bmk
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 571
- 857
Nife na njaa kisa kuna msiba?!! we vipi???Endeleeni Kukubali KUTUMIKA.....
HAMJAANZA kusoma nyinyi......
Watu Tuna Msiba Halafu Wasomi Mnakosa SUBIRA kwa kuyamaliza Mambo yenu kwa njia za kidiplomasia........
HESLB ya siku hizi iko POA tofauti na ile ya MKURUGENZI wa zamani mzee NYATEGA......
Kina Dr. Cosmas Mwaisoba walijitahidi KUIBADILISHA bodi ya mikopo....
Iko Sehemu mnafeli.......
Ongeeni na HESLB na muache mpang o KOKO wa MAANDAMANO TAJWA.
AKILI KUMKICHWA