Nzenzu
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 858
- 164
waziri nchimbi kakataliwa na wandishi wa habari leo jangwani na kuondoka
Alienda kufanya nini?
waziri nchimbi kakataliwa na wandishi wa habari leo jangwani na kuondoka
ndiyo tumetoka hapa dtv
UPDATE ndiyo sasa tunaindia jangwani
Hongereni sana ila angalieni jamaa wapo mbele wanawasubiria. Mtakula kichapo hadi mkome ubishi.
Mbona habari imekaa kama ulikuwa unakimbizwa au na wewe umetimuliwa, tuambie ilikuwaje wapi na kwa nini?
Waziri wa habari amefika Jangwani kuongea na waandishi wa habari walioandamana kwa ajili ya kifo cha Mwangosi lakini amezomewa vibaya, na walipoulizwa waandishi ni wangapi wanataka awahutubie wote wamemkataa, ikabidi aondoke kwa aibu kubwa.
Waziri wa habari amefika Jangwani kuongea na waandishi wa habari walioandamana kwa ajili ya kifo cha Mwangosi lakini amezomewa vibaya, na walipoulizwa waandishi ni wangapi wanataka awahutubie wote wamemkataa, ikabidi aondoke kwa aibu kubwa.