga kelele hapa mna nyumba na vits.????Naona kila siku mnajadili Matajiri tu. Naomba tuanze kujadiri na Masikini ili tujue wengine hapa tutakuwa namba ngapi hapa Tanzania?
Namfahamu MkuuNaomba nikuulize swali moja
Unamjua mmilik Wa Lenny hotel geita???
700bn labda ya zimbabwe ndio baraka anamiliki...wa2 wanaropoka tu na kukariri upambe ndio tatizo lake...ametaja magari yake yote kasahau tu kutaja namba za hayo magari....baraka tunamjua kabla hata hajaamia geita akiwa buhemba full usaniiUyo jamaaa ni muhongooooo hata kasuku awez kukop maneno yake.