Maandamano ya wanahabari Sept 11, 2012

Maandamano ya wanahabari Sept 11, 2012



1 ) sikuzote watu wanapoandama inamaana wanaonyesha / dhihirisha hisia zao kwa jambo fulani ...

2) Maandamano hayana tija yanapomalizika bila ya itifaki yeyote ... maswali mliyonayo yanapokosa majibu etcl ..

3)si mtetei nchimbi najaribu kusema ukweli msiotaka kusikia baadhi yenu waandishi wamekosa adabu kwa kumfukuza kiongozi wa serikali ambaye angekuwa na majibu ya maswali yao ... end of the day wamerudi makwao na maswali yasio kuwa na majibu



1. Walipoandaa maandamano yao walikuwa na malengo/maazimio na Nchimbi na serikali yake hawakuhitajika kuleta ujumbe ama maelezo yoyote kama sehemu ya maazimio yao,utamshirikishaje muuaji katika mipango ya ndugu yako aliyeuawa?

2. Itifaki ya maandamano/lengo/tija ya maandamano wanaoijua ni wale waliyoyaandaa..sio lazima unapoaandaa maandamano uandae maswali yatakayohitaji kujibiwa wakati wa maandamano

3.Hayo ya kukosa adabu waandishi ndio unayaona, mbona hauoni kama Nchimbi na Serikali yake wamekosa adabu kwa kutokuchua hatua kali kwa wauaji wa mwandishi kinyume na sheria za nchi na pia kutokupeleka uwakilishi wa serikali katika mazishi yake?
 
daaah kweli nimeipenda hii bado zamu ya jk, siku atakapo panda jukwaani kuhutubia wananchi wakaondoka au kumpiga mawe.... nyinyiemu na mabichwa yenu someni alama za nyakati.... nimezipenda sana hizi za nchimbi, waandishi mbarikiwe sana..... kila kitu kinamwisho. rejao mmpe pole nchimbi
 
Solidarity for ever, waandishi tushikamane kuwapinga wauwaji
 
Hapa mzuka ulikuwa umepanda

391678_413404235388320_1290669446_n.jpg
 
Goooooooooood!!!! 'sooolidarity foreeeever....! 'sooolidarity foreeeever....! Not only for the press team, but for all tanzanians, doctors, teachers, and the rest of civil servants....fight for your right now, or never!! The change will always come for those who seek for them...! Yes we can!
 
Huyu hapa wakati anaingia uwanjani

418859_413389955389748_619602570_n.jpg



Hapa akiwa tayari katimuliwa anaondoka kwa aibu kichwa chini

Kwa nini Nchimbi kavaa nguo nyeupe? Ana usafi gani wakati anaongoza team ya 'wanywa damu ya watanzania? Daudi Mwangosi yuko ardhini, RPC wa Iringa yuko ofisini, RPC wa Morogoro yuko ofisini, Kule Mara nako watu wako ofisini.

Ujasiri wa kuvaa nguo nyeupe kwenye mkusanyiko wa majinzi kama huo kautoa wapi kama si dhahaka kwa watanzania?
 
1. Walipoandaa maandamano yao walikuwa na malengo/maazimio na Nchimbi na serikali yake hawakuhitajika kuleta ujumbe ama maelezo yoyote kama sehemu ya maazimio yao,utamshirikishaje muuaji katika mipango ya ndugu yako aliyeuawa?

2. Itifaki ya maandamano/lengo/tija ya maandamano wanaoijua ni wale waliyoyaandaa..sio lazima unapoaandaa maandamano uandae maswali yatakayohitaji kujibiwa wakati wa maandamano

3.Hayo ya kukosa adabu waandishi ndio unayaona, mbona hauoni kama Nchimbi na Serikali yake wamekosa adabu kwa kutokuchua hatua kali kwa wauaji wa mwandishi kinyume na sheria za nchi na pia kutokupeleka uwakilishi wa serikali katika mazishi yake?

NCHIMBI IS USELESS....WELL KNOWN!...

Siku zote tunasema Nchimbi ni kati ya Viongozi ambao uwezo wa kuongoza hawana toka awali, anapewa nafasi kila wakati kwa kubebwa maana alipokuwa Umoja wa Vijana tunajua kuwa kuna majukumu aliyoyatekeza 'kwa maslahi ya waliopo madarakani sasa na hivyo zote hizo ni fadhila na sio kwa uwezo wake, ...hana kitu upstears, maana kunao washikaji waliosoma naye hapo Mzumbe, wanajua alivyokuwa 'ananawa mpira' wakati wa paper! yaaani 'faulo za magoli ya mkono kwa wazi'...na alikuwa anasukumwa mbele tu!!

Hizi ndio zile digree za ku-google na kuibia taariga za wengine, kama alivyosema hivi majuzi ktk utafiti wake Mtaalam mmoja wa Computer na Mahesabu na Mhadhiri wa Chuo cha usimamizi wa Fedha (IFM) Dr Sedoyeka aliposema wazi kuwa tatizo la sasa serikalini ni kuwa viongozi wengi wanazo digrii feki, zinazotakana na 'tafiti (researches) feki, na waalimu wao kwa tamaa ya hela wanaafiki kutoa shahada na stashahada hizo, mfano kama ya Nchimbi! This is obviously a fake feagure in the Gvt management arena! Huu ni mfano wa Nchimbi wengi mno waliojaa ndani ya CCM, ndio wanaoongoza nchi iende mbele??? Give Tanzanians a break...!
 
Kwa nini Nchimbi kavaa nguo nyeupe? Ana usafi gani wakati anaongoza team ya 'wanywa damu ya watanzania? Daudi Mwangosi yuko ardhini, RPC wa Iringa yuko ofisini, RPC wa Morogoro yuko ofisini, Kule Mara nako watu wako ofisini.

Ujasiri wa kuvaa nguo nyeupe kwenye mkusanyiko wa majinzi kama huo kautoa wapi kama si dhahaka kwa watanzania?

This man called Nchimbi is absolutely useless....
 
Walichokionyesha Leo Wanahabari wetu katika Viwanja vya Jangwani kukataa kwao kwa Kuwepo Waziri Muhusika kupokea Hoja zao ni Udhaifu, Ujinga na Akili za Kitoto, Inaelekea wamefanya Maandamano hayo bila kujua Malengo na Makusudi ya kweli ya kufanya hivyo. Kwa hiyo inayakinisha kuwa wengi wao walikuwa hapo walikuwa Bendera fuata Upe[o!

Aisee! Ninyi ndo wale mnaozamia harusi bila mwaliko!!! duh! wenye harusi wakikutoa nje unawaita wajinga??!! ha ha ha!
 
Tuliannza na Mungu na tutahitimisha na Mungu. Mabadiliko ni lazima JK na serikali yake wameshindwa tena si siri kila mtu ajua hilo
 
mamaaa! kumbe BTC hakuna waandshi wa habari! .......................mi nazani wapo polic na makada wa ccm
 
napata shida kuelewa ni kwa nini waziri emmanuel nchimbi ameenda jangwani kwenye maandamano ya waandishi wa habari je walimtaarifu aende?na kama siyo nani aliyemwambia kwenda pale mbona kila sehemu ambapo waandishi wa habari wameandamana wamepokelewa na wenyeviti wao iweje jangwani jamani mnisaidie katika hili
 
Ndoto za kwenda nyumba nyeupe zinamwandama..hajui ni ndoto za mchana
 
Waziri Mzuri kama huyu anakataliwa? hatuta pata waziri mzuri kama huyu... Alijisemea Mwenyewe Nchimbi
 
Polisi aliyefanya uhalifu huo, tayari amekwisha kamatwa na anahojiwa kwa hatua zaidi za kisheria. Kwani ulipenda awajibishwe vipi zaidi ya hivyo?????????
Utakuwa ni mgeni Tanzania!, hapo wanafanya mipango ya kula kodi zetu alafu atawekwa huru. Umesahau Zombe na wenzake walioua wafanyabihashara? siyo tu waliojiwa bali walisafishwa walitakaswa japo hawatakati hata rohoni mwao wenyewe wanajua hivyo. Mifano ni mingi mno ya aina hii!.
Ndugu hacha tabia ya kurudi kufanya mambo yaleyale kwa utaratibu uleule na kutarajia matokeo tofauti na uliyokwishapata. Huu tunauita UTAILA!.
 
Back
Top Bottom