Maandamano ya amani kwa wanafunzi wote wa vyuo nchini

Mimi Nashauri kabla ya Wanachuo ku-sign boom,na pia kabla ya kuandamana,Wawakilishi wa Wanachuo waende wakutane na UONGOZI wa bodi ya mikopo.Mungu atawasimamia mtafikia muafaka kwa amani.Mimi Nashauri Hiyo bodi ya mkopo IWALIPE FEDHA YOTE WALIYOKUWA Wameahidiwa..Maana(1) pamoja na cku za masomo kupungua,BADO pesa yenyewe hata hivyo ilikuwa haitoshi(2)Ili mradi pesa yenyewe Ni ya mkopo,na budgeti ilishapitishwa na lishatengwa,Wapewe tuu YOTE Maana mwisho wa cku,si itarudishwa YOTE wakati wa kulipa mkopo? Kwa bodi hakuna inachopoteza kwa kulipa boom lote.Hakuna sababu ya msingi kwa bodi kuanzisha mkorogano wote hUU.Walipeni tuu boom la semister nzima.Wakati vyuo vilipofungwa,Wanachuo WALIYOKUWA wamepanga uraiani waliendelea kulipa Kodi ya pango,Vinginevyo wenye nyumba wangepangisha vyumba vyao kwa wapangaji wengine wa uraiani.
 
Ilakumbukeni mnadai mkopo ambao mtaurejesha kwa riba isiyoisha

Nashauri mwaka watatu msipunguze honour zenu
 
Huna adabu tunahangaika kukusanya hiyo fedha unayopewa, bado unasema haitoshi si ukae nyumbani, wapo wazazi wanalipia elimu ya juu %100 wasiandamane uandamane wewe, acha upuuzi. Si lazima ukopeshwe, usituudhi tuna majonzi yetu.
 
Dogo utakula jeuri yako badala ya kukaa darasani usome, wewe unahamasisha maandamano.

Mi naona badala ya kuilamu serikali ungelaumu corona iliyosababisha yote haya, semister imekuwa fupi sababu ya corona na hiyo hela mmepewa kulingana na siku mlizokaa chuoni.

Sasa we jitie kimbelembele kuhamasisha maandamano.
Serikali ya JPM haichezewi, waambie hawa vijana wanafikiri Tanzania iliota kama uyoga.
 
hawa vijana wanapambania maslai yao ila kuna watu wapumbavu kwenye hili jukwaa ambao wapo ktk system pendwa wanawatisha.
Kurithishana uoga kizazi Hadi ndio huku mkuu.... Ingekuwa ni kenya wasingezubutu huu upuuzi.... vyovyote vile ...ila serikali haijafanya jambo la kiungwana sana kwenye hili. Uongozi nchi za kiafrika ni changamoto sana katika maamuzi yanayohusu ustawi wa jamii....mistake ndogo ndogo hizi huwa zinajikusanya kwenye jamii na kutengeneza picha mbaya dhidi ya serikali.
 
Hamjambo wanabodi,

Moja kwa moja niende kwenye mada husika, kutakuwa na maadamano ya amani dhidi ya bodi ya mkopo nchini (HESLB), maandamano haya yataanza siku ya jumatatu tarehe 27/07/2020 na kuendelea mpaka pale HESLB itakapo rejea masharti ya mkataba na kutenda haki kwenye utoaji wa pesa ya kujikimu(boom).

Maandamano haya yatafanyika kwa kufuata hatua zifuatazo:-
kutoingia darasani kuanzia jumatatu na kuendelea mpaka pale pesa itakapo kuja yote kutoka HESLB

Kwanini maandamano?
Kwasababu mkataba ulipo kati ya mnufaikaji wa pesa ya kujikimu ni sh 2, 040, 000/=kwa mwaka ambapo hulipwa sh 510, 000/= kwa kila phase. Mwaka wa masomo huwa una phase 4 za ulipaji. Kilichotokea baadhi ya vyuo wanaambiwa wakasaini boom la sh 306, 000 /=kwa UDSM na sh 206, 3000/= kwa UDOM, vipo vyuo hadi laki moja.
Ukirejea mkataba haujawahi kusema kwamba ikitokea siku zimepungua na pesa itapungua.

Kama ndio hivyo basi nasi mtupunguzie ADA maana muhula umekuwa mfupi na siku zimepungua sana.

Vijana wa kiume na kike naomba tuungane kwa pamoja kufanikisha wazo hili najua nalo litapita lakini tunaihitaji kuwakumbusha bodi ya mikopo kwamba hatujalala na tupo hapa kupigania haki zetu kwa pamoja tunaweza.

Vijana ndio taifa la kesho, amka pambana dai haki yako na tekeleza wajibu wako.
......kwa UDSM tukutane 'Revolution Square' jumatatu SAA 2 asubuhi....

#MAANDAMANO YA AMANI
View attachment 1515754
IMG-20200724-WA0260.jpg
 
Tupo kwenye wakati ambao anayedai haki yake anaonekana mkosaji, tupo kwenye kipindi ambacho kila waziri anajitutumua kwa ubabe bila kuangalia namna ya kuwasaidia anaowaongoza.
Tupo kwenye kipindi ambacho hadi akina mama kama Mh. Ndalichako wanakosa uchungu wa watoto wa mama wenzao kwa kuwafukuza vyuo kisa wameomba haki zao ili tu ionekane kwenye kipindi chao hakuna mtu aliyeandama.
Mkuu mm sijaona shida...siku za masomo zikipungua na pesa za matumizi hupungua?hata ndalichako angekua nan still kigezo cha pesa ya bum ni idad ya siku.eje kwako familia ikiwa kubwa na ikiwa ndogo haiathiri bajeti ya matumizi?
Haki iliyovunjwa ni ipi kwamba walisaini fixed amount na hawajapewa?Hebu nieleweshe maana sijaujua mkuu
 
Hamjambo wanabodi,

Moja kwa moja niende kwenye mada husika, kutakuwa na maadamano ya amani dhidi ya bodi ya mkopo nchini (HESLB), maandamano haya yataanza siku ya jumatatu tarehe 27/07/2020 na kuendelea mpaka pale HESLB itakapo rejea masharti ya mkataba na kutenda haki kwenye utoaji wa pesa ya kujikimu(boom).

Maandamano haya yatafanyika kwa kufuata hatua zifuatazo:-
kutoingia darasani kuanzia jumatatu na kuendelea mpaka pale pesa itakapo kuja yote kutoka HESLB

Kwanini maandamano?
Kwasababu mkataba ulipo kati ya mnufaikaji wa pesa ya kujikimu ni sh 2, 040, 000/=kwa mwaka ambapo hulipwa sh 510, 000/= kwa kila phase. Mwaka wa masomo huwa una phase 4 za ulipaji. Kilichotokea baadhi ya vyuo wanaambiwa wakasaini boom la sh 306, 000 /=kwa UDSM na sh 206, 3000/= kwa UDOM, vipo vyuo hadi laki moja.
Ukirejea mkataba haujawahi kusema kwamba ikitokea siku zimepungua na pesa itapungua.

Kama ndio hivyo basi nasi mtupunguzie ADA maana muhula umekuwa mfupi na siku zimepungua sana.

Vijana wa kiume na kike naomba tuungane kwa pamoja kufanikisha wazo hili najua nalo litapita lakini tunaihitaji kuwakumbusha bodi ya mikopo kwamba hatujalala na tupo hapa kupigania haki zetu kwa pamoja tunaweza.

Vijana ndio taifa la kesho, amka pambana dai haki yako na tekeleza wajibu wako.
......kwa UDSM tukutane 'Revolution Square' jumatatu SAA 2 asubuhi....

#MAANDAMANO YA AMANI
View attachment 1515754
Wale wakuandama HESLB siku hizi wamehamia Tazara and not sinza. Sasa sijui wanafunzi wa udsm mtatembea Hadi Tazara au mtapanda magari 😁.
Haya wa kuandamana kazi kwenu.
 
Hamjambo wanabodi,

Moja kwa moja niende kwenye mada husika, kutakuwa na maadamano ya amani dhidi ya bodi ya mkopo nchini (HESLB), maandamano haya yataanza siku ya jumatatu tarehe 27/07/2020 na kuendelea mpaka pale HESLB itakapo rejea masharti ya mkataba na kutenda haki kwenye utoaji wa pesa ya kujikimu(boom).

Maandamano haya yatafanyika kwa kufuata hatua zifuatazo:-
kutoingia darasani kuanzia jumatatu na kuendelea mpaka pale pesa itakapo kuja yote kutoka HESLB

Kwanini maandamano?
Kwasababu mkataba ulipo kati ya mnufaikaji wa pesa ya kujikimu ni sh 2, 040, 000/=kwa mwaka ambapo hulipwa sh 510, 000/= kwa kila phase. Mwaka wa masomo huwa una phase 4 za ulipaji. Kilichotokea baadhi ya vyuo wanaambiwa wakasaini boom la sh 306, 000 /=kwa UDSM na sh 206, 3000/= kwa UDOM, vipo vyuo hadi laki moja.
Ukirejea mkataba haujawahi kusema kwamba ikitokea siku zimepungua na pesa itapungua.

Kama ndio hivyo basi nasi mtupunguzie ADA maana muhula umekuwa mfupi na siku zimepungua sana.

Vijana wa kiume na kike naomba tuungane kwa pamoja kufanikisha wazo hili najua nalo litapita lakini tunaihitaji kuwakumbusha bodi ya mikopo kwamba hatujalala na tupo hapa kupigania haki zetu kwa pamoja tunaweza.

Vijana ndio taifa la kesho, amka pambana dai haki yako na tekeleza wajibu wako.
......kwa UDSM tukutane 'Revolution Square' jumatatu SAA 2 asubuhi....

#MAANDAMANO YA AMANI
View attachment 1515754
Maandamano pekee mtakayofanikiwa ni kuhakikisha hii seriakli dhalimu hairudi madarakani kwa kupiga kura na kampeni madhubuti ndani ya vyuo, majumbani kwenu na mitaani. Kuhakikisha Mpensa maendeleo ya watu Tundu Lissu anatuongoza Licha ya hapo mtapigwa mpaka mchakae. Maana hawaamini ktk maandamano ya amani wala haki ya kujieleza dukuduku zenu.
 
Endeleeni Kukubali KUTUMIKA.....

HAMJAANZA kusoma nyinyi......

Watu Tuna Msiba Halafu Wasomi Mnakosa SUBIRA kwa kuyamaliza Mambo yenu kwa njia za kidiplomasia........

HESLB ya siku hizi iko POA tofauti na ile ya MKURUGENZI wa zamani mzee NYATEGA......

Kina Dr. Cosmas Mwaisoba walijitahidi KUIBADILISHA bodi ya mikopo....

Iko Sehemu mnafeli.......

Ongeeni na HESLB na muache mpang o KOKO wa MAANDAMANO TAJWA.

AKILI KUMKICHWA
Kwahiyo kukiwa na msiba ndio watu wasifanye mambo yao?? Huo msiba wataomboleza ndugu na mjamaa. Sio kila mtu.
 
Hizo laki mbili zitawatokea puani!

Be humble. Ni ushauri tu lakini.

Unaweza kuwa upande wa haki na ukaumia vile vile!

La kuambiwa........
Akili za woga usipandikize kwa vijana.

Kwa nini uwe upande wa haki afu uonewe. Nini hukumu ya hao waonevu unayoweza ipendekeza.. ama ndiyo kumuachia Mungu.?
 
Na vipi wale wameopanga, ambao vyuo vyao havina hostel/hostel hazitoshelezi ,wenye nyumba watawapunguzia kodi kisa muda wakukaa chuoni umepunguzwa?.

Vipi ada nazo zitapungua kwa sababu muda wa masomo umepunguzwa?.

MD wanapata boom kubwa kwa sababu ya siku zakukaa chuoni ndio, kwa sababu pia hufahamika tangu mtu anapopewa mkopo kiasi cha mkopo wake kwa semister.

Kama wanaounguza kiwango cha pesa wangeshauri pia vyuo pia vipunguze viwango vya ada, maana kuna wengine wanapata pesa ya kujikum hio hio hutumia kulipia ada.
Rejea mkataba unasemaje...mengine ni huruma ya mtoaji..
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom