Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

Code:
[quote="Nnauye Jr, post: 4001385"]Aaah afadhali we umesema ukweli! M4C ni kwa ajili ya kukusanya chenji ya walalahoi. Inasikitisha kuwa hamuwaonei huruma watu wanahangaika kujitafutia kipato nyie mwaja kukusanya vijisenti vyao! Wizi mkubwa.

inasikitisha sana kama haya maneno yanakutoka mdomoni, yaani kati ya chadema na nyinyiemu ni nani ambaye hawaonei huruma wananchi?
ni yule anamwongezea mzigo kiasi cha wazazi kushindwa kuwasomesha vijana wao vyuo vikuu?
ni yule anayeiba mabilioni ya wananchi?
ni yule anawasaidia kuwaonyesha wezi wao wanaowazulumu na kuwaibia wao na familia zao?
 
hapa mmemkimbiza nape harudi, badala yake watakuja wale vijana wake sasa na mmoja tayari ameanza kumsemea nadhani mmeshamuona tayari.
 
picha na watoto angepiga Mbowe au Dr.wenu feki mngesema cdm mpaka kwa watoto,lakini kapiga Nape basi ooooh!!!!! Ukitaka kuona uendelevu wa zizi, angalia ndama wake!! CCM ipo leo kesho na hata milele!![

[/CODE]

mmh sitaki kuamini kuwa huyu ndo katibu mwenezi wa chama, kwa nn unaendelea kuidhalilisha serikali yako? Unataka kusema Tume ya vyuo vikuu nayo imeoza? wako wapi sasa kumchukulia hatua dr huyo unayemuita feki? too low bro
 
The thinking(sinking) tank of ccm nape nnauye......I love this chama
 
Aaah afadhali we umesema ukweli! M4C ni kwa ajili ya kukusanya chenji ya walalahoi. Inasikitisha kuwa hamuwaonei huruma watu wanahangaika kujitafutia kipato nyie mwaja kukusanya vijisenti vyao! Wizi mkubwa.


UOTE=Daudi mchambuzi;4001293]
Nnauye Jr a.k.a nape hebu jaribu kuongea kama katibu muenezi.
The way you sound ni kama wale kina mama wanaoimba mipasho.
Wakati wewe unapita kugawa pesa kwa wapiga kura kwa nia ya kukwamisha mageuzi, chadema wanapita kukusanya pesa za michango ya kusaidia mageuzi, hebu ona iyo tofauti kati ya kichwa maji na werevu.
Hebu re-think namna ya kukabiliana na werevu bwana nape.[/QUOTE][/QUOTE]

Nape pole sana kwa kuwa na mtazamo finyu na duni, wewe unabwabwaja kwa sababu ya kuganga njaa ndani ya ccm lakini huna uchungu wowote dhidi ya nchi hii,eti hoja ya ufisadi iliibuliwa na ccm toka lini? We unaweza kata tawi ulilokalia? Acha hizo usidhani sisi ni watoto.
 
Tatizo la nape anawaza labda wanao mjibu ni wa watumwa wa cdm hapana nape watu wamechoka nape unajisimbuwa bure pumzika muda wa Ccm haopo tena
 
Nilimwona hapa njombe na vx v8 lake anakuja kutenda dhambi ya uongo mchana kweupe. Nape funguka akili timamu zikurudia ili uachane na wehu wako
 
4.+Nape+akishiriki+kucharaza+ngoma+kata+ya+Mlangali,+Njombe.jpg


Kuburudika kwa kushiriki ngoma za wenyeji ni njia bora mojawapo katika kutuliza mawazo kama Nape alivyofanya akiwa safarini huko Njombe
 
  • Thanks
Reactions: ral
Nape baada ya Lowasa kufunguka kwenye kikao chenu cha NEC kuwa mwenyekiti ndiye anayejua kampuni ya richmond ,sasa umekuwa kama umechanganyikiwa hujui useme nini na wakati gani.

Kuvua gamba sasa kumegeuka mwiba ndani chama chenu cha kufirisi nchi.
Wewe na chama chenu hamuna wa kusimama na DK SLAA huyu ni dk wa kusomea siyo wa kwenu feki anayependa vya kupewa.

LOWASA AMEKUSHINDA SASA UNADANDADANDA NA KUWAYAWAYA
 
Anayejiamini aingie hapa kwa jina lake tuzungumze hoja.Wengine kwasababu ya kuficha ids zenu ndo maana mnaongea hapa. wanaume wazima mnajificha!!! Hamuoni aibu?!!! Mnadhani kwa kejeli na maneno yenu ntakata tamaa!!!! Mnapoteza muda!


Hawa tu wanakutosha

544862_312071585544038_811569733_n.jpg
 
4.+Nape+akishiriki+kucharaza+ngoma+kata+ya+Mlangali,+Njombe.jpg


Huwa najiuliza mara nyingi kwa nini mikutano ya CCM wahudhuriaji ni wale waliovaa sare cha CCM tu, ina maana wananchi wasio na sare au itikadi tofauti hawakaribishwi?
 
Chadema imewekeza kwa jijana CCM wamegeza wao wamewekeza kwa watoto,vizuri wameona mbali,waliohudhuria mkutano ni wanachi au ni wenyeviti wa mtaa ? hata watu 50 hawafiki? hata hao boda boda baada ya kufika uwanjani wameondoka? umuhimu wa cicijayi unaonekana kwambali.
 
01.jpg


1.jpg


Watoto ndio imekuwa target ya CCM kujazia nafasi kwenye mikutano yao. Hawa ni malaika wasiojua yanayoendelea, wakishakua watakuwa na fikra nyingine dhidi yao.

Nakumbuka bado maneno aliyotoa mwandamizi Mzindakaya alipojing'atua kugombea ubunge jimboni kwake, kwamba anataka kupumzika. Aliishoshea CCM na kusema imepotea njia na hawa tunaowasomesha shule za Kata ndio watakao iondoa CCM madarakani. Maneno ya mzee huyu ni kama mwiba kwani yanayojilia sina haja ya kuyaanika hapa.

Wameamua kuwekeza kwenye under 12yrs......magamba bana.
 
Anayejiamini aingie hapa kwa jina lake tuzungumze hoja.Wengine kwasababu ya kuficha ids zenu ndo maana mnaongea hapa. wanaume wazima mnajificha!!! Hamuoni aibu?!!! Mnadhani kwa kejeli na maneno yenu ntakata tamaa!!!! Mnapoteza muda!

Haya mimi hapa nipo na jina langu halisi, hebu niambie kwa nini wewe na kachama kako siku hizi mmevuka mipaka ya uongo wa siasa?. Nadhani mtahamishia kwa wanyama hivi karibuni huo uongo wenu ili kuwashawishi wawapigie kura maana binadamu wameshawasitukia.
The unseen is illustrated by the seen.
 
Mkuu nakuaminia maana ni wachache sana wenye uwezo wa kuingia kwenye lion cage na ku-fight. Ila hapo nilipo bold umekuwa too low, usingeweka maneno hayo ungeonekana kiongozi unaejua ku contain hasira na pengine ungejipambanua kuwa mbali zaidi na malusinde yanayotumiwa na makada wengi wa CCM kama njia ya ku-vent baada ya kuzidiwa hoja. Tukianza kuhesabiana madaktari feki Tanzania CCM itakuwa ni victim nambari wani.

Katika kile kitabu cha Mafisadi wa elimu wote waliotajwa ni magamba akiwemo Nagu, nchimbi, lukuvi, kamara na hawakuwahi kukanusha au kwenda court, pia kama dr feki basi ni ya jakaya na karume mtoto, ndo dr za mezani.
 
Naamini NAPE alitakiwa afafanue utekelezaji wa ahadi walizotoa 2010 utekelezaji wake umefikia wapi na kwa asilimia ngapi huu ndo mkataba wenu kwa sasa na pia kama mmeshindwa sababu ni zipi?

Hatuhitaji ulete malumbano wakati unamiliki dola simamia mzani unaowapima kwa sasa.
 
4.+Nape+akishiriki+kucharaza+ngoma+kata+ya+Mlangali,+Njombe.jpg


Huwa najiuliza mara nyingi kwa nini mikutano ya CCM wahudhuriaji ni wale waliovaa sare cha CCM tu, ina maana wananchi wasio na sare au itikadi tofauti hawakaribishwi?
Ni kwasababu ccm uwa wanaanza kugawa sare kabla ya mikutano ili wapate kina bibi na wazee wengi wasio na nguo ndo maana ata idadi kubwa ni vizee ambavyo vinajua rais bado nyerere.wasigawe uone atakaa nani kwenye mkutano
 
3.JPG


03.jpg


Hiyo ndiyo hali halisi ya mikutano ya CCM siku hizi. Inavyoonekana ni viongozi na magari yao na wachache ambao idadi yao inalingana na bendera walizo nazo.

vijana wa bodaboda wanopaki eneo la stendi pembeni ya mtambo g.house walipewa bendera jion kabla ya siku ya mkutano pamoja na kuahidiwa mafuta full tank kwa atakayekubali kufika kwenye msafara,vijana wakachangamkia mafuta wakaingia kwenye msafara,ila moyoni ni Cdm kwenda mbele, sasa hvbendera wanazifutia vumbi kwenye pikipiki zao muda huu ninapo2ma post hii, hao watoto walibebwa kutoka chekehea moja uchwara ipo karibu na national hause njombe karibu na nyumba ya mwanzinga njia ya kwenda kihesa,na hiyo ndo sare yao ya kila siku.
 
Aaah afadhali we umesema ukweli! M4C ni kwa ajili ya kukusanya chenji ya walalahoi. Inasikitisha kuwa hamuwaonei huruma watu wanahangaika kujitafutia kipato nyie mwaja kukusanya vijisenti vyao! Wizi mkubwa.


UOTE=Daudi mchambuzi;4001293]
Nnauye Jr a.k.a nape hebu jaribu kuongea kama katibu muenezi.
The way you sound ni kama wale kina mama wanaoimba mipasho.
Wakati wewe unapita kugawa pesa kwa wapiga kura kwa nia ya kukwamisha mageuzi, chadema wanapita kukusanya pesa za michango ya kusaidia mageuzi, hebu ona iyo tofauti kati ya kichwa maji na werevu.
Hebu re-think namna ya kukabiliana na werevu bwana nape.[/QUOTE][/QUOTE]

Hivi ni wewe kweli au umeonja kidogo?lazima uwaze vizuri kwa nini maskini huyo akwepe kuchangia ujenzi wa shule ya kata kijijini au kodi lakini kwa moyo wote achangie M4c? Badala ya kumiza kichwa na chama tawala cha 2015 we jiandae kukabiliana na lowasa maani mkimsimamisha huyo hata uenyekiti wa kaya moja hamuambulii.
 
Back
Top Bottom