Hivi karibuni, mfanyabiashara na Mbunge wa Jimbo la Gairo, Ahmed Shabiby ameingiza mabasi 12 ya kisasa aina ya Yutong.
Inaelezwa kuwa, mabasi hayo ni ya aina yake nchini kwani yana mfumo wa kisasa wa ubebaji wa abiria. Ndani ya mabasi hayo, unakutana na viti vyenye mpangilio tofauti na mabasi ya zamani. Upande mmoja, una siti mbili kwa abiria wawili. Upande mwingine una siti moja kwa abiria mmoja.
Sifa nyingine, kila siti ina televisheni yake. Ina mfumo wa kuchajia simu na mfumo wa kusikiliza redio ya simu ya mkononi (earphone).
Sifa nyingine, Basi zima lina siti 34 tu.
Tangu kuanza kwa usafiri wa mabasi hayo, abiria wanaotoka Dar kwenda Dodoma wamekuwa wakichangamkia kupita kawaida. Maeneleo Tanzania.
Inaelezwa kuwa, mabasi hayo ni ya aina yake nchini kwani yana mfumo wa kisasa wa ubebaji wa abiria. Ndani ya mabasi hayo, unakutana na viti vyenye mpangilio tofauti na mabasi ya zamani. Upande mmoja, una siti mbili kwa abiria wawili. Upande mwingine una siti moja kwa abiria mmoja.
Sifa nyingine, kila siti ina televisheni yake. Ina mfumo wa kuchajia simu na mfumo wa kusikiliza redio ya simu ya mkononi (earphone).
Sifa nyingine, Basi zima lina siti 34 tu.
Tangu kuanza kwa usafiri wa mabasi hayo, abiria wanaotoka Dar kwenda Dodoma wamekuwa wakichangamkia kupita kawaida. Maeneleo Tanzania.