mkwawa masawe
JF-Expert Member
- Nov 19, 2018
- 225
- 345
Mimi Nashauri kabla ya Wanachuo ku-sign boom,na pia kabla ya kuandamana,Wawakilishi wa Wanachuo waende wakutane na UONGOZI wa bodi ya mikopo.Mungu atawasimamia mtafikia muafaka kwa amani.Mimi Nashauri Hiyo bodi ya mkopo IWALIPE FEDHA YOTE WALIYOKUWA Wameahidiwa..Maana(1) pamoja na cku za masomo kupungua,BADO pesa yenyewe hata hivyo ilikuwa haitoshi(2)Ili mradi pesa yenyewe Ni ya mkopo,na budgeti ilishapitishwa na lishatengwa,Wapewe tuu YOTE Maana mwisho wa cku,si itarudishwa YOTE wakati wa kulipa mkopo? Kwa bodi hakuna inachopoteza kwa kulipa boom lote.Hakuna sababu ya msingi kwa bodi kuanzisha mkorogano wote hUU.Walipeni tuu boom la semister nzima.Wakati vyuo vilipofungwa,Wanachuo WALIYOKUWA wamepanga uraiani waliendelea kulipa Kodi ya pango,Vinginevyo wenye nyumba wangepangisha vyumba vyao kwa wapangaji wengine wa uraiani.