Maandamano ya Kumpinga JK Washington DC

Maandamano ya Kumpinga JK Washington DC

Status
Not open for further replies.
Nani wakuandamana Washington DC, wadanganye Pro-CDM wenzako hivi unadhani utufahamu mnavyoishi huku Marekani!
Kuhusu Marekani, UK, unidanganyi kitu, 85% ya Watanzania wanaokaa Marekani ni Overstay halafu ni unlegal hawana makaratasi, wengine wamefiwa na baba zao mama za Tanzania wameshindwa kuja kuzika kama wakija hawawezi kurudi tena Marekani serikali ya Marekani haiwatambui wanaishi kama kwale tu huku Marekani halafu leo unatauambia eti wajitokeze kwenye maandamano thubutu!
Halafu tuambie Washington DC ni kubwa hayo maandamano yanaanzia wapi?

Mkuu Mbona kama huko kwenye Bold unaonekana upo Bongo na Marekani at the same time! Eb kuwa Speicific.
 
Shule ya Sekondari kila kata, nambie ni Rais yupi aliyefanya hayo kabla yake?

Na hilo limeshapatiwa ufumbuzi, hakuna wakati tuna vyuo vya waalim wingi kama huu wa Kikwete hao wa kabla yake kuanzia kwa nyerere walikuwa wapi? wamelala? zaidi ya vyuo vya walimu, ni juzi tu amesaini mkataba wa kutufungia mtandao shule zote. mwalim mmoja tu Dar anafundisha watoto mamillioni au hujui hilo? Siku hizi kuna watu hata darasani hawaendi, wanakula vitu kwenye mtandao tu, na JK kisha liona hilo na kisha saini. Uko wapi weyee?


Hiyo ni sawa na kujenga nyumba kwa kuanzia na paa! Vyuo vikuu mpaka leo hamna hiyo kitu ilianziashwa imefeli loooong time. unadanganywa hiyo kitu unalainika? ha ha ha ha ah hah
 
Nayaona mema anayoyafanya nambie idadi ya mashule wakati, ni rais yupi aliyefanya namna hiyo? idadi ya viwanda, kwa muda wake tayari zaidi ya viwanda 160 vipyaaaaaaaa kati ya 500 na zaidi vinavyojengwa kwa muda huu wake mfupi tu. Mbona hamuyasemi? Mkonga wa mawasiliano wa kisasa kabisa, Tanzania nzima unatandazwa, miko 18 na wilaya zake 56 tayari unatumika.

Juzi tumeona akizindua Swahili version ya windows 7 na mashule kibao kuanza kufundishwa kwa mtandao, nyie pigeni kelele hakuna walim mwenzenu anahakikisha waalim best wanafundisha kwa mtandao, waalim wataokuwepo shule ni skeleton tu kuhakikisha nidham na mambo ya utawala, uko wapi wewe? halafu kwa yote hayo bado nisiwe na maslahi nae binafsi? unanchekesha.

Huo mtandao wenu na kompyuta zinazoendeshwa na vibatari sijui mtazitoa wapi?
 
Wewe uanfikiri maisha bora utaletewa kitandani? fanya kazi kijana, jitume. Ni nani aliyokuzuia kufanya mambo chungu nzima Tanzania.<br />
<br />
Hivi hao wooote wanaopanda maisha yao kila siku huwa yanakuja tu kama ndoto vile? unanchekesha kweli kweli. Hivi ni nini unachoweza kufanya cha kukuingizia kipato Tanzania hii ukashindwa kukifanya au ukazuiwa usifanye?<br />
<br />
Tanzania hii na fursa zilizokuwepo, kama unabaki kuwa maskini wa kulalamika basi ama wewe ni mvivu kuoita kiasi au ni mjinga kupita kiasi, au una matatizo ya kichwa.<br />
<br />
Mie (house girl wangu) ka save mshahara wake mpaka kaenda kununua pikipiki, sasa hivi anataka kuongeza nyingine, inamuingizia kila wiki 50,000 na huku anafanya kazi yake. Anasema zikifika tatu tu nimruhusu aache kazi. na mimi nimemwambia Mungu akusaidie na akuzidishie. <br />
<br />
Sasa leo wewe mwanamme mzima unajuwa kuingia hata JF unalalamika maisha bora? unanshangaza sana. Ndio maana Kikwete akasema hata hajui kwa nini Watanzania ni maskini. Kweli kitu cha kushangaza, fursa zote ziliopo. Bora nianze kuwapa darsa ya kuondokana maisha duni na niwaongoze namna ya kuingia kwenye maisha bora..
<br />
<br />
Povu linakutoka?
Kasome Quran mungu akupe heri na maisha marefu ndani ya dunia hii yenye vingi vilabu vya pombe kuliko nyumba za mungu.
Uwacha UNAFIKI HUMU.
Utashangaa unakauka kwa Unafiki na uZANDIKI.

Note:kizazi chako KitaTAFUNWA MARA 4 KWA DHAMBI UNAZOTETEA ZA SEREKAL HII YA KIHUNI.

Unaudhalilisha Mwezi mtukufu kwa kupinga ukweli wa watanzania wenzako.
 
FaizalFoxy,
Please, Quality inatangulia quantity!
Ujenzi wa shule kila kata wakati wanafundishwa na failure wa darasa la 12 ni kupotosha maana ya Elimu. Leo hii Tanzania wapo Maprofesa waliomaliza chuo kikuu miaka mitatu iliyopita wanafundisha tena vyuo vikuu..Kuna watu wanachukua Medicine chuo kikuu hawakupata grade 1 waka 2 ktk masomo wameingia medicine kinyume kabisa cha taratibu za elimu DUNIANI na kesho ndio watakuwa madaktari wetu.

Matokeo mabaya ya masomo ni dalili kubwa ya kutuonyesha makosa ya utendaji na utekelezaji ktk elimu lakini kwa kivuri cha makosa yaleyale tunayoyafanya kila siku tunaendelea kujipongeza kwa kazi nzuri ambayo haina mazao bora. Tuache hizo akili za mkulima kufikiria ukubwa wa shamba ndio utajiri akitegema jembe la mkono..Mungu katujaalia rasilimali na maliasili ambazo sisi tunatakiwa kuzitumia kwa manufaa yetu na sii kuona fahari magugu ya elimu mbovu yakiota...

JK kashindwa kuongoza! hilo halina ubishi na wala hastahili kusifiwa kwa lolote tena lakini hadi sasa hivi hajafanya jambo lolote BAYA ktk uongozi wake kufikia kutayarisha maandamano Washington DC, hali ni sisi wenyewe ndio tulomchagua mwaka jana tu...Na kibaya zaidi labda niseme Marais karibu wote wa nchi za Afrika hawana tofauti na JK kwa sababu Ufisadi wao wote ni ktk kujikomba kwa faida ya Mataifa ya magharibi na Marekani ni babalao ktk ukoloni mamboleo!...Kuandamana DC ni waste of time and energy!...
 
Quote (Mkandara "sijui kama ni kampeni against JK au kweli UVCCM wamepania kufanya mabadiliko kwa manufaa ya wananchi au ya chama..)

Mkuu nimekuelewa na ninashukuru kwa info. Hapo juu kwenye red na mimi napata wasiwasi pia however, ni vizuri kama UVCCM wameona kuna tatizo. Ndani ya UVCCM sio tu kunampambano wa mambo ya ufisadi lakini kuna underground class war (watoto wa vigogo against others), udini, ukabila etc. In short everyone is targeting the "prize" for different purpose. I should also say hivi vyama vya siasa sivielewagi sometimes for one reason: mtu anaweza kuona makosa asiseme kitu, lakini siku akiwa na ugomvi binafsi ataibua yote mabaya aliyoyaona. JK anapata upinzani mkali sio tu kwa wananchi wakawaida wanaopenda maendeleo but also kwa vigogo wenzie wa CCM ambao hawakubaliani na uongozi wake. Wengi hawawezi ku-mface kwenye vikao nakumpa ukweli; but wana influence kubwa behind the scene. Siwafahamu kwa karibu organizers wa hayo maandamano, lakini naelewa wako wana CCM wasioridhika na utendaji wa Kikwete watakaohudhuria na wasio wana CCM. So for that; I say let them express their frustration. Nafikiri wakielekeza ujumbe towards Kikwete utabeba uzito lakini wakimtaja Riz 1, issue itasomeka kisiasa zaidi kwasababu; legally Riz 1 wananchi hawajamkabidhi majukumu yeyote kwenye serikali (my views). Although E. Mallya ametamka wazi yeye ni UVCCM, baadhi ya watu watakaoudhuria hawataki kuji-associate/hawaja commit kwenye chama chochote. I agree our ship is sinking na probably watakaopona ni wale wenye plan B.
 
haya bana makada wa kile chama chenu kama njoni hapa home tulianzishe coz hapa ndani kwetu ndo 2nahitaji kuandamana from the grass root
 
BREAKING NEWS: SERIKALI YA TANZANIA KUPITIA WATU WASIOFAHAMIKA, WAMEANZA KUTUTOLEA VITISHO PAMOJA KUJARIBU KUTUHONGA WAANDAAJI $3MILLION KUZIMA ZOEZI ZIMA LA MAANDAMANO. JIBU LETU NI KWAMBA, HATUWEZI KUUZA HUTU WETU NA UBINADAMU WETU. HIZO HELA WAPELEKE KWENYE MAHOSPITALI SIYO KUTUHONGA SISI. WAKAWAONGE WATANZANIA MILLIONI 40 WANAOKUFA NA NJAA SIYO SISI. MAANDAMANO LAZIMA, NA RAIS KIKWETE AJITAYARISHE. TUNAKUTANA NAYE MARRIOT WASHINGTON DULLES AIPORT NA HOTELINI KWAKE. TUMESHAJITAYARISHA

MWANAHARAKATI MCHEZA SINEMA WA KIMAREKANI ATAHUTUBIA, IMETHIBITISHWA....JINA PUNDE
WATU 2117 WAMETUMA MAOMBO KUSHIRIKI.TUMENI BARUA BARUA PEPE KWA WINGI KUWEKA PINGAMIZI KUHUSU SAFARI ZA KIKWETE KWENDA MAREKANI. BARUA ZOTE ZITUMWE KWENDA
wiegertjr@state.gov HUU NI USHAURI KUTOKA KWA WAHUSIKA. ATAZUILIWA ISIPOKUWA TU KUHUDHURIA UN SESSIONS. WENYE FACEBOOK, WAANDIKE PINGAMIZI ZAO KWA KIINGEREZA KWENYE FACEBOOK PROTEST AGAINST KIKWETE

**************************************************************************************
Tunapanga maandamano ya amani jijini Washington DC Rais Kikwete atakapowasili kwenye kikao cha DICOTA 2011. Tayari watu 150 wamekubasli kushiriki.Hii kumshinikiza kushugulikia swala la ufisadi na matatizo yanayowakabili wananchi wa kawaida. Maandamano yetu yataishia STATE DEPARTMENT. Naye apate Aibu, kwa kucheza na maisha ya watu, na kuiaca familia yake ikoroge nchi yetu. Ridhiwani anamilika robo ya uchumi wa Tanzania? Kwani Tanzania ni Tunisia....Ukitaka kushiriki tuma barua pepe kwenda eliakimmallya@yahoo.com

Tayari watu 974 wamesha confirm kujumuika katika maandamano haya ya amani....Jamani tuendeleeni, kushirikiana tumuaibishe huyu msanii , mtalii Vasco Dagama a.k.a Dr. Livingstone hadi atoke madarakani. Kadhalika tumeni barua pepe pamoja na malalamiko kwa wingi kwenda wiegertjr@state.gov ili kupinga Vasco Dagama kupewa VISA na wapambe wake. Ifahamike kwamba mimi siyo mwana CHADEMA wengine wanavyodai. Mimi ni mwana UVCCM tena ngazi ya Juu, lakini Kikwete hakufaa kuwa Rais, ndo maana Watanzania wanaumia. Mapinduzi yanakuja. Wasio na makaratasi, tunachoomba ni sala zenu tu. Watu wanaongezeka sana. Tayari tumefikisha watu 512 ambao wapo marekani ki halali na wako tayari kujiunga nasi kwa ajili ya haya mapinduzi

Habari njema ni kwamba, kuna familia moja ya kitajiri ambayo ina interest kubwa Tanzania na wanashangaa kuona taifa letu linavyodidimia. Kwa maana hiyo, wamejitolea kulipia mabango, pamoja na mabasi sita.

1. Basi 2 yataanzia NY (Ni ya watu wa Boston, NY, Long-Island, NJ etc...) 2. Yanayotokea Ohio (Ohio, Maryland, Pensylvania, Michigani etc..)
3. MaBasi ya mwisho yatatokea Atlanta Georgia (Texas, Virginia, Florida, Alabama,Kansas, etc..)

Tukielekea mwisho wa mwezi huu, tutawapa ratiba kamili ya maandamano, yatakayoanzia sehemu"maalum" kuendelea kwenye Ukumbo wa DICOTA, Ubalozini , hoteli atakayofikia FISADI Kikwete na kumalizikia STATE DEPARTMENT. Tutakesha hotelini, chakula kitakuwepo na huduma zote muhimu pia zitakuwepo. Tuko pamoja hadi kieleweki. Mimi ni mwana CCM toka UVCCM lakini naapa ya Kwamba TUMECHOKA na JK. Tunamsubiri Marekani, hata kama ni miaka miwili tunamsubiri, wadhamani wapo kutusaidia. Wanaotaka Kujiunga kwenye maandamano, tumeni barua pepe kwenda
eliakimmallya@yahoo.com. Kadhalika, tumeni malalamiko mengi iwezekanavyo kwenda wiegertjr@state.gov
Ili kikwete na wapambe wake wanyimwe VISA, kwani serikali ya marekani haiwezi kutoa VISA mtu yeyote anapowekewa petition. Jamani msiogope, huu ni wakati wa ukombozi. Mimi nimefika hapa mwezi sasa, nipo uhamishoni hadi kieleweke.

TUUNGANE FACEBOOK PROTEST AGAINST KIKWETE

HTML:
BREAKING NEWS: SERIKALI YA TANZANIA KUPITIA WATU WASIOFAHAMIKA, WAMEANZA KUTUTOLEA VITISHO PAMOJA KUJARIBU KUTUHONGA WAANDAAJI $3MILLION KUZIMA ZOEZI ZIMA LA MAANDAMANO. JIBU LETU NI KWAMBA, HATUWEZI KUUZA HUTU WETU NA UBINADAMU WETU. HIZO HELA WAPELEKE KWENYE MAHOSPITALI SIYO KUTUHONGA SISI. WAKAWAONGE WATANZANIA MILLIONI 40 WANAOKUFA NA NJAA SIYO SISI. MAANDAMANO LAZIMA, NA RAIS KIKWETE AJITAYARISHE. TUNAKUTANA NAYE MARRIOT WASHINGTON DULLES AIPORT NA HOTELINI KWAKE. TUMESHAJITAYARISHA
HTML:


This is shameful for my country
 
Quote (Mkandara "sijui kama ni kampeni against JK au kweli UVCCM wamepania kufanya mabadiliko kwa manufaa ya wananchi au ya chama..)

Mkuu nimekuelewa na ninashukuru kwa info. Hapo juu kwenye red na mimi napata wasiwasi pia however, ni vizuri kama UVCCM wameona kuna tatizo. Ndani ya UVCCM sio tu kunampambano wa mambo ya ufisadi lakini kuna underground class war (watoto wa vigogo against others), udini, ukabila etc. In short everyone is targeting the "prize" for different purpose. I should also say hivi vyama vya siasa sivielewagi sometimes for one reason: mtu anaweza kuona makosa asiseme kitu, lakini siku akiwa na ugomvi binafsi ataibua yote mabaya aliyoyaona. JK anapata upinzani mkali sio tu kwa wananchi wakawaida wanaopenda maendeleo but also kwa vigogo wenzie wa CCM ambao hawakubaliani na uongozi wake. Wengi hawawezi ku-mface kwenye vikao nakumpa ukweli; but wana influence kubwa behind the scene. Siwafahamu kwa karibu organizers wa hayo maandamano, lakini naelewa wako wana CCM wasioridhika na utendaji wa Kikwete watakaohudhuria na wasio wana CCM. So for that; I say let them express their frustration. Nafikiri wakielekeza ujumbe towards Kikwete utabeba uzito lakini wakimtaja Riz 1, issue itasomeka kisiasa zaidi kwasababu; legally Riz 1 wananchi hawajamkabidhi majukumu yeyote kwenye serikali (my views). Although E. Mallya ametamka wazi yeye ni UVCCM, baadhi ya watu watakaoudhuria hawataki kuji-associate/hawaja commit kwenye chama chochote. I agree our ship is sinking na probably watakaopona ni wale wenye plan B.
Umeona eeeeh! Wadanganyika wengi wazito sana kuelewa vitu!..
Mimi niliposoma tu siku ya kwanza niliipata picha kamili na ndio maana nikafikiria kwa nini Watanzania tusiwe wakweli tuache unafiki?..
 
Nyie sio watanzania , nyie ni wamarekani , shughulikieni kwanza matatizo ya uchumi ya nchi yenu. Hamuoni nchi yenu inavyo didimia sasa
Wewe ndio siyo mtanzania! wewe mpuuzi nini?! umeona risasi na virungi vya ?@@!$*&& wenzako haviwezi kuzuia hii movement sasa unaamua kujisaidia tuu barabarani???!!!
 
Kaka hapa bongo tunatafuta pakuazia tu moto utawaka kwani tunakuwa masiki kwenye nchi yetu wenyewe kweli ni wanaume wanaogopa kurudi nyumbani kwasababu ela amna
Wajawasito wanakufa
Wazungu wanachukua madini yetu sis tunakufa njaa kweli tuwe tu kimia NI BORA KUFA KISHUJAA KULIKO KUFA KAMA KONDOOO TANZANIA amka ..........
 
Maandamano ni HAKI msingi ya Ki-Katiba kwa kila raia bila kujali yuko wapi kwa wakati gani. Hivyo vitisho vya mtu yeyote kwa Waandamanaji wa huko Washington DC ni kujipotezea tu muda bureeeeeeeeeee!!

Cha msingi shughulikeni na yale yanayowafanya watu kukereka kiasi cha kufikiria kutumia hii silaha ya mwisho wa maandamano. Unafikiri mtu gani anapendezwa tu kuandamana kama chizi hivo bila sababu yoyote: Banae, wenzetu tunawaunga sana mkono katika azma yenu hiyo kumpokea rais wa Jaji Makame kwa mabango huko majuu.

Tuendelee kupeana taarifa juu ya hili. Msikubali kukamatishwa hizo rushwa za dollar milioni 3 ili muache kuandamana. Utu wa Mtanzania kwanza na vijisenti baadaye.
 
Ndio walewael, ukiwauliza kuhusu maendeleo hawataki kuyataja.

Kafanyeni na maandamano kuonesha, mashule yaliyoongezeka, makliniki yaliyoongezeka, ma universirty yaliyoongezeka, mabarabara yaliyoongezeka, kilimo kilichoongezeka, demokrasia iliyoongezeka. Mbona hayo hamuyasemi?

Wanaotumia makalio kufikiria utawajua tu, hivi kwani ubora wa elimu ni majengo????????. swaumu imekaza wahi ukaandae futari mama.
 
SAFARI ZA 'MIJUSI' UGHAIBUNI KWENDA KUZIMA MAANDAMANO WASHINGTON DC
NI VIPI INAVYOFAIDISHA MLIPA KODI ANYELAZWA HOI
KWA KILA IDARA YA MAISHA NCHINI?????


Wabunge wetu hebu tuelezeni kwamba fedha hizi kibao zimepatikana wa zilizotumika kwenda kuzima maandamano Marekani wakati Kwimba hata zahanati uchwara hawana??

Ni nani ameruhusu ufujaji huu mkubwa wa kugharamia safari za 'mijusi' kutangulia miezi mitatu ughaibuni na kuponda miraha na midemu wakati taifa tuko kwenye giza????????

Waandamanaji wanapotafutwa kuhongwa zaidi ya dollar milioni 3 kama ilivyodaiwa hapo awali, je mlipakodi ananufaika vipi na biashara kichaa kama hiyo???? Kwa nini ikulu ihahe kiasi hicho kuzima maandamano Washington DC badala ya kuhaha kumaliza kero zinazowafikisha watu kwenye maamuzi kama hayo?????

Tusisahau kwamba hizi kampeni zilizoanza za kuwinda wanaharakati mmoja baada ya mwingine ni upotevu wa muda na raslmali hadimu nchini.

Sana sana mtu utafanikiwa KUWAUA WANAHARAKATI wawili watatu hivi n kuzika miili yao ardhini lakini kamwe hatofanikiwa mtu yeyote KUZIKA PIA MAWAZO YAO.

Tukumbuke mauaji ya wale wanaharakati machalii wa rusha na jinsi damu yao inavyoendelea kutesa serikali kote nchini!!!!!!!
 
Nani wakuandamana Washington DC, wadanganye Pro-CDM wenzako hivi unadhani utufahamu mnavyoishi huku Marekani!
Kuhusu Marekani, UK, unidanganyi kitu, 85% ya Watanzania wanaokaa Marekani ni Overstay halafu ni unlegal hawana makaratasi, wengine wamefiwa na baba zao mama za Tanzania wameshindwa kuja kuzika kama wakija hawawezi kurudi tena Marekani serikali ya Marekani haiwatambui wanaishi kama kwale tu huku Marekani halafu leo unatauambia eti wajitokeze kwenye maandamano thubutu!
Halafu tuambie Washington DC ni kubwa hayo maandamano yanaanzia wapi?
kama kuna overstay walishapewa makaratasi unajingine? na kwa uk sheria zake? hakuna overstay ya milele mkuu kuna miaka ikifika unatambuliwa kama raia hata kama uli overstay,
ili unalo maana maandamano yanayopangwa haya husu visa , sana una tishia watu wazima shalubu za paka tete tete tete tete
kikwete mwenyewe mawarizi anatoa abroad
 
BANGO moja liwe na maneno ' KIKWETE NI JANGA LA TAIFA KWA KUCHEKA NA WEZI NA KUCHAGUA/KUTEUA WASTAAFU NA SALITI KUENDESHA NCHI (MASHIRIKA YA UMMA),
ACTL, TRA, TBC, EWURA ,,,,,,,,,,
 
Safari za kikwete ni sawa na hospital kubwa ya rufaa (toka 2005 to 2011)
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom