zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 22,803
- 36,373
Nini kimebadilika? Chama kile kile, sera zile zile!! Serikali ile ile.ni Mjinga tu ndiye anaweza kusema shambulio la Venezuela ambako Rais wa nchi alichukuliwa kibabe yeye na Mke wake atasema ni Failed!!
Ndio Huu ujinga wenu wa Israel kudhani kiongozi wa Hamas akifa basi automatically hamas imekufa bila kujua ile ni itikadi sio mtu.