35k BossHujataja Nauli Brotherr...
Ndio ninayoMbona hata Baraka wanayo?
Kuna mwana mmoja kbl ya kupanda bus anaomba chart ya siti aone majina ya abiria, siti anayochagua inategemea na jina analoliona kwenye siti.Hili basi hasara kwa mabahalia, sasa hapo utakulaje kimasihala kama unakaa siti ya peke yako?
Nipale unapokutana na jina la Janet ukajua binti kumbe mzeeKuna mwana mmoja kbl ya kupanda bus anaomba chart ya siti aone majina ya abiria, siti anayochagua inategemea na jina analoliona kwenye siti.
Unatakiwa kuwa strategical, unampoza na Buku 2 Mkatushab tiket ili apate kumbukumbu nzur za janet.... au unamwambia nipe siti nzur ilinkufupisha safari wao wanajuaga!!Nipale unapokutana na jina la Janet ukajua binti kumbe mzee
Unakutana na Jina Beatrice Dominic unajua bonge la Pisi. Kumbe ni yule mmama mkurugenzi Mnoko Wa Ubungo..Kuna mwana mmoja kbl ya kupanda bus anaomba chart ya siti aone majina ya abiria, siti anayochagua inategemea na jina analoliona kwenye siti.
Hivi karibuni, mfanyabiashara na Mbunge wa Jimbo la Gairo, Ahmed Shabiby ameingiza mabasi 12 ya kisasa aina ya Yutong.
Inaelezwa kuwa, mabasi hayo ni ya aina yake nchini kwani yana mfumo wa kisasa wa ubebaji wa abiria. Ndani ya mabasi hayo, unakutana na viti vyenye mpangilio tofauti na mabasi ya zamani. Upande mmoja, una siti mbili kwa abiria wawili. Upande mwingine una siti moja kwa abiria mmoja.
Sifa nyingine, kila siti ina televisheni yake. Ina mfumo wa kuchajia simu na mfumo wa kusikiliza redio ya simu ya mkononi (earphone).
Sifa nyingine, Basi zima lina siti 34 tu.
Tangu kuanza kwa usafiri wa mabasi hayo, abiria wanaotoka Dar kwenda Dodoma wamekuwa wakichangamkia kupita kawaida. Maeneleo Tanzania.
View attachment 1747373View attachment 1747374View attachment 1747375View attachment 1747376