Mmetuaid wenyewe maisha bora 2nayadai mnaleta vikwazo mlijua hatvadai eee! 2tadai kwa njia yoyote na ndo ivo 2meanza na maandamano afu mnayaogopa sana kumbe..hik ni kzaz kpya kinahoj na kudai
Mmetuaid wenyewe maisha bora 2nayadai mnaleta vikwazo mlijua hatvadai eee! 2tadai kwa njia yoyote na ndo ivo 2meanza na maandamano afu mnayaogopa sana kumbe..hik ni kzaz kpya kinahoj na kudai
Wewe uanfikiri maisha bora utaletewa kitandani? fanya kazi kijana, jitume. Ni nani aliyokuzuia kufanya mambo chungu nzima Tanzania.
Hivi hao wooote wanaopanda maisha yao kila siku huwa yanakuja tu kama ndoto vile? unanchekesha kweli kweli. Hivi ni nini unachoweza kufanya cha kukuingizia kipato Tanzania hii ukashindwa kukifanya au ukazuiwa usifanye?
Mkuu hadi kieleweke, Kikwete must go. mie natuma hela kesho kwa makamanda DC wakafanye maandalizi. Mallya anapigika, wakina Glover ndio wazungumzaji wakuu kwenye maandamano hayo
Jitauyarisheni rais wenu kuabikia marekani. Hela za maandamano zimeshamwagwa watu kibao watashiriki.
Hela unazijuwa wewe? Hivi maandamano yanafanywa kwa hela kumbe? sikujuwa mimi. Nilidhani watu wanaamuwa wanaingia mitaani. Itabidi tuwaambie TRA wachunguze kama hizo pesa mnazotumia kwenye maandamano zinalipiwa kodi.
Haya nimaamuzi ya busara yaliochelewa, kuna mkakati mzito wa kuisambaratisha JF. mkiendelea kumchekea Faiza Foxy & co, mtakuja kujuta, simaanishi kwamba watu wasitofautiane, kutofautiana ndio utamu wa hoja, lakini tuwe wakweli wa nafsi zetu hebu kokotoeni mahesabu nyinyi wenyewe kwenye thread hii mtu mmoja Faiza foxy anajibu kila post kana kwamba ni automatic answering machine!A number of members who have used derogatory and insulting remarks in this thread have suffered a 2 weeks ban. If people can not restrain themselves we will help them do so.
For Admins.
A number of members who have used derogatory and insulting remarks in this thread have suffered a 2 weeks ban. If people can not restrain themselves we will help them do so.
For Admins.
Wewe uanfikiri maisha bora utaletewa kitandani? fanya kazi kijana, jitume. Ni nani aliyokuzuia kufanya mambo chungu nzima Tanzania.
Hivi hao wooote wanaopanda maisha yao kila siku huwa yanakuja tu kama ndoto vile? unanchekesha kweli kweli. Hivi ni nini unachoweza kufanya cha kukuingizia kipato Tanzania hii ukashindwa kukifanya au ukazuiwa usifanye?
Tanzania hii na fursa zilizokuwepo, kama unabaki kuwa maskini wa kulalamika basi ama wewe ni mvivu kuoita kiasi au ni mjinga kupita kiasi, au una matatizo ya kichwa.
Mie (house girl wangu) ka save mshahara wake mpaka kaenda kununua pikipiki, sasa hivi anataka kuongeza nyingine, inamuingizia kila wiki 50,000 na huku anafanya kazi yake. Anasema zikifika tatu tu nimruhusu aache kazi. na mimi nimemwambia Mungu akusaidie na akuzidishie.
Sasa leo wewe mwanamme mzima unajuwa kuingia hata JF unalalamika maisha bora? unanshangaza sana. Ndio maana Kikwete akasema hata hajui kwa nini Watanzania ni maskini. Kweli kitu cha kushangaza, fursa zote ziliopo. Bora nianze kuwapa darsa ya kuondokana maisha duni na niwaongoze namna ya kuingia kwenye maisha bora..
Bado nawategemea wakoloni wawafundishe namna ya kuishi. Mna kazi sana nyie wakimbizi wa Tanzania
wewe ni kama nani hapa JF unaejiona kwamba mawazo yako ndio sahihi, wakati hata wewe ulikuwa unaongea pumba tu na kukejeli wenzako?Sawa kabisa. Lakini pia watu kama Saigon na muanzisha maada pia wanastahili kupigwa ban kwa kutoa habari, changamoto na kauli ambazo ni wazi ni uwongo na zenye uzushi mtupu kutokana na wao kushindwa kabisa kutetea hoja na madai yao kutoka kwa Wachangiaji wengi, binafsi nikiwemo. Hii inachangia sana kuteremsha hadhi ya jukwaa kwa kweli. Kwa mtazamo wangu, hii maada ingebidi ifutwe tokea awali kutokana na mtoa maada kushindwa kutetea madai na hoja zake.
&lt;br /&gt;<br /><br />Pumba hizo, Kuna Rais yupi Tanzania alyefanya mema zaidi ya Kikwete? nitajie mmoja na alichofanya ambacho Kikwete hajakipiku.
maandamano marekani yamekugusa sana loh, tra inavuka mipaka siku hizi.. eti wakachunguze hizo hela kama zimelipiwa kodi!Hela unazijuwa wewe? Hivi maandamano yanafanywa kwa hela kumbe? sikujuwa mimi. Nilidhani watu wanaamuwa wanaingia mitaani. Itabidi tuwaambie TRA wachunguze kama hizo pesa mnazotumia kwenye maandamano zinalipiwa kodi.
bado ana id zaidi ya moja, hata mimi nina mashakaHaya nimaamuzi ya busara yaliochelewa, kuna mkakati mzito wa kuisambaratisha JF. mkiendelea kumchekea Faiza Foxy & co, mtakuja kujuta, simaanishi kwamba watu wasitofautiane, kutofautiana ndio utamu wa hoja, lakini tuwe wakweli wa nafsi zetu hebu kokotoeni mahesabu nyinyi wenyewe kwenye thread hii mtu mmoja Faiza foxy anajibu kila post kana kwamba ni automatic answering machine!<br />
<br />
Great thinker hawezi kuwa hivyo hata siku moja, mtu makini husoma kwanza michango ya wenzake ndipo na yeye hutoa maoni yake, lakini sivyo kwa Faiza Foxy.