acha ujinaga wako wewe, PhD na maamuzi ya mtu vinahusiana nini? hujawahi ona prof au dr bingwa wa wanawake anabaka?!! phweeeeeeeeeeeee
Well said though you failed to avoid immotions. PHD na maamuzi ya ajabu havina uhusiano maana hata UDSM wapo PH hoders au waliozipata PHD zao pale lakini matendo na maamuzi yao yanatia shaka. Mmoja yule wa REDET na yeye PHD yake Mzumbe? Mwingine amekuwa mkuu wa wilaya juzi, mwingine alipingana na wasomi wenzie akakataa hoja ya mgobea binafsi. Mwingine alisema anajenga barabara ili CDM waandamane vizuri na yeye PHD yake mbichi tena ya UDSM kwenye chemistry. List ni ndefu lakini itoshe kusema kama ulivyomwambia kuwa PHD au cheti na maamuzi havina ushusiano. Wapo wenye navyo lakini delivery/output contrasting ownership