GODZILLA
JF-Expert Member
- Dec 26, 2014
- 5,902
- 10,503
Kunguru mwoga huishi miaka mingi. Kumbuka hilo.Usiwafundishe watoto wetu woga
Kunguru mwoga huishi miaka mingi. Kumbuka hilo.Usiwafundishe watoto wetu woga
Hadi njiuliza hivi Elimu zinafaida gani kama mtu anadai kulipwa hela ya siku ambazo hayumo chuoni.kuna mambo mawili ya kuzingatia
moja kigezo cha malipo ni idadi ya siku au mhula?(mkataba umesema fixed amount au kuna bases za kupata iyo amount per day?
pili kigezo cha ada ni idadi ya siku kufundishwa au material na gharama za kuendesha chuo kwa siku husika?
ukishapata majibu mnaweza endelea na hatua inayofuata.....ila tusisahau anko sio mjomba
Acha kuwafundisha watoto UOGA utawalipia madeni ya HESLB watakaponyanyaswa wakiwa hawana ajira?Hizo laki mbili zitawatokea puani!
Be humble. Ni ushauri tu lakini.
Unaweza kuwa upande wa haki na ukaumia vile vile!
La kuambiwa........
Rev square imepandwa bustani ya maua na kuzungushiwa senyenge....aaaakKwani rev square bado ipo? Hela watoto wa siku hizi mdebwedo sana, na msipokomaa imekula kwenu hiyo!
Funny.Hamjambo wanabodi
Moja kwa moja niende kwenye mada husika, kutakuwa na maadamano ya amani dhidi ya bodi ya mkopo nchini (HESLB), maandamano haya yataanza siku ya jumatatu tarehe 27/07/2020 na kuendelea mpaka pale HESLB itakapo rejea masharti ya mkataba na kutenda haki kwenye utoaji wa pesa ya kujikimu(boom).
.
Maandamano haya yatafanyika kwa kufuata hatua zifuatazo:-
.kutoingia darasani kuanzia jumatatu na kuendelea mpaka pale pesa itakapo kuja yote kutoka HESLB
..
Kwanini maandamano?
Kwasababu mkataba ulipo kati ya mnufaikaji wa pesa ya kujikimu ni sh 2, 040, 000/=kwa mwaka ambapo hulipwa sh 510, 000/= kwa kila phase. Mwaka wa masomo huwa una phase 4 za ulipaji. Kilichotokea baadhi ya vyuo wanaambiwa wakasaini boom la sh 306, 000 /=kwa UDSM na sh 206, 3000/= kwa UDOM, vipo vyuo hadi laki moja.
Ukirejea mkataba haujawahi kusema kwamba ikitokea siku zimepungua na pesa itapungua.
.
Kama ndio hivyo basi nasi mtupunguzie ADA maana muhula umekuwa mfupi na siku zimepungua sana.
.
Vijana wa kiume na kike naomba tuungane kwa pamoja kufanikisha wazo hili najua nalo litapita lakini tunaihitaji kuwakumbusha bodi ya mikopo kwamba hatujalala na tupo hapa kupigania haki zetu kwa pamoja tunaweza.
.
Vijana ndio taifa la kesho, amka pambana dai haki yako na tekeleza wajibu wako.
......kwa UDSM tukutane 'Revolution Square' jumatatu SAA 2 asubuhi....
..
..
#MAANDAMANO YA AMANI
View attachment 1515754
Haki ni haki tu! Acheni kuwalisha upuuzi vijana! Kama wewe ni zuzu hujui kudai haki yako kwa ujinga wako tuliaHizo laki mbili zitawatokea puani!
Be humble. Ni ushauri tu lakini.
Unaweza kuwa upande wa haki na ukaumia vile vile!
La kuambiwa........
Acha kutisha vijana! Kwani kuandamana ni kosa? Na hukumu inatolewa na polisi?Madogo mtavunjwa miguu....hawana na hela uchaguzi ndiyo huu.....mtu mzima akiguna basi ondoka kalale ukikomaa unalitaka balaa...yaani mwana kuli faindi.....
afu timbwili lenyewe mtakiweza nyie watoto mayai? Ule mziki ni balaa lazima mjue kuucheza
Siwatishi ila mkigawanyika tu mmekwisha...degree zenu mtazipatia home ...dutumiii....!! Mzenga, Kisaki na Kidogozero...
Bora kuishi miaka michache kama Nyerere ukakeshimika dunia nzima, kiliko kuishi miaka mingi kama Mwinyi ukawa unaongea ujinga na kuishia kudharaulika.Kunguru mwoga huishi miaka mingi. Kumbuka hilo.
Wana tafutiwa sababu ili vyuo vifungwe wasihe kumpigia Tundu Lissu kuraJamani! Jamani!
Huku mbali sana na mkumbuke tuna msiba. HESLEB waiteni viongozi wa wanafunzi mfikie muafaka acheni kushupaza shingo.
Na vipi wale wameopanga, ambao vyuo vyao havina hostel/hostel hazitoshelezi ,wenye nyumba watawapunguzia kodi kisa muda wakukaa chuoni umepunguzwa?.Hadi njiuliza hivi Elimu zinafaida gani kama mtu anadai kulipwa hela ya siku ambazo hayumo chuoni.
Mkataba umeandika mtu alipwa Per Day ila kwa vile kazoeshwa lipwa 510,000 kila Phase ndo anaikazania.
Hivi hawaezi kuhoji kwanini wanaosoma MD wana boom kubwa kuliko Wengine?(Kinachoangaliwa ni idadi za siku za masomo chuoni,sio semistar na ndo inayopelekea wanaosoma MD japo huita semistar kubwa na boom maana hukaa chuoni siku nyingi.)
Hawa wanafunzi wanaleta majaribu 😂Fikilia kabla ya kutenda! Mhurumie mzazi ambae amekutoa nursery mpaka hapo ulipo fikia wenzangu tafadhali nawaombeni msifate mawazo hayo wahamasishaji hao wana lao jambo nyuma ya pazia Tafadhali utaipoteza nafas adhimu ya masomo wenzako hao utawaona wanasonga upande mwingine Tafadhali sana ipuuze taarifa hii
Taifa linapitia kipnd kigumu sana cha MSIBA WA RAIS MSTAAFU BENJAMIN WILLIAM MKAPA
Watanzania wenzangu vijana tuwe wazalendo wa nchi yetu mioyo yenu iyone uchungu wa kujenga nchi yako
Soma nyakati za taifa lako unataka wakufanyie nini wewe kwani budget za wazaz wetu zina fanikiwa 100%? Tujitambue vijana wenzangu sio kila kitu kinataarifa ndugu zangu!! Aaah naumia sependezwi kabisa usikubali kutumiwa, SOMA NYAKATI LA TAIFA LAKO
TAFUTA NJIA NYINGINE YA KUPATA HAKI YAKO HII NI BATILI.
tukumbuke na kurejesha na riba na bodi hawana mkataba mpaka upate kaziTupo kwenye wakati ambao anayedai haki yake anaonekana mkosaji, tupo kwenye kipindi ambacho kila waziri anajitutumua kwa ubabe bila kuangalia namna ya kuwasaidia anaowaongoza.
Tupo kwenye kipindi ambacho hadi akina mama kama Mh. Ndalichako wanakosa uchungu wa watoto wa mama wenzao kwa kuwafukuza vyuo kisa wameomba haki zao ili tu ionekane kwenye kipindi chao hakuna mtu aliyeandama.
Be careful guys.
Unajitahidi sana kujenga taifa la WAOGA. HautafanikiwaSiwatishi ila mkigawanyika tu mmekwisha...degree zenu mtazipatia home ...dutumiii....!! Mzenga, Kisaki na Kidogozero...
mzee punch!mambo ya 'kunji' 🥰
kuna mambo mawili ya kuzingatia
moja kigezo cha malipo ni idadi ya siku au mhula?(mkataba umesema fixed amount au kuna bases za kupata iyo amount per day?
pili kigezo cha ada ni idadi ya siku kufundishwa au material na gharama za kuendesha chuo kwa siku husika?
ukishapata majibu mnaweza endelea na hatua inayofuata.....ila tusisahau anko sio mjomba