Maandamano ya CHADEMA Jijini Mwanza

Maandamano ya CHADEMA Jijini Mwanza

Kuna Watu Hapa JF Wanaumia Kishenzi juu ya Kinachotokea leo Mwanza, Mwaka huu Mtavimba Mpaka Mpasuke Maadamu tunaungwa Mkono na Walalahoi hatuko Tayari kuwasikiliza nyie Mnaokosoa Mkiwa Nyuma ya Keyboard huku Mmevimbiwa na Kwa Kutumia Jasho la Maskini

Viva CDM Viva wana Mwanza
 
Mnapoeza muda wa watu kufanya kazi. Watu wanataka barabara, hospitali, shule bora n.k. Hawataki maandamano.
Acheni uzushi, kahamasisheni shughuli za maendeleo.

Kwa kweli sijawahi kumsikia hata Dr. Slaa akihimiza watu kufanyakazi ila wajiletee maendeleo binafsi na maandamano tuuuu ndiyo yatakaitoa TZ katika giza? I doubt! na hata sisi wa pembeni tunao m adimire Dr. Slaa tunaanza kuchoshwa na hii tabia ya kitoto mtu mzima na Phd yake ambaye anaweza kuwa rais wa nchi hii anakosa busara kiasi hicho! na yeye anaendekeza sifa za kijinga! yaani CDM sasa ni Chama Cha Demokrasia na Maandamano, Maendeleo kwa mtindo huu tusahau!!! tabia ya kuiga tembo kunya itatupeleka pabaya!! walibya ni wa pili kwa Oil production duniani, na nchi zoote za kiarabu huko kaskazini (Tunisia, Misri etc.) they can afford kuishi mawiki wakiandamana na kuuana maana baada ya maandamano mafuta bei juu wata recover sisi huku tuna nini? mafuta tunaagiza pesa ya kigeni ndiyo hivyo tena inatumika ki aina sijui tufanyeje.
Libya ndiye main supplier wa mafuta kwenda Ujerumani hata wakati walipowekewa vikwazo na Bush mafuta waliuza Ujerumani kama kawa. andamaneni wala hamtasikia jamaa yenu Obama akisema kitu itakua Somalia nyingine and nobody will give a shit.
 
Cha msingi sio kujua theme bali ni kujiuliza jamii itanufaika vipi na maandamano hayo na je, jitihada zinazotumika kuandaa maandamano zisingeweza kutumika kuleta manufaa zaidi? Hawa wote wanafiki tu!

Akili zako zipo matakoni? Kwani wananchi wangapi wananufaika na upupu wa kikwete kutapanya rasilimali kwa marafikize? Au unamaanisha nini kusema wananchi wanafaidikaje(labda wenye nchi ni wewe,familia yako na kikwete+familly,lowasa+familly,rosta+co..)..
 
ZeMakopolo Hujui kitu wewe HIVI UMEME ULIVYOKUWA UNAKATIKA HUKUONA?
AU WEWE FISADI ? MAANA MAFISADI HAWAKUJUA ADHA YA UMEME!
ZEMARCOPOLO UNAJUA MAANA YA KUDAI WEWE? WEWE FISADI MKUBWA!
HIVI UONI MISRI WATU WAMEANDAMANA MPAKA RAIS AKANGATUKA?
HIVI ZE MARCOPOLO UMETUMWA! UNAJUA NGUVU YA UMMA WEWE?
UNAKALIA TU UFISADI LAKINI HUJUI WATANZAIA WANAVYOPIGIKA KWA SASA!

WEWE ZEMARCOPOLO UNAFIKIRI SHULE ZINALETWA NA MAFISADI
AU WASHAKUHONGA WEWE?
 
Kweli kabisa amechoka anasinzia kabisa!

kikwete+msibani.jpg
Inaoneka kama alikuwa amezimia au alikesha disko alikuwa na usingizi....
 
Ulifikiri ni .....Madr...al sul?
nilishakwambia masanilo,sio madrasa al sul,usiharibu lugha zawatu,uliwahi kuniambia nikufundishe ujue vizur kutamka nakuandika hilo ulilokusudia,ila nahisi niayako nikukebehi iman zawengine ndio maana sikuweza kukufundisha kuepusha shari.
 
Hivi yule mtoto wa Ndesamburo mbona huwa ashiriki maandamano yoyote ya Chadema pamoja na kupewa Ubunge wa viti maalum? au anaamini pesa ya baba yake inamuwakilisha?
 
Jamani nina wasiwasi na hiyo picha. Picha hii siyo ya mwanza!!
Mji wa mwanza na vilima vyake vinafahamika vizuri sana. Naomba niwe wa kwanza kuikataa picha hiyo na klusema wazi kuwa imechakachuliwa!!!!
 
Mnapoeza muda wa watu kufanya kazi. Watu wanataka barabara, hospitali, shule bora n.k. Hawataki maandamano.
Acheni uzushi, kahamasisheni shughuli za maendeleo.

Tunatumia haki yetu kikatiba na maendeleo yatakuja pale ambapo ahadi za trillion 90 zitakapotimizwa na JK.... Kama inakuchoma mezea tu na taarifa za kiinterejensia naona leo hazijafnya kazi na kwa taarifa yako tutakua kanda ya ziwa kwa siku3
 
Jamani kuweni serious hawa wakina ZEmarcopolo Mafisadi wakubwa wametumwa humu jamvini!
 
nilishakwambia masanilo,sio madrasa al sul,usiharibu lugha zawatu,uliwahi kuniambia nikufundishe ujue vizur kutamka nakuandika hilo ulilokusudia,ila nahisi niayako nikukebehi iman zawengine ndio maana sikuweza kukufundisha kuepusha shari.

Niwekee kwenye PM best.....hata ile ya wafahidhina uligoma! Kila laheri usiache kuandamana siku yakiwa kwenye maeneo yako....Pipoz Pouwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Wakuu yale maandamano ya CHADEMA katika Kanda ya Ziwa ndio yameshaanza.Maandamano yameanzia Buzuruga kuelekea uwanja wa Furahisha.Watu ni wammejitokeza kwa wingi wa jinsia na rika zote.Kwabahati mbaya sijakaa kwenye position nzuri ya kurusha picha lakini nikipata fursa nzuri nitazirusha.

Aluta Continua.

From kwenye Maandamano Mwanza

Regia E Mtema
Waziri Kivuli-Kazi na Ajira

182093_1470892587284_1682707865_914231_1937388_n.jpg

Picture added by JF Admin

Na kitaeleweka!
 
Back
Top Bottom