CHADEMA waanze kumobilize maandamano ya nchi nzima

CHADEMA waanze kumobilize maandamano ya nchi nzima

Mdaiwa

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2025
Posts
1,031
Reaction score
2,600
Hawa ccm wanatakiwa kupewa somo for once and for all. Watanzania wengi tupo tayari ku-sacrifice maisha yetu kwa ajili ya vizazi vyetu vijavyo. Huu upuuzi unatakiwa ukomeshwe for once and for all.

Sasa wanachotakiwa Chadema waanze kumobilize waandamanaji taratibu kwenye mikutano yao ya hadhara. Wala wasiwe na papara ya kuitisha maandamano haraka. Wanachotakiwa kwanza wainstill passion kwenye mioyo ya watanzania. Wakishajihakikishia somo limefika kwa watanzania wote basi hapo ndio waitishe maandamano ya nchi nzima kupinga huu udhalimu, mauaji, utekaji na udhalilishaji unaofanywa na CCM kwa kutumia vyombo vya dola.

Uzuri hii dhuluma inayofanywa na ccm kila mtanzania anaiona, kwa hiyo haitakuwa kazi kubwa kuwaelewesha watanzania kupigania haki yao. So hapa kinachotakiwa kufanyika ni kuamsha tu hiyo ari kwenye mioyo ya watu ili nchi ilipuke zaidi ya October 29.

Rai yangu kwa CHADEMA wajiweeke timeframe ya hata miezi 3 kutoa elimu kwa waandamanaji na kuamsha ari ya kupambania haki yao.
Lugha ya kuzungumza na CCM ni lugha ngumu tu. Hakuna maridhiano na hawa mashetani.
 
Hawa ccm wanatakiwa kupewa somo for once and for all. Watanzania wengi tupo tayari ku-sacrifice maisha yetu kwa ajili ya vizazi vyetu vijavyo. Huu upuuzi unatakiwa ukomeshwe for once and for all.
Sasa wanachotakiwa chadema waanze kumobilize waandamanaji taratibu kwenye mikutano yao ya hadhara. Wala wasiwe na papara ya kuitisha maandamano haraka. Wanachotakiwa kwanza wainstill passion kwenye mioyo ya watanzania. Wakishajihakikishia somo limefika kwa watanzania wote basi hapo ndio waitishe maandamano ya nchi nzima kupinga huu udhalimu, mauaji, utekaji na udhalilishaji unaofanywa na ccm kwa kutumia vyombo vya dola. Uzuri hii dhuluma inayofanywa na ccm kila mtanzania anaiona, kwa hiyo haitakuwa kazi kubwa kuwaelewesha watanzania kupigania haki yao. So hapa kinachotakiwa kufanyika ni kuamsha tu hiyo ari kwenye mioyo ya watu ili nchi ilipuke zaidi ya October 29.

Rai yangu kwa CHADEMA wajiweeke timeframe ya hata miezi 3 kutoa elimu kwa waandamanaji na kuamsha ari ya kupambania haki yao.
Lugha ya kuzungumza na CCM ni lugha ngumu tu. Hakuna maridhiano na hawa mashetani.il

Hawa ccm wanatakiwa kupewa somo for once and for all. Watanzania wengi tupo tayari ku-sacrifice maisha yetu kwa ajili ya vizazi vyetu vijavyo. Huu upuuzi unatakiwa ukomeshwe for once and for all.
Sasa wanachotakiwa chadema waanze kumobilize waandamanaji taratibu kwenye mikutano yao ya hadhara. Wala wasiwe na papara ya kuitisha maandamano haraka. Wanachotakiwa kwanza wainstill passion kwenye mioyo ya watanzania. Wakishajihakikishia somo limefika kwa watanzania wote basi hapo ndio waitishe maandamano ya nchi nzima kupinga huu udhalimu, mauaji, utekaji na udhalilishaji unaofanywa na ccm kwa kutumia vyombo vya dola. Uzuri hii dhuluma inayofanywa na ccm kila mtanzania anaiona, kwa hiyo haitakuwa kazi kubwa kuwaelewesha watanzania kupigania haki yao. So hapa kinachotakiwa kufanyika ni kuamsha tu hiyo ari kwenye mioyo ya watu ili nchi ilipuke zaidi ya October 29.

Rai yangu kwa CHADEMA wajiweeke timeframe ya hata miezi 3 kutoa elimu kwa waandamanaji na kuamsha ari ya kupambania haki yao.
Lugha ya kuzungumza na CCM ni lugha ngumu tu. Hakuna maridhiano na hawa mashetani.
Ile ya juzi ulijua wapi huhatoka
 
Hawa ccm wanatakiwa kupewa somo for once and for all. Watanzania wengi tupo tayari ku-sacrifice maisha yetu kwa ajili ya vizazi vyetu vijavyo. Huu upuuzi unatakiwa ukomeshwe for once and for all.
Sasa wanachotakiwa chadema waanze kumobilize waandamanaji taratibu kwenye mikutano yao ya hadhara. Wala wasiwe na papara ya kuitisha maandamano haraka. Wanachotakiwa kwanza wainstill passion kwenye mioyo ya watanzania. Wakishajihakikishia somo limefika kwa watanzania wote basi hapo ndio waitishe maandamano ya nchi nzima kupinga huu udhalimu, mauaji, utekaji na udhalilishaji unaofanywa na ccm kwa kutumia vyombo vya dola. Uzuri hii dhuluma inayofanywa na ccm kila mtanzania anaiona, kwa hiyo haitakuwa kazi kubwa kuwaelewesha watanzania kupigania haki yao. So hapa kinachotakiwa kufanyika ni kuamsha tu hiyo ari kwenye mioyo ya watu ili nchi ilipuke zaidi ya October 29.

Rai yangu kwa CHADEMA wajiweeke timeframe ya hata miezi 3 kutoa elimu kwa waandamanaji na kuamsha ari ya kupambania haki yao.
Lugha ya kuzungumza na CCM ni lugha ngumu tu. Hakuna maridhiano na hawa mashetani.
labda maandamano haramu ya mapanzi gentleman :pedroP:
 
Wakimobilize watawakamata viongozi wote na kuwabambikia makosa feki ya uhaini na ugaidi. Kama vipi Gen Z wawachemshe tena kupitia yale maandamano yao ya kwenye mitandao.
 
Wakimobilize watawakamata viongozi wote na kuwabambikia makosa feki ya uhaini na ugaidi. Kama vipi Gen Z wawachemshe tena kupitia yale maandamano yao ya kwenye mitandao.
Bora ijulikane moja. Kama watawafunga viongozi wote ndio itakuwa hatari zaidi kwa ccm.
 
Hawa ccm wanatakiwa kupewa somo for once and for all. Watanzania wengi tupo tayari ku-sacrifice maisha yetu kwa ajili ya vizazi vyetu vijavyo. Huu upuuzi unatakiwa ukomeshwe for once and for all.

Sasa wanachotakiwa Chadema waanze kumobilize waandamanaji taratibu kwenye mikutano yao ya hadhara. Wala wasiwe na papara ya kuitisha maandamano haraka. Wanachotakiwa kwanza wainstill passion kwenye mioyo ya watanzania. Wakishajihakikishia somo limefika kwa watanzania wote basi hapo ndio waitishe maandamano ya nchi nzima kupinga huu udhalimu, mauaji, utekaji na udhalilishaji unaofanywa na CCM kwa kutumia vyombo vya dola.

Uzuri hii dhuluma inayofanywa na ccm kila mtanzania anaiona, kwa hiyo haitakuwa kazi kubwa kuwaelewesha watanzania kupigania haki yao. So hapa kinachotakiwa kufanyika ni kuamsha tu hiyo ari kwenye mioyo ya watu ili nchi ilipuke zaidi ya October 29.

Rai yangu kwa CHADEMA wajiweeke timeframe ya hata miezi 3 kutoa elimu kwa waandamanaji na kuamsha ari ya kupambania haki yao.
Lugha ya kuzungumza na CCM ni lugha ngumu tu. Hakuna maridhiano na hawa mashetani.
We ni poyoyo kweli, hiyo nchi siyo Tanzania!
 
Maandamano ni Tarh 29 Oktoba, siku ya Ukombozi wa Tanganyika; Ikumbukwe CCM kwa miaka takribani 10 sasa wamefuta sherehe za Uhuru wa Tanganyika tarh 9 December; Kwa sasa tutaadhimisha tarh 29 Oct
 
Back
Top Bottom