Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

Halafu kwa taarifa yenu huwa hatufanyi maandamano,haya yalikuwa mapokezi SIO MAANDAMANO, MAANDAMANO NI UGONJWA WA VYAMA VYA WANAHARAKATI. ULIYEPO MADARAKANI UNAPOANDAMANA UNAMWANDAMANIA NANI?!!! UKIONA TWATEMBEA UJIE NI MATEMBEZI YA MSHIKAMANO. sitachoka kutoa darasa, mtaelewa tu taratibu

Njaa ni mbaya sana, hivi nape kuna tofauti gani kati ya mapokezi na maandamano hapo kwenye picha? Unasema ccm ilikuwepo na itaendelea kuwepo, una uhakika na maneno yako? Hebu hurumieni watanzania wengine wanaoumia na umaskini na njaa acheni tamaa
 
Njaa ni mbaya sana, hivi nape kuna tofauti gani kati ya mapokezi na maandamano hapo kwenye picha? Unasema ccm ilikuwepo na itaendelea kuwepo, una uhakika na maneno yako? Hebu hurumieni watanzania wengine wanaoumia na umaskini na njaa acheni tamaa

Mapokezi ni msamiati mpya wa CCM ukimaanisha maandamano. Unakumbuka kampeni za Kikwete kuanzia awamu ya kwanza kabla ya ratiba rasmi kuanza alianza kampeni kuzunguka nchi nzima mpaka waliposhtukiwa na tume ya ushaguzi kutoa angalisho, wakabadili maana ya kampeni na kutohoa neno la msamiati kuwa kumtambulisha mgombea.
 
Anayejiamini aingie hapa kwa jina lake tuzungumze hoja.Wengine kwasababu ya kuficha ids zenu ndo maana mnaongea hapa. wanaume wazima mnajificha!!! Hamuoni aibu?!!! Mnadhani kwa kejeli na maneno yenu ntakata tamaa!!!! Mnapoteza muda!
 
Halafu kwa taarifa yenu huwa hatufanyi maandamano,haya yalikuwa mapokezi SIO MAANDAMANO, MAANDAMANO NI UGONJWA WA VYAMA VYA WANAHARAKATI. ULIYEPO MADARAKANI UNAPOANDAMANA UNAMWANDAMANIA NANI?!!! UKIONA TWATEMBEA UJIE NI MATEMBEZI YA MSHIKAMANO. sitachoka kutoa darasa, mtaelewa tu taratibu

Hahahaaaa!!! Nape una roho ngumu kama Saddam mzee. Endelea na moyo huo mpaka ubaki mwenyewe ndo uje ukaungane na wakombozi wa Tanzania tunayoitaka.
 
Hao wenye pikipiki na magari walipewa shilingi ngapi siku hiyo? Hadi inatia huruma!!!
 
Kwa kweli mdogo wangu NAPE nakupongeza kwa ujasiri wako wa kufa na tai shingoni. Najua ukweli uliopo moyoni mwako unatambua kabisa kwamba sasa dalili zote za kifo cha CCM zinaonekana wazi. Hiyo idadi ya watu wanaoonekana kenye hiyo misafara na mikutano yako siyo ya CCM ninayoifahamu. Watu wameichoka kupindukia. Bado nina mashaka hata hao wenye pikipiki wamekodiwa tu lakini mioyo yao haiko pamoja na wewe NAPE. Nasema hivi kwa sababu nakumbuka sana hapa kwetu MAFINGA IRINGA mwaka juzi alipokuwa akipita JK wenye magari madogo (tax) walipewa mafuta lita 10 kila mmoja na wenye pikipiki (bodaboda) lita 5 kutoka kwa mmiliki mmoja wa kituo cha mafuta kwa masharti ya kwenda kumpokea DR ili ionekane watu wamekuja kwa wingi sana. Na watu wengi sana walijitokeza kwa kuwa msafara huo ulikuwa wa takribani km 5 tu, hivyo walijua watabaki na mafuta mengi kwenye magari/pikipiki zao. POLE NAPE
 
Halafu kwa taarifa yenu huwa hatufanyi maandamano,haya yalikuwa mapokezi SIO MAANDAMANO, MAANDAMANO NI UGONJWA WA VYAMA VYA WANAHARAKATI. ULIYEPO MADARAKANI UNAPOANDAMANA UNAMWANDAMANIA NANI?!!! UKIONA TWATEMBEA UJIE NI MATEMBEZI YA MSHIKAMANO. sitachoka kutoa darasa, mtaelewa tu taratibu
mbona unashauti??

audience ndogo sana halafu mtu anacheka-cheka

BTW, tutakuja kuwahoji sana mamlaka ya wewe kwenda kukagua construction site, tena bila hata required gears for the site, achilia mbali contracts zinasemaje

JIANDAENI SANA DOGO, SANA TU............... THE WIND OF CHANGE IS NOT STOPPING NOW (SHOUT!!!)
 
Anayejiamini aingie hapa kwa jina lake tuzungumze hoja.Wengine kwasababu ya kuficha ids zenu ndo maana mnaongea hapa. wanaume wazima mnajificha!!! Hamuoni aibu?!!! Mnadhani kwa kejeli na maneno yenu ntakata tamaa!!!! Mnapoteza muda!

Mkuu id siyo sababu, we endelea kujikita kwenye hoja. Huu ndio uhuru wa mtu kunena, wengine uko nao na wapo under cover.
 
Ama kweli Nape na ccm ni kama kupe:
Ng'ombe anachinjwa kupe hana habari!!!
Ng'ombe anachunwa kupe hana habari!!!!
Ngozi inawambwa kupe hana habari!!!!
Ngozi ikianza kukauka kupe ndo anastuka!!!!"

Alaa! Huyu ngo'mbe kumbe keshachinjwa!!!
 
Hahahaa! KUJIDANGANYA WENYEWE NA KUJARIBU KUWADANGANYA WAFADHILI WENU NI SIFA HALISI YA VYAMA VYA WANA HARAKATI.... NA HASA BAADA YA KUONA KUWA UONGO WA MWANZO UNAKOSA MASHIKO. OOOH CCM IMEKUFA!!!NIMEINGIA SONGEA WENYEWE MMEFYATA MKIA KWA MSHANGAO JINSI WATU WALIVYOJITOKEZA MKUTANONI, HALAFU HAKUNA MATUSI SERA TU.
MKAWA MNADANGANYA WATU MNAYO NJOMBE YOTE, MKUTANO WA JANA NJOMBE UMEWAUMBUWA SANA SANA.
MMEBAKI NA DUA LA KUKU, POLENI SANA.
NARUDIA SIWASHANGAI KWANI NDIO TABIA YA VYAMA VYA WANAHARAKATI.



UOTE=Candid Scope;4001152]
3.JPG


03.jpg


Hiyo ndiyo hali halisi ya mikutano ya CCM siku hizi. Inavyoonekana ni viongozi na magari yao na wachache ambao idadi yao inalingana na bendera walizo nazo.
[/QUOTE]
Nnauye Jr a.k.a nape hebu jaribu kuongea kama katibu muenezi.
The way you sound ni kama wale kina mama wanaoimba mipasho.
Wakati wewe unapita kugawa pesa kwa wapiga kura kwa nia ya kukwamisha mageuzi, chadema wanapita kukusanya pesa za michango ya kusaidia mageuzi, hebu ona iyo tofauti kati ya kichwa maji na werevu.
Hebu re-think namna ya kukabiliana na werevu bwana nape.
 
picha na watoto angepiga Mbowe au Dr.wenu feki mngesema cdm mpaka kwa watoto,lakini kapiga Nape basi ooooh!!!!! Ukitaka kuona uendelevu wa zizi, angalia ndama wake!! CCM ipo leo kesho na hata milele!!

Dr. Wa Ukweli ni Slaa au JK?
 
Anayejiamini aingie hapa kwa jina lake tuzungumze hoja.Wengine kwasababu ya kuficha ids zenu ndo maana mnaongea hapa. wanaume wazima mnajificha!!! Hamuoni aibu?!!! Mnadhani kwa kejeli na maneno yenu ntakata tamaa!!!! Mnapoteza muda!

Wewe acha ukichaa, tunaongelea hoja sio id ya mtu, jibu hoja za watu acha kulalama kama ze bahalia. Hivi ninyi ccm nani kawaloga? Yani karibia wote mnaonekana machizi. Wengine wanadiliki kusema wanapinga ufisadi huku wakiwa kwenye chama fisadi. Mnaona wenzetu Kenya walivyopinga ufisadi kwa vitendo? Vijana wenzetu kama ninyi mnatuangusha kwa akili zenu lojolojo.
 
Aaah afadhali we umesema ukweli! M4C ni kwa ajili ya kukusanya chenji ya walalahoi. Inasikitisha kuwa hamuwaonei huruma watu wanahangaika kujitafutia kipato nyie mwaja kukusanya vijisenti vyao! Wizi mkubwa.


UOTE=Daudi mchambuzi;4001293][/QUOTE]
Nnauye Jr a.k.a nape hebu jaribu kuongea kama katibu muenezi.
The way you sound ni kama wale kina mama wanaoimba mipasho.
Wakati wewe unapita kugawa pesa kwa wapiga kura kwa nia ya kukwamisha mageuzi, chadema wanapita kukusanya pesa za michango ya kusaidia mageuzi, hebu ona iyo tofauti kati ya kichwa maji na werevu.
Hebu re-think namna ya kukabiliana na werevu bwana nape.[/QUOTE]
 
Anayejiamini aingie hapa kwa jina lake tuzungumze hoja.Wengine kwasababu ya kuficha ids zenu ndo maana mnaongea hapa. wanaume wazima mnajificha!!! Hamuoni aibu?!!! Mnadhani kwa kejeli na maneno yenu ntakata tamaa!!!! Mnapoteza muda!

ndio maana mimi huwa ninakuita kiazi siku zote,jibu hoja usikurupukie defence ambayo haina msingi,hili ni jukwaa la hoja jielekeze kwenye hoja, bwana mdogo vipi? are issues discussed here not ID'S................get matured!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Anayejiamini aingie hapa kwa jina lake tuzungumze hoja.Wengine kwasababu ya kuficha ids zenu ndo maana mnaongea hapa. wanaume wazima mnajificha!!! Hamuoni aibu?!!! Mnadhani kwa kejeli na maneno yenu ntakata tamaa!!!! Mnapoteza muda!

Better them who hide IDs and write sense than you who reveals it and paste stupid non-senses.

I admit, Nape hashauriki, hafundishiki. He doesn't know the tone of writting for a person of his position. He does it as a mediocre FB adolescent.

Can the JF mods create a Childish forum to be called and used by Napes?
 
mbali na idadi ya watu waliopo hapo jambo la msingi ni kuangalia jinsi hawa waandamanaji wake wanavyo patikana Ngoja tuwatafute watu wa Njobe tutajua tu
 
Anayejiamini aingie hapa kwa jina lake tuzungumze hoja.Wengine kwasababu ya kuficha ids zenu ndo maana mnaongea hapa. wanaume wazima mnajificha!!! Hamuoni aibu?!!! Mnadhani kwa kejeli na maneno yenu ntakata tamaa!!!! Mnapoteza muda!
Wewe Nape tamaa ulishakata siku nyingi baada ya kutelekezwa na sera yako ya kuvua magamba, lililobaki ni kujipa moyo tu.
 
picha na watoto angepiga Mbowe au Dr.wenu feki mngesema cdm mpaka kwa watoto,lakini kapiga Nape basi ooooh!!!!! Ukitaka kuona uendelevu wa zizi, angalia ndama wake!! CCM ipo leo kesho na hata milele!!

with such statements .... i have proved what i was perceiving ..... i have the answer to the like of your IQ .... now i know the colour of your brain .... i now understand that this is empty style ..... maturity level is at plinth ..... is this a leader ?

what else should i say

Tanzania inaendelea kwisha kwa aina hii ya viongozi
 
Pole sana Nape,ninyi ni chama tawala,hamtakiwi kujitambulisha kwa wananchi kama Cdm,ninyi ni chama tawala,tekelezeni ahadi zenu mlizoahidi.
 
Back
Top Bottom